Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Ile route ni route dume mzee. Hakuna mchina anayeweza kustahimili ndo mana gari zake nyingi zimechoka.
Wanasubiri mchina ichoke, wanavua injini wanaweka jiko la scania.
Shida ni Mwanza to Mbeya, gari zote ni makopo tu
 
Shida ni Mwanza to Mbeya, gari zote ni makopo tu
Hii route huwezi peleka Yutong au Zongtong utapata hasara tu huko peleka Gari Ila engene ya Scania hii route Ina Gari mbovu nyingi Sana sio Isamilo Wala Premier kidogo alikuwepo Super Samy alikuwa na Gari Mzuri Sijui Yuko wapi sikuhizi
 
Mwanza_Kahama-Zuberi/kisesa
Mwanza_Bukoba_Isamilo/Frester
Mwanza_Kampala_Isamilo
Mwanza_Tarime-Zakaria/Batco
Mwanza_Singida-Malangwa
Mwanza_Dodoma-SATCO/Isamilo/Ally's/Bright line
Mwanza_Dar/Morogoro-Isamilo/Ally's/Tungsi/Happy nation/Zuberi/kisesa.
Mwanza_Moshi-Isamilo


Route ya Mwanza Arusha/Mbeya ndio Zina gari amabazo sio nzuri!!!
 
Dar-Mbeya (Classic/Golden Deer/Nganga)
Mpanda-Kigoma (Adventure )
Dar-Korogwe (Burdan Tosha)
Dar-Tanga (Tawaqal/Tashrif)
Tanga-Kipumbwi (Moa Royal Class)
Mwanza-Kigoma (Adventure/Saratoga)
Dar-Songea (Selous/Tavavil)

Vigezo gari iwe:-
1.Terias au itumie busta
2.Seat 2×2
3. Dereva mahiri awe anapiga changedown za kutosha, engine braking kwa Nissan Diesel UD au Scania stop engine/Jacob brake za kutosha kwenye down na njonjo kibao za kuinyumbulisha basi. Sio dereva miguu mizigo kama Lukaku, wakati wa kuchange gear mpaka abiria unasikia brake anakanyaga kama anaua mdudu.
 
Dar-Dodoma, ABC, Kimbinyiko na Shabiby
Dar-Musoma, JM luxury
Dar-Arusha, Kilimanjaro Express
Dar-Mwanza, Allys star, Isamilo.
Dar-Mbeya, hakuna gari za maana huko
Dar-Iringa, ABC, Deluxe
JM yenyewe tajiri anaitwa joel mabiba ni wa mbeya
 
Dar-Mbeya (Classic/Golden Deer/Nganga)
Mpanda-Kigoma (Adventure )
Dar-Korogwe (Burdan Tosha)
Dar-Tanga (Tawaqal/Tashrif)
Tanga-Kipumbwi (Moa Royal Class)
Mwanza-Kigoma (Adventure/Saratoga)
Dar-Songea (Selous/Tavavil)

Vigezo gari iwe:-
1.Terias au itumie busta
2.Seat 2×2
3. Dereva mahiri awe anapiga changedown za kutosha, engine braking kwa Nissan Diesel UD au Scania stop engine/Jacob brake za kutosha kwenye down na njonjo kibao za kuinyumbulisha basi. Sio dereva miguu mizigo kama Lukaku, wakati wa kuchange gear mpaka abiria unasikia brake anakanyaga kama anaua mdudu.
Basi za sasa hivi hazina mzuka hata jake brake hazina (hasa mchina)hii haikubaliki yaani coaster iwe nayo basi kubwa haina!
 
Dar-Dodoma, ABC, Kimbinyiko na Shabiby
Dar-Musoma, JM luxury
Dar-Arusha, Kilimanjaro Express
Dar-Mwanza, Allys star, Isamilo.
Dar-Mbeya, hakuna gari za maana huko
Dar-Iringa, ABC, Deluxe
Hiyo Kilimanjaro express imebaki jina tu gari zao zimechoka
 
Basi za sasa hivi hazina mzuka hata jake brake hazina (hasa mchina)hii haikubaliki yaani coaster iwe nayo basi kubwa haina!
Basi kubwa saizi hawatumii teknolojia ya stop engine/Jacob Brake saizi kuna Retarder.

Ila kwa basi za mchina sio zote zinatumia Retarder ni option kuja nayo.
Huu mfumo wa Retarder ni wa kisasa zaidi ya stop engine. Ukiikuta Volvo ina Retarder ukawa unashuka mteremko utafurahi mwenyewe.
 
Dar lux Mwanza -Dar , ile kampuni acha kabisa kila kiti usb chaji ..... Siti ni 2 by 2 huwa nikikuta limejaa naairisha kabisa safari
Huduma zao zimekuwa nzuri? Kuna wakati magari yao yalikiwa yanaharibika sana njiani na walikuwa hawaondoki kwa wakati
 
Dar-Mbeya (Classic/Golden Deer/Nganga)
Mpanda-Kigoma (Adventure )
Dar-Korogwe (Burdan Tosha)
Dar-Tanga (Tawaqal/Tashrif)
Tanga-Kipumbwi (Moa Royal Class)
Mwanza-Kigoma (Adventure/Saratoga)
Dar-Songea (Selous/Tavavil)

Vigezo gari iwe:-
1.Terias au itumie busta
2.Seat 2×2
3. Dereva mahiri awe anapiga changedown za kutosha, engine braking kwa Nissan Diesel UD au Scania stop engine/Jacob brake za kutosha kwenye down na njonjo kibao za kuinyumbulisha basi. Sio dereva miguu mizigo kama Lukaku, wakati wa kuchange gear mpaka abiria unasikia brake anakanyaga kama anaua mdudu.
Kwa DAR-TANGA Simba mtoto hana mpinzani kwa sasa na Scania zake mpya, shilingi 16000 tu ndiyo bei yake ya juu. Ndiyo gari inayowahi kufika kuliko zote,
 
Back
Top Bottom