Samia alikofeli ni kupi huko, mama analeta furaha iliyokuwa imepotea ktk kipindi cha miaka 5Waliokua wanamponda na kumchafua Magufuli huku wakipiga vigelegele kwa Samia, samia amewaangusha dakika za mwanzo kabisa za mchezo, she failed from the start.
Sasa wamechanganyikiwa, waendelee na kampeni ya kumchafua Magufuli ama wajikite katika kumtetea Samia kwenye hovyo hovyo anazozifanya ama wafanyeje. Wako njia panda maana huku wakiendelea kumponda Magufuli huku mama anaendelea kuharibu, wamechanganyikiwa cha kufanya.
Mwaka mmoja tu amefanya mambo ya hovyo mengi kuliko kiongozi yoyote toka tupate uhuru.
Furaha ya kipumbavuSamia alikofeli ni kupi huko, mama analeta furaha iliyokuwa imepotea ktk kipindi cha miaka 5
Unatukana nini sasa au unataka kila mtu awaze kama wewe na kila mtu ana uwezo wake wa kufikiri? Magufuli kama binadamu alipendwa na kuchukiwa pia kama wengine hiyo ni kawaidaWe bwege acha chuki za kishoga.
Ni ngumu sana kuchafua legacy ya JPM, waliojaribu wameona mrejesho wake, wamekuwa unpopular.shida yule mzee aliwafunua watu macho kwa kila kitu,hakuficha,so leo ukitaka kufanya watu wajinga ni ngumu kukuelewa.Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Hakuna anaye mchafua Jiwe bali alijichafua yeye mwenyewe.Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Sukuma gang kwa mnaishi maisha ya kubahatisha dadeeeeki.Usilogoff
Nafikiri ni kati ya majambazi sugu kina Sabaya na kampuni zaoHivi bado unamuota jambazi magu!
Pole sana!
Wanajitahidi kuilazomisha legacy hewa na kamwe hawatafanikiwaDah, aisee we jamaa, huu ni uzi wako wa 200+ wa kumsafisha JPM?
Mbona Mkapa na Nyerere hawasafishwi kwa madodoki ya chuma namna hii?[emoji23][emoji23]
Legacy haitetewi, legacy inajitetea yenyewe
Majambazi sugu na kundi lao la sukuma gangTutamkumbuka kwa mengi sana. Hasa kwa kutuachia Bashite na Sabaya
PumbafMagufuli - kiongozi mwenye hofu ya Mungu, maono, mnyeyekevu, kiboko ya wahuni, mtetezi wa wanyonge na mzalendo wa kweli wa nchi yetu.
PumbafHayati Magu hawezi kuchafuka kwasababu ya kazi alizo wafanyia watanzania.
Wahuni wamejaribu kumchafua imeshindikana kwa sababu wao wahuni wanapiga domo tupu wakati Magu alipiga vitendo.
Magu hayupo,hawezi kujitetea,wala hawezi kutetewa ila kazizake na falsafazake zinamtetea milele.
Wanaomtetea wana relux sana sababu ushahidi wa utetezi upo wazi.
Wanaojaribu kumchafua,wanatumia nguvu nyingi sana, wanakomaza mafuvu kutafuta sababu uchwara za kujaribu kumchafua lakini wana ishia kuwa frustrated, kazi na plan za maendeleo alizoziacha magu ndio zinawavunja nguvu kweli kweli.
Huko mbele tunapokwenda hawahawa ndio wata jificha kwenye kivuli cha magu kuomba kura.
Jibu sahihi sana kwa wakati sahihiUnahangaika sana ila tatizo moja ni kwamba hatafufuka vunja tanga uendelee na maisha mengine
Labda nyumbani kwenu Burundi na BurigiMagufuli = Shujaa wa Afrika Mwamba wa Karne
Kwiiishaaaaa habari zenu wana sukuma gang.Waliokua wanamponda na kumchafua Magufuli huku wakipiga vigelegele kwa Samia, samia amewaangusha dakika za mwanzo kabisa za mchezo, she failed from the start.
Sasa wamechanganyikiwa, waendelee na kampeni ya kumchafua Magufuli ama wajikite katika kumtetea Samia kwenye hovyo hovyo anazozifanya ama wafanyeje. Wako njia panda maana huku wakiendelea kumponda Magufuli huku mama anaendelea kuharibu, wamechanganyikiwa cha kufanya.
Mwaka mmoja tu amefanya mambo ya hovyo mengi kuliko kiongozi yoyote toka tupate uhuru.
Kama ni MCHAFU ATACHAFULIWA TU kwani yeye ni Nani mpaka asichafuliwe ?Hivi nani hajaona kwa macho yake kuwa kuna mabadiliko makubwa ya kiuchumi ameyaleta hayati JPM?
Kuhakikisha sekta ya afya, barabara, elimu , madini na usafirishaji inaimalika.
Alafu kundi la wahuni kwa vile tu alidhibiti wasifanye ufisadi ndio watengeneze mikakati ya kumchafua.
Hii ni ngumu sana. Sasa wamekwama na wanaaibika maana namna walivyotaka kumchafua imeshindikana.
Sasa wanafanya mambo ya hovyo na wanakwenda kuaibika kabisa.
Kuna wakati lazima utumie lugha ngumu ili kuilinda, maana hata shetani anatumia waja wake kuharibu mema.
Acha ushamba Magufuli hakufanya baya la kufuta wema wake acheni ujinga vijanax wa jamiiforums.comAlikuwa kiongozi mkuu wa nchi.
Yapo mengi mazuri alifanya, ni sawa.
Baya moja huwa linafuta yale mema mengi.
All in all, hayupo tena wala hatarudi tena kwa mwili na cheo kile.
La maana tumtakie salama huko aliko.