Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Iwe Kampuni ya mabasi ya kutoka mkoa ulipo kwenda mikoa mingine au safari za ndani ya mkoa.
  • Zipo kampuni mpya zinakimbiza mbaya sana.
  • Zipo kampuni za zamani bado zinatesa.
  • Achana na zile zinazochechemea
Vigezo viwe:-
  • Huduma zilotewazo na hayo mabasi
  • Upya wa mabasi
  • Nauli
Hii itasaidia memba wanaotarajia kusafiri kufanya uchaguzi sahihi kulingana na bajeti zao.

Fungukeni wadau.
450px-Tanzania_Regions.png

DODOMA.jpg

Ukiachana na nauli elekezi za sumatra nauli bado zipo chini na za ushindani kwa mabasi husika, tufungue macho kwenu basi gani kali?
 
Bus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.

Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo

Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.

Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
 
Bus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.

Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo

Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.

Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.

Hawa Moudy sina hamu nao aisee, tumeanza safari pale stendi (Kange) saa saba na nusu mchana tunakuja kuingia Dar saa tatu usiku. Kusimama simama kila mara halafu na mwendo halina.
 
Tuanze na Frester Bukoba to Mwanza, Bukoba to Dar. Tuje Kampuni ya Friends Kampla to Mwanza, Kampala to Dar tuje Isamilo Bukoba to Mwanza, Mwanza to Kampala.
Bei zikoje mkuu
 
Hawa moudy sina hamu nao aisee, tumeanza safari pale stendi (Kange) saa saba na nusu mchana tunakuja kuingia dar saa tatu usiku. Kusimama simama kila mara halafu na mwendo halina.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ilishatokea tena siku walisimamisha abiria kama kwenye daladala.
Wanaokota sana njiani.
 
Bus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.

Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo

Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.

Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
Dodoma to DSM au ?!

Napenda 1.ABC
2. Kimbinyiko
3. Nitaweka Shabiby sio lazima upande la 40 semi-luxury yapo
4. Sijui ndo nitaanza kuwapa nika machame na wengine
 
Dodoma to dsm au ?!

Napenda 1.ABC
2.kimbinyiko
3.nitaweka shabiby sio lazima upande la 40 semu luxury yapo
4.sjui ndo nitaanza kuwapa nika machame na wengine
Kimbinyiko nimepanda hakuna usb port shabiby nilipanda pia halina.

Labda A. B. C sijapanda.

Haya mabus wanayojiita ya kisasa sijui luxury hayaoni umuhimu wa hivo?
 
Back
Top Bottom