EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Iwe Kampuni ya mabasi ya kutoka mkoa ulipo kwenda mikoa mingine au safari za ndani ya mkoa.
Fungukeni wadau.
Ukiachana na nauli elekezi za sumatra nauli bado zipo chini na za ushindani kwa mabasi husika, tufungue macho kwenu basi gani kali?
- Zipo kampuni mpya zinakimbiza mbaya sana.
- Zipo kampuni za zamani bado zinatesa.
- Achana na zile zinazochechemea
- Huduma zilotewazo na hayo mabasi
- Upya wa mabasi
- Nauli
Fungukeni wadau.
Ukiachana na nauli elekezi za sumatra nauli bado zipo chini na za ushindani kwa mabasi husika, tufungue macho kwenu basi gani kali?