Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.