Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Bus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.

Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo

Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.

Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
[emoji23][emoji23]yaani nimecheka!
We km Mimi!
Unazima kuokoa chaj

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Hiyo route inazunguka mtera ni ndefu so hakuna gari za maana hata mbeya arusha..ila barabara ya kwenda tabora ikikamilika itapunguza umbali kwa hiyo gari nzuri zitakuja na kutoka mbeya to mwanza/arusha/moshi/kahama/musoma bus zitatoboa badala ya kulala njiani..kuweni wapole bado kipande cha kama km 300 hivi lami kukamilika na uzuri hii njia ina mlima 1 tu
Itakua poa Sana , hata mby sngida wanaweza pita huku kupitia itigi
 
Kiazi kitamu Arusha kigoma Arusha via kahama, ushirombo nyakanazi kibondo saa 4 usiku utafurahi Sana USB za kumwanga 2 by 3
Kiazi kitamu ya Kigoma Nouma aixee imekaa hovyo ila za mwanza Arusha ni kali... Sikuhiz Arusha to Kigoma napakia Mohammed Classic hii inapita Tabora na inatoboa kigoma. Kiazi na Coastline kibondo unalala.
 
Alsaedy High Class, Kisbo Safari. Colour star, NBS,HBS (Hawa ndo huanzia Tbr kwenda Dar) na wengine ambao hupita Tbr wakienda Kigoma ni Majinja Special, Saratoga, Adventure, Arizona,. Machaguo ni mengi na basi ni nyingi pia.
MAJINJA inaenda Kigoma pia??
 
Songea - mbinga. Kisumapai Exp
Biharamlo-mwanza.Soma Exp
Dar - mpwampwa.Ngasere Exp
Dar - ngerengere.Urembo,salimeen
mwanza -ushirombo,masumbwe.Sheratoni
Dar-ifakala.Moro best
Babati-bashineti.Bashinet coach
Katesh- babati.Rambo coach
Mwanza-ngara.Nyehunge,zuberi
Mwanza -kigoma.SAMAA
Dar-Njombe.Budget
Mbinga -nyasa.Kisumapai
Kyela-matema.Matema beach exp

daaaah nimechoka ku type
Eti dar-chombe unataja budget (upendo) yaana gari imechoka Keisha

Unaacha gari Kama
Njombe express
Galaxy
Luwinzo
 
Arusha siku hizi najipandia ya magazeti
Bus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.

Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo

Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.

Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
wakati wa kurudi napanda Esta
nilijishaua kupanda DAR LUX LUXURY nilikutana na karaha mpaka nikajutia pesa yangu
 
Back
Top Bottom