Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kigoma to Dar_fare 60k
1.Adventure Semi-Luxury
2.Saratoga Line
3.Arizona Bus
Pia siku hizi lipo AN.. linapiga Dom to Kgm_fare 45k

Hapo awali yalikuwepo Mvullah,Sumry,Alsaedy n.k
 
Kimbinyiko nimepanda hakuna usb port shabiby nilipanda pia halina.

Labda A. B. C sijapanda.

Haya mabus wanayojiita ya kisasa sijui luxury hayaoni umuhimu wa hivo?
Abc hazijawahikosa , mabasi menfi yanayo kama huzioni juu hua zinakua chini ya siti na siti katikati hapo
 
Dar-Dodoma, ABC, Kimbinyiko na Shabiby
Dar-Musoma, JM luxury
Dar-Arusha, Kilimanjaro Express
Dar-Mwanza, Allys star, Isamilo.
Dar-Mbeya, hakuna gari za maana huko
Dar-Iringa, ABC, Deluxe
Mbeya hakuna gari za maana,acha uongo sauli,newforce,talent,alsaedy utafananisha na akina kisbo?kuanzia basi kubwa mpk mini bus mbeya hakuna gari mbovu.
 
Dar-Dodoma, ABC, Kimbinyiko na Shabiby
Dar-Musoma, JM luxury
Dar-Arusha, Kilimanjaro Express
Dar-Mwanza, Allys star, Isamilo.
Dar-Mbeya, hakuna gari za maana huko
Dar-Iringa, ABC, Deluxe
Kilimanjaro ruti ya Dar - Arusha ameshazidiwa kwa mbali sana na Machalii akina Marangu Coach na BM ..
 
Jamani mimi sijawahi panda basi tofauti na hili toka nianze safari za dar chuga,dar rombo.
FB_IMG_1592391740324.jpeg
 
Back
Top Bottom