EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #181
Kama 250+kmMkuu kutoka Mbeya mjini mpaka Rungwa ni Km ngapi kama utakuwa unafahamu
Maana unapita Chunya - Matundasi, Makongosi, Kambi katoto, Lupa ndio unafika RUNGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama 250+kmMkuu kutoka Mbeya mjini mpaka Rungwa ni Km ngapi kama utakuwa unafahamu
[emoji23][emoji23]yaani nimecheka!Bus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.
Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo
Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.
Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaisoma nambaMbeya Dar es salaam, panda Standard Coach hutajuta kabisa.
Itakua poa Sana , hata mby sngida wanaweza pita huku kupitia itigiHiyo route inazunguka mtera ni ndefu so hakuna gari za maana hata mbeya arusha..ila barabara ya kwenda tabora ikikamilika itapunguza umbali kwa hiyo gari nzuri zitakuja na kutoka mbeya to mwanza/arusha/moshi/kahama/musoma bus zitatoboa badala ya kulala njiani..kuweni wapole bado kipande cha kama km 300 hivi lami kukamilika na uzuri hii njia ina mlima 1 tu
Kiazi kitamu ya Kigoma Nouma aixee imekaa hovyo ila za mwanza Arusha ni kali... Sikuhiz Arusha to Kigoma napakia Mohammed Classic hii inapita Tabora na inatoboa kigoma. Kiazi na Coastline kibondo unalala.Kiazi kitamu Arusha kigoma Arusha via kahama, ushirombo nyakanazi kibondo saa 4 usiku utafurahi Sana USB za kumwanga 2 by 3
Ndio maana yake yaani Kama unaenda Arusha/Moshi lazima utapitia Itigi na Singida Ila Kama unaenda Kanda ya ziwa ndio watapitia Tabora, junction yao ipo RungwaItakua poa Sana , hata mby sngida wanaweza pita huku kupitia itigi
Kutokea DarWadau njia ya Tabora bus gani linafanya vizuri na uhakika?
Alsaedy High Class, Kisbo Safari. Colour star, NBS,HBS (Hawa ndo huanzia Tbr kwenda Dar) na wengine ambao hupita Tbr wakienda Kigoma ni Majinja Special, Saratoga, Adventure, Arizona,. Machaguo ni mengi na basi ni nyingi pia.Kutokea Dar
MAJINJA inaenda Kigoma pia??Alsaedy High Class, Kisbo Safari. Colour star, NBS,HBS (Hawa ndo huanzia Tbr kwenda Dar) na wengine ambao hupita Tbr wakienda Kigoma ni Majinja Special, Saratoga, Adventure, Arizona,. Machaguo ni mengi na basi ni nyingi pia.
Hii chua inaenda KGM??Alsaedy High Class
Eti dar-chombe unataja budget (upendo) yaana gari imechoka KeishaSongea - mbinga. Kisumapai Exp
Biharamlo-mwanza.Soma Exp
Dar - mpwampwa.Ngasere Exp
Dar - ngerengere.Urembo,salimeen
mwanza -ushirombo,masumbwe.Sheratoni
Dar-ifakala.Moro best
Babati-bashineti.Bashinet coach
Katesh- babati.Rambo coach
Mwanza-ngara.Nyehunge,zuberi
Mwanza -kigoma.SAMAA
Dar-Njombe.Budget
Mbinga -nyasa.Kisumapai
Kyela-matema.Matema beach exp
daaaah nimechoka ku type
wakati wa kurudi napanda EstaBus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.
Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo
Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.
Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
TBR-DARHii chua inaenda KGM??