LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kagera wakichagua ccm nitawashangaa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si 99% ni 100,amepita bila kupingwaUsemalo ni kweli na umepunguza, si 95% ni 99%. Kama waliweza kwa uchaguzi serikali za mitaa, itakuwa mwaka huu washindwe? Tume, wakurugenzi, polisi, jeshi na mgambo vyote vindhibitiwa na CCM. Kamati za ulinzi na Usalama ni CCM.
Hii yote ni sababu ya Rambirambi yao ya tetemeko kuliwa. Hii laana itaendelea kuitafuna Chama Chakavu
Kaka yangu watamwua kwa pressure! Waambieni basi raia watuhurumie! Watanzania tumewakosea nini mbona kaka yangu mnataka aishie mitano tu?
hapa wana Bukoba naona wameamua kumrudishia Magufuli ujumbe wake pendwa wa "message sent"!
Unajua wameandikishwa wapiga kura wangapi? Wataiba hadi kuzidi walioandikishwa. Jiwe hata Dodoma hapati kura halali
Kwa wale msiojua historia ya Chief Karumuna!
Na siyo sent tu imekuwa delivered! Mtuhurumie wandugu kaka yangu mtamwua kwa pressure!hapa wana Bukoba naona wameamua kumrudishia Magufuli ujumbe wake pendwa wa "message sent"!
apambane na hali yake!Na siyo sent tu imekuwa delivered! Mtuhurumie wandugu kaka yangu mtamwua kwa pressure!
Na maendeleo mtayasikia redioniHii tume tutaitumia kumnyoosha Mchato huku Bukoba kichapo nikile kile ...hatutaki PhD fake
Subiri nikutafutie video ya kiongozi wenu akiomba wale wote waliopewa mafuta wapakie abiriaHiyo ni tabia ya maccm. Lete ushahidi kama kuna jimbo lolote Chadema imewahi kutoa mafuta
... TO HELL!Na maendeleo mtayasikia redioni
Maendeleo gani ambayo unataka tuwe nayo? Kwani Bukoba vijijini watu wanavyokunywa maji ya vumbi Mbunge ni wachadema.Na maendeleo mtayasikia redioni
Mjindanganye shwaini nyie ndio mtajua hakuna marefu yasiyo na ncha. Mnatumia nguvu kupendwa? Mtanyooka tu.Kazi ya chadema ni malalamiko tu. Mtake msitake JPM atashinda tu tena kwa kura za kishindo. Mnadanganyika na makelele ya boda boda.