Uchaguzi 2020 Kampeni za Urais: Mgombea wa CCM Dkt. John Magufuli kwenda mapumziko ya siku nane kuanzia Jumapili tarehe 04 Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Kampeni za Urais: Mgombea wa CCM Dkt. John Magufuli kwenda mapumziko ya siku nane kuanzia Jumapili tarehe 04 Oktoba 2020

Magoti yanauma nini ? anayapumzisha kwanza .
Screenshot_20201001-014422.png
IMG_20201002_000058.jpg
 
Habari ndiyo hiyo. Akitoka mapumzikoni atafanya mkutano mmoja Dar maeneo ya Kinondoni Biafra.
View attachment 1587926
Hii ni dalili ya kuwa Maji yamezidi unga!!!
Atawakumbuka sana Mzee Kinana na Nnepi Nauye lakini pia Marehemu Mzee Mkapa ambao 2015 walimfanyia kazi nzuri sana. Jamaa baada ya kuingia Ikulu tu wote 2 akawatosa kwa makosa ya kipuuzi kabisa.
This time Atakula JEURI YAKE!!
 
Magu hahitaji kupoteza muda wote na rasilimali kwa urais ambao ni wa kwake!

Magu hata asipopiga kura kabisa, atashinda tu
 
Back
Top Bottom