Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musoma ruti za ndani za mkoa kuna!!Chuma's musoma-tabora ipo poa sana, haipotezi muda hiyo
zakaria mza-tarime/sirari saa 12 asubuhi hawajawahi
kunipotezea muda hawa jamaa
Abc hazijawahikosa , mabasi menfi yanayo kama huzioni juu hua zinakua chini ya siti na siti katikati hapoKimbinyiko nimepanda hakuna usb port shabiby nilipanda pia halina.
Labda A. B. C sijapanda.
Haya mabus wanayojiita ya kisasa sijui luxury hayaoni umuhimu wa hivo?
Dar-Dodoma, ABC, Kimbinyiko na Shabiby
Dar-Musoma, JM luxury
Dar-Arusha, Kilimanjaro Express
Dar-Mwanza, Allys star, Isamilo.
Dar-Mbeya, hakuna gari za maana huko
Dar-Iringa, ABC, Deluxe
Mbeya hakuna gari za maana,acha uongo sauli,newforce,talent,alsaedy utafananisha na akina kisbo?kuanzia basi kubwa mpk mini bus mbeya hakuna gari mbovu.Dar-Dodoma, ABC, Kimbinyiko na Shabiby
Dar-Musoma, JM luxury
Dar-Arusha, Kilimanjaro Express
Dar-Mwanza, Allys star, Isamilo.
Dar-Mbeya, hakuna gari za maana huko
Dar-Iringa, ABC, Deluxe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tatizo kwenu ni chugaGari lolote linalochapa barabara mpaka king'amuzi kinapiga kelele.
kwan me kuna mahali nimetaja kisbo mkuu?Mbeya hakuna gari za maana,acha uongo sauli,newforce,talent,alsaedy utafananisha na akina kisbo?kuanzia basi kubwa mpk mini bus mbeya hakuna gari mbovu.
Hata daladala (ndani ya mkoa) acha uswahili aseeSie wengine hatujawahi kusafiri acha tusome tu comments!
WaiteNgoja waje wapambe wa sauli
Kwani si umesema hakuna basi la maana rekebisha kauli yako maana kampuni ulizotaja zote michina je kuna scania ilioanza na 0km kama sumry huko?kwan me kuna mahali nimetaja kisbo mkuu?
kwa mtazamo wangu nimeona mbeya hakuna basi la maana mkuu..Kwani si umesema hakuna basi la maana rekebisha kauli yako maana kampuni ulizotaja zote michina je kuna scania ilioanza na 0km kama sumry huko?
Kilimanjaro ruti ya Dar - Arusha ameshazidiwa kwa mbali sana na Machalii akina Marangu Coach na BM ..Dar-Dodoma, ABC, Kimbinyiko na Shabiby
Dar-Musoma, JM luxury
Dar-Arusha, Kilimanjaro Express
Dar-Mwanza, Allys star, Isamilo.
Dar-Mbeya, hakuna gari za maana huko
Dar-Iringa, ABC, Deluxe
wapo vizuri hao jamaaJamani mimi sijawahi panda basi tofauti na hili toka nianze safari za dar chuga,dar rombo.View attachment 1482358