Kampeni za kumchafua Hayati Magufuli zimekwama

Kampeni za kumchafua Hayati Magufuli zimekwama

Waliokua wanamponda na kumchafua Magufuli huku wakipiga vigelegele kwa Samia, samia amewaangusha dakika za mwanzo kabisa za mchezo, she failed from the start.

Sasa wamechanganyikiwa, waendelee na kampeni ya kumchafua Magufuli ama wajikite katika kumtetea Samia kwenye hovyo hovyo anazozifanya ama wafanyeje. Wako njia panda maana huku wakiendelea kumponda Magufuli huku mama anaendelea kuharibu, wamechanganyikiwa cha kufanya.

Mwaka mmoja tu amefanya mambo ya hovyo mengi kuliko kiongozi yoyote toka tupate uhuru.
Samia alikofeli ni kupi huko, mama analeta furaha iliyokuwa imepotea ktk kipindi cha miaka 5
 
We bwege acha chuki za kishoga.
Unatukana nini sasa au unataka kila mtu awaze kama wewe na kila mtu ana uwezo wake wa kufikiri? Magufuli kama binadamu alipendwa na kuchukiwa pia kama wengine hiyo ni kawaida
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Ni ngumu sana kuchafua legacy ya JPM, waliojaribu wameona mrejesho wake, wamekuwa unpopular.shida yule mzee aliwafunua watu macho kwa kila kitu,hakuficha,so leo ukitaka kufanya watu wajinga ni ngumu kukuelewa.
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Hakuna anaye mchafua Jiwe bali alijichafua yeye mwenyewe.
 
Dah, aisee we jamaa, huu ni uzi wako wa 200+ wa kumsafisha JPM?
Mbona Mkapa na Nyerere hawasafishwi kwa madodoki ya chuma namna hii?[emoji23][emoji23]

Legacy haitetewi, legacy inajitetea yenyewe
Wanajitahidi kuilazomisha legacy hewa na kamwe hawatafanikiwa
 
Hayati Magu hawezi kuchafuka kwasababu ya kazi alizo wafanyia watanzania.
Wahuni wamejaribu kumchafua imeshindikana kwa sababu wao wahuni wanapiga domo tupu wakati Magu alipiga vitendo.

Magu hayupo,hawezi kujitetea,wala hawezi kutetewa ila kazizake na falsafazake zinamtetea milele.
Wanaomtetea wana relux sana sababu ushahidi wa utetezi upo wazi.
Wanaojaribu kumchafua,wanatumia nguvu nyingi sana, wanakomaza mafuvu kutafuta sababu uchwara za kujaribu kumchafua lakini wana ishia kuwa frustrated, kazi na plan za maendeleo alizoziacha magu ndio zinawavunja nguvu kweli kweli.

Huko mbele tunapokwenda hawahawa ndio wata jificha kwenye kivuli cha magu kuomba kura.
Pumbaf
 
Waliokua wanamponda na kumchafua Magufuli huku wakipiga vigelegele kwa Samia, samia amewaangusha dakika za mwanzo kabisa za mchezo, she failed from the start.

Sasa wamechanganyikiwa, waendelee na kampeni ya kumchafua Magufuli ama wajikite katika kumtetea Samia kwenye hovyo hovyo anazozifanya ama wafanyeje. Wako njia panda maana huku wakiendelea kumponda Magufuli huku mama anaendelea kuharibu, wamechanganyikiwa cha kufanya.

Mwaka mmoja tu amefanya mambo ya hovyo mengi kuliko kiongozi yoyote toka tupate uhuru.
Kwiiishaaaaa habari zenu wana sukuma gang.
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Kama ni MCHAFU ATACHAFULIWA TU kwani yeye ni Nani mpaka asichafuliwe ?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mwamba aliyepita kufanya yake nakuonyesha kuna walanguzi wengi wa keki ya taifa
Akaacha ametega mabomu kila kona ya nchi na akatimka
 
Alikuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Yapo mengi mazuri alifanya, ni sawa.

Baya moja huwa linafuta yale mema mengi.

All in all, hayupo tena wala hatarudi tena kwa mwili na cheo kile.

La maana tumtakie salama huko aliko.
 
Nyie mataga mnatumia nguvu nyingi kupitiliza
Kuna wakati lazima utumie lugha ngumu ili kuilinda, maana hata shetani anatumia waja wake kuharibu mema.
 
Alikuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Yapo mengi mazuri alifanya, ni sawa.

Baya moja huwa linafuta yale mema mengi.

All in all, hayupo tena wala hatarudi tena kwa mwili na cheo kile.

La maana tumtakie salama huko aliko.
Acha ushamba Magufuli hakufanya baya la kufuta wema wake acheni ujinga vijanax wa jamiiforums.com
 
Back
Top Bottom