Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini


Mkuu nitashukuru sana kama utakuwa ukini saidia kuelewa vizuri kiingereza, Nipo tayari kujifunza mpaka nakufa.
 
Oh! God! Did you see the simple question that I ask you!? 😳😳😳

I don’t need to read this newspaper I don’t have time for reading this just answer my simple question please!
Analysing political events is much different to how you solve mathematical equation. Unless we are not exchanging the views rather we are competing.
 
Hii ndivyo ilivyokuwa
 

Attachments

  • Pata picha hali ya aliyemdanganga kuwa Chadema imekufa, Ushauri wangu wa bure kw ( 352 X 640 ).mp4
    5.9 MB
Hao 300 ni Wakenya?
 
On the same page binti kiziwi. Based on his performance and personality out of that 2015 maccm list he was the last one in my list. I knew he is bad but NOT THIS BAD. I
am praying for him to be one term only but because of tumeccm and the reality that the election will not be free and fair I am worried about the future of our beloved country.

 
Aisee wacha tu TL vyombo vya ndani vifungiwe kw akuripoti habari zake. Yaani kama visingezibw a mdomo Magufuli naona angefunba masikio. Maana habari zote ni Lissu Tu.
 
Hama nchi akingia ikulu ndio salama yako. Lissu hakwepeki kwa sasa.
 
Kampeni zimeanza sijaona ILANI ya CHADEMA.Sasa sijui ni kila eneo wanaongea kwa kuangalia eneo.
 
Lumumba waliweka na mechi ya simba hakuna kiingilio Leo ili wapunguze watu kwa lisu imeshindikana uwanja mtupuView attachment 1554807
Yaani ukiangalia hilo kundi la askari wetu hapo ni kama wanamsikiliza mtu wa jukwaani anawapa habari kupitia mitandao ya kijamii kinachoendelea viwanja vya relini.

Lakini tuache utani sijawahi kuona watu wenye roho mbaya kama ccm ya awamu hii.
Miaka mitano siasa za nchi nzima zimekuwa za mtu mmoja, polisi, mahakama, tume, vyombo vya habari na kila wanae weza kummiliki alipewa maagizo yakuangalia upande mmoja tu.
Lakini pia haitoshi wameamua kuweka adi mechi ya kuzushi ili mradi tu, lakini bado wanakwama. Nia hafadhali wangepeleka katika kila mkutano wangalau wabana pua (wasanii) watano pengine ingewasaidia labda.
Lakini mpira? Aah wapi!! Hata marehemu bibi yangu tulikuwa tunagombana anaposikia nimekwenda kucheza/kuangalia mpira kwa kigezo cha kwamba ni upuuzi kwenda kukimbizana na ngozi wakati hujui nani alikula nyama.
Sasa watu waache kwenda kusikiliza hatma ya maisha yao ya baadae wakaangalie mpira kisa hakuna kiingilio?
Ama kweli ccm sio kwamba wameshindwa tu kuongoza, bali hata kufikiri pia wamesha choka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…