Kampeni za kumchafua Hayati Magufuli zimekwama

Kampeni za kumchafua Hayati Magufuli zimekwama

Huyo magu sio tu ameshachafuka bali ameshaoza kabisa na sasa ni takataka tu uko ardhini,msuabudu viozo muwe na akili kidogo.
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
 
Waliokua wanamponda na kumchafua Magufuli huku wakipiga vigelegele kwa Samia, samia amewaangusha dakika za mwanzo kabisa za mchezo, she failed from the start.

Sasa wamechanganyikiwa, waendelee na kampeni ya kumchafua Magufuli ama wajikite katika kumtetea Samia kwenye hovyo hovyo anazozifanya ama wafanyeje. Wako njia panda maana huku wakiendelea kumponda Magufuli huku mama anaendelea kuharibu, wamechanganyikiwa cha kufanya.

Mwaka mmoja tu amefanya mambo ya hovyo mengi kuliko kiongozi yoyote toka tupate uhuru.
mambo yapi ya hovyo ya Vasco da Gama? yataje!
 
Jambazi aliepita alikuwa anaiba na hataki kelele wakati anapora, lasivyo utakutana na unknown people.
Mjambazi ya sasa yanaiba huku yana earphone na kuimba ...iendelee, pale ulipo kula kwa nidhamu hawataki kelele, ukizidisha unalambishwa asali.
 
Haya ndio maneno ya hovyo hovyo mliyo bakinayo, hamna hoja za kutetea chukizenu binafsi kwa Hayati Magu.
Magufuli alikwisha chafuka kwa maovu yake! Hakuna mtu wa kumsafisha hadi kiama!

Wewe ni mpambe wa shetani bila shaka na shetani mwisho wake ni jehanam!
 
Habariyake ilikwisha lakini ukiamka asubuhi unakutana na developments ambitions plan zake zinakusuta moyoni.
Sukuma gang ndio mnahangaika kuanzisha mada za Mwendazake na kumtetea kila siku humu,tena za uongo uongo..

Yule habari yake imekwisha,kupoteza mda kwa ajili ya marehemu ni kutojitambua.
 
Magufuli alikwisha chafuka kwa maovu yake! Hakuna mtu wa kumsafisha hadi kiama!

Wewe ni mpambe wa shetani bila shaka na shetani mwisho wake ni jehanam!
Punguza mahasira mkuu utakufa na kinyongo.
Magu alikuwa mtu wa haki na mkweli asiependa ujinga ujinga, jilaumu mwenyewe kwa kutafuta short cut nacheti feki.
 
Sukuma gang ndio mnahangaika kuanzisha mada za Mwendazake na kumtetea kila siku humu,tena za uongo uongo..

Yule habari yake imekwisha,kupoteza mda kwa ajili ya marehemu ni kutojitambua.
Na wewe umepiteza mudawako hapa kupinga ukweli.
 
Punguza mahasira mkuu utakufa na kinyongo.
Magu alikuwa mtu wa haki na mkweli asiependa ujinga ujinga, jilaumu mwenyewe kwa kutafuta short cut nacheti feki.
Shetani hajawahi kufanya haki na Magufuli hajawahi kufanya haki!
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Ha
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Hata wanyama wa porini wanatambua mchango wa hayati Magufuli katika nchi hii. Hutaki kaulize watu wanaojifanya kuwa wana vitalu kwenye mapori ya akiba
 
Hayati Magu hawezi kuchafuka kwasababu ya kazi alizo wafanyia watanzania.
Wahuni wamejaribu kumchafua imeshindikana kwa sababu wao wahuni wanapiga domo tupu wakati Magu alipiga vitendo.

Magu hayupo,hawezi kujitetea,wala hawezi kutetewa ila kazizake na falsafazake zinamtetea milele.
Wanaomtetea wana relux sana sababu ushahidi wa utetezi upo wazi.
Wanaojaribu kumchafua,wanatumia nguvu nyingi sana, wanakomaza mafuvu kutafuta sababu uchwara za kujaribu kumchafua lakini wana ishia kuwa frustrated, kazi na plan za maendeleo alizoziacha magu ndio zinawavunja nguvu kweli kweli.

Huko mbele tunapokwenda hawahawa ndio wata jificha kwenye kivuli cha magu kuomba kura.
The opposite of it is true. Huyo mtu wenu HAJAWAHI kuwa msafi.
 
Shetani hajawahi kufanya haki na Magufuli hajawahi kufanya haki!
Ukiondoa huko kujitoa akili kwa kulopoka lopoka kumpa majina yanayoongozwa na hasira na muhemko hakuna, baya linalo endana na hayo ma hasirayako ambalo amelifanya huyo Magu.
Mna mshambulia kwasababu tu alizuiya wajombazenu kudhulumu haki za wananchi wanyonge.
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Hakuna anayemchafua Magufuli bali Magufuli alikuwa ni mchafu kabla hata hajakuwa Rais na alipokuwa Rais akajichafua mwenyewe zaidi.
Kama wasaidizi wake walikuwa ni akina Sabaya, Makonda, Chalamila na Gambo huyu mtu utasemaje ni msafi anachafuliwa.

Ila nyinyi mnaoabudu mzoga wa Magufuli mnashauriwa muende Chato mkajichimbie makaburi mzikwe karibu na DIKTETA
 
The opposite of it is true. Huyo mtu wenu HAJAWAHI kuwa msafi.
Alikuwa msafi ndio maana aliwanunulia mandege ya kutosha kuiheshimisha nchi machoni pa mataifamengine lakini mnashindwa kuyafanyia kazi, yani in short amewatafunia mbaka kwenye kukusanya kodi kwa kutumia contral namba ilimsiibiwe.
 
Alikuwa msafi ndio maana aliwanunulia mandege ya kutosha kuiheshimisha nchi machoni pa mataifamengine lakini mnashindwa kuyafanyia kazi, yani in short amewatafunia mbaka kwenye kukusanya kodi kwa kutumia contral namba ilimsiibiwe.
Kalagha bhaho na ujinga wako!
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Hakuna kilichokwama hata kidogo; magufuli kafutwa na kifuto, kilichobaki ni bango kubwa lililoandikwa kwa herufi kubwa kwamba Magufuli alikuwa ni nuksi kwa taifa na aliacha chapter chafu na ovu sana inayostahili kufutwa katika historia ya Tanganyika! Kwa bahati nzuri Mungu aliingilia ugomvi na sasa bahari imetulia!
 
Hakuna kilichokwama hata kidogo; magufuli kafutwa na kifuto, kilichobaki ni bango kubwa lililoandikwa kwa herufi kubwa kwamba Magufuli alikuwa ni nuksi kwa taifa na aliacha chapter chafu na ovu sana inayostahili kufutwa katika historia ya Tanganyika! Kwa bahati nzuri Mungu aliingilia ugomvi na sasa bahari imetulia!
Wapi huko? Lindi kwa basha yako Membe na Nape? Shwain mkubwa muuza makalio
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
"Nireteeni Gwajima."

Magufuli was a country bumpkin.

Koroshow proved that.
 
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?

Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.

Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.

Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.

Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Alijichafua mwenyewe kwa kujinyea
 
Back
Top Bottom