Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
mambo yapi ya hovyo ya Vasco da Gama? yataje!Waliokua wanamponda na kumchafua Magufuli huku wakipiga vigelegele kwa Samia, samia amewaangusha dakika za mwanzo kabisa za mchezo, she failed from the start.
Sasa wamechanganyikiwa, waendelee na kampeni ya kumchafua Magufuli ama wajikite katika kumtetea Samia kwenye hovyo hovyo anazozifanya ama wafanyeje. Wako njia panda maana huku wakiendelea kumponda Magufuli huku mama anaendelea kuharibu, wamechanganyikiwa cha kufanya.
Mwaka mmoja tu amefanya mambo ya hovyo mengi kuliko kiongozi yoyote toka tupate uhuru.
Magufuli alikwisha chafuka kwa maovu yake! Hakuna mtu wa kumsafisha hadi kiama!Haya ndio maneno ya hovyo hovyo mliyo bakinayo, hamna hoja za kutetea chukizenu binafsi kwa Hayati Magu.
Sukuma gang ndio mnahangaika kuanzisha mada za Mwendazake na kumtetea kila siku humu,tena za uongo uongo..Habariyake ilikwisha lakini ukiamka asubuhi unakutana na developments ambitions plan zake zinakusuta moyoni.
Punguza mahasira mkuu utakufa na kinyongo.Magufuli alikwisha chafuka kwa maovu yake! Hakuna mtu wa kumsafisha hadi kiama!
Wewe ni mpambe wa shetani bila shaka na shetani mwisho wake ni jehanam!
Na wewe umepiteza mudawako hapa kupinga ukweli.Sukuma gang ndio mnahangaika kuanzisha mada za Mwendazake na kumtetea kila siku humu,tena za uongo uongo..
Yule habari yake imekwisha,kupoteza mda kwa ajili ya marehemu ni kutojitambua.
Shetani hajawahi kufanya haki na Magufuli hajawahi kufanya haki!Punguza mahasira mkuu utakufa na kinyongo.
Magu alikuwa mtu wa haki na mkweli asiependa ujinga ujinga, jilaumu mwenyewe kwa kutafuta short cut nacheti feki.
HaHivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Hata wanyama wa porini wanatambua mchango wa hayati Magufuli katika nchi hii. Hutaki kaulize watu wanaojifanya kuwa wana vitalu kwenye mapori ya akibaHivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
The opposite of it is true. Huyo mtu wenu HAJAWAHI kuwa msafi.Hayati Magu hawezi kuchafuka kwasababu ya kazi alizo wafanyia watanzania.
Wahuni wamejaribu kumchafua imeshindikana kwa sababu wao wahuni wanapiga domo tupu wakati Magu alipiga vitendo.
Magu hayupo,hawezi kujitetea,wala hawezi kutetewa ila kazizake na falsafazake zinamtetea milele.
Wanaomtetea wana relux sana sababu ushahidi wa utetezi upo wazi.
Wanaojaribu kumchafua,wanatumia nguvu nyingi sana, wanakomaza mafuvu kutafuta sababu uchwara za kujaribu kumchafua lakini wana ishia kuwa frustrated, kazi na plan za maendeleo alizoziacha magu ndio zinawavunja nguvu kweli kweli.
Huko mbele tunapokwenda hawahawa ndio wata jificha kwenye kivuli cha magu kuomba kura.
Ukiondoa huko kujitoa akili kwa kulopoka lopoka kumpa majina yanayoongozwa na hasira na muhemko hakuna, baya linalo endana na hayo ma hasirayako ambalo amelifanya huyo Magu.Shetani hajawahi kufanya haki na Magufuli hajawahi kufanya haki!
Hakuna anayemchafua Magufuli bali Magufuli alikuwa ni mchafu kabla hata hajakuwa Rais na alipokuwa Rais akajichafua mwenyewe zaidi.Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Alikuwa msafi ndio maana aliwanunulia mandege ya kutosha kuiheshimisha nchi machoni pa mataifamengine lakini mnashindwa kuyafanyia kazi, yani in short amewatafunia mbaka kwenye kukusanya kodi kwa kutumia contral namba ilimsiibiwe.The opposite of it is true. Huyo mtu wenu HAJAWAHI kuwa msafi.
Kalagha bhaho na ujinga wako!Alikuwa msafi ndio maana aliwanunulia mandege ya kutosha kuiheshimisha nchi machoni pa mataifamengine lakini mnashindwa kuyafanyia kazi, yani in short amewatafunia mbaka kwenye kukusanya kodi kwa kutumia contral namba ilimsiibiwe.
Hakuna kilichokwama hata kidogo; magufuli kafutwa na kifuto, kilichobaki ni bango kubwa lililoandikwa kwa herufi kubwa kwamba Magufuli alikuwa ni nuksi kwa taifa na aliacha chapter chafu na ovu sana inayostahili kufutwa katika historia ya Tanganyika! Kwa bahati nzuri Mungu aliingilia ugomvi na sasa bahari imetulia!Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Wapi huko? Lindi kwa basha yako Membe na Nape? Shwain mkubwa muuza makalioHakuna kilichokwama hata kidogo; magufuli kafutwa na kifuto, kilichobaki ni bango kubwa lililoandikwa kwa herufi kubwa kwamba Magufuli alikuwa ni nuksi kwa taifa na aliacha chapter chafu na ovu sana inayostahili kufutwa katika historia ya Tanganyika! Kwa bahati nzuri Mungu aliingilia ugomvi na sasa bahari imetulia!
"Nireteeni Gwajima."Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Alijichafua mwenyewe kwa kujinyeaHivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
We bwege acha chuki za kishoga."Nireteeni Gwajima."
Magufuli was a country bumpkin.
Koroshow proved that.