stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Unajua tofauti ya mshindi na mwizi?
Kwa nini hampendi kusema kweli hata mnaposoma kwenye mabandiko ya wenyewe?
Ibeni Ila msisahau kuweka sawa idadi ya watakaokufa.
Safari hii wafu hawatakuwa kwetu peke yake lakini. Mark my words!
Aisee Zanzibar kura zishaanza sasa which words are you talking about