Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

300 km ni kutoka wapi hadi wapi?

Labda- sababu hesabu zinagoma.
Vipi kuhusu Rungwa hadi Ipole?
Nilikosea Mbeya to arusha via makongolosi-Rungwa ni km 935 wakati mbeya to Arusha via mtera-dodoma ni km 1015 tofauti ya km 85
Pia mbeya to mwanza via Tabora ni km 925 wakati ukipitia mtera dodoma ni km 1295 tofauti ya km 370..Hivyo barabara ya chunya ni shortcut sana kutokea Mbeya kwenda mikoa yote ya kaskazini na ziwa..Na uhakika hii barabara ikikamilika kutakuwa na usafiri wa moja kwa moja wa mabasi kutoka mbeya -Kahama-Geita.Mbeya-musoma via bariadi/simiyu,,mbeya -bukoba,mbeya -moshi via arusha
 
Lazima gari nyingi zitapita iringa kwa lengo la biashara, gari za mbeya kwenda mwanza zinaokota abiria kuanzia igurusi,chimala,igawa,makambako,mafinga,iringa,mtera na dodoma

Sasa hiyo njia ya porini itakuaje?
Subiri ikamilike ndio utajua itakuaje,kwani chunya,makongolos,Rungwa,ipole,Sikonge,Tabora na nzega hakuna abiria wa kuokota? Kwa taarifa yako hakuna anaepitisha huo mzunguko kwa sababu unazozitaja wewe maana mara nyingi mabasi huwa yanajaa kuanzia mbeya kabisa sio ya mwanza wala ya Arusha
 
saizi hazipiti chalinze bali njia ya mtera
Sizungumzii ya chalinze najua ziliacha kitambo japo hood huwa bado yupo,nazungumzia kuacha kupita mtera badala yake yapitie chunya makongolos Rungwa,hapo Rungwa kuna junction ya kwenda singida na tabora sas hii njia ni shortcut kuliko ya mtera na haina milima na mabonde kama ya mtera..Kwa wanaoenda Arusha mlima ni huu wa chunya na mingine wataikuta kuanzia katesh hadi babati tu but kwa wanaoenda kanda ya ziwa kama mwanza mlima ni huu wa chunya huko kwingine hadi mwanza ni kuteleza tuu tofauti na barabara ya kupitia mtera imejaa milima,kona kali na mabonde mwanzo mwisho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unanikumbusha kwetu
Mbasa na mbelele[emoji39]
Ujova na likolo la nanyungu lakatimbiliwa na matevele cha likita kunyonyope kwene, [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Yes mate..nikitia nanga mjini maeneo ya mfaranyaki au mjimwema.
Nlienda huko mwaka juzi nilifikia pale kwa masista mlimani unatazama ziwa nyasa kwa chini., very good location ya hotel
 
Sehem ulizotaja hakuna miji mikubwa, gari kujaa mbeya ni kipindi kifupi cha high season. Muda mwingine wanategemea abiria wa kuokoteza njiani
Subiri ikamilike ndio utajua itakuaje,kwani chunya,makongolos,Rungwa,ipole,Sikonge,Tabora na nzega hakuna abiria wa kuokota? Kwa taarifa yako hakuna anaepitisha huo mzunguko kwa sababu unazozitaja wewe maana mara nyingi mabasi huwa yanajaa kuanzia mbeya kabisa sio ya mwanza wala ya Arusha
 
Nimelazimika kucheka asee.
Hilo dubwana lipo Chuga - Musoma, linakatiza pori huko ni kucheza na nyumbu tu
Kumbe Mkuu limehamia huko?Hayo ndio mabus ya Kibabe.Bus za siku hizi zina USB na AC ila tunakaa njiani mpaka makalio hayana hamu.
Siku hizi Bus inapitwa na Boda Boda tena Ubavu wa Dereva.
Mambo ya ajabu kabisa kutokea..watu tlizoea amsha amsha zile za Champion unatoka Dar 12 Dom unaingia kazini..hahaha unasema nilipitia kupeleka mtoto Hospital.Siku hizi Dodoma masaa kibao kwenye Bus zina vyoo ndani.
Abood Chinja chinja hakuna tena siku hizi.Hood waka moto nazo kimya daah kweli miaka inaisha



Mwendo Kasi Unaua🙂🙂😉
 
Kumbe Mkuu limehamia huko?Hayo ndio mabus ya Kibabe.Bus za siku hizi zina USB na AC ila tunakaa njiani mpaka makalio hayana hamu.
Siku hizi Bus inapitwa na Boda Boda tena Ubavu wa Dereva.
Mambo ya ajabu kabisa kutokea..watu tlizoea amsha amsha zile za Champion unatoka Dar 12 Dom unaingia kazini..hahaha unasema nilipitia kupeleka mtoto Hospital.Siku hizi Dodoma masaa kibao kwenye Bus zina vyoo ndani.
Abood Chinja chinja hakuna tena siku hizi.Hood waka moto nazo kimya daah kweli miaka inaisha



Mwendo Kasi Unaua🙂🙂😉

Hawa sumatra wametuvurugia utaratibu kabisa, eti bus linatembea kilometa 200 masaa manne serious.
 
Songea - mbinga. Kisumapai Exp
Biharamlo-mwanza.Soma Exp
Dar - mpwampwa.Ngasere Exp
Dar - ngerengere.Urembo,salimeen
mwanza -ushirombo,masumbwe.Sheratoni
Dar-ifakala.Moro best
Babati-bashineti.Bashinet coach
Katesh- babati.Rambo coach
Mwanza-ngara.Nyehunge,zuberi
Mwanza -kigoma.SAMAA
Dar-Njombe.Budget
Mbinga -nyasa.Kisumapai
Kyela-matema.Matema beach exp

daaaah nimechoka ku type
 
Sizungumzii ya chalinze najua ziliacha kitambo japo hood huwa bado yupo,nazungumzia kuacha kupita mtera badala yake yapitie chunya makongolos Rungwa,hapo Rungwa kuna junction ya kwenda singida na tabora sas hii njia ni shortcut kuliko ya mtera na haina milima na mabonde kama ya mtera..Kwa wanaoenda Arusha mlima ni huu wa chunya na mingine wataikuta kuanzia katesh hadi babati tu but kwa wanaoenda kanda ya ziwa kama mwanza mlima ni huu wa chunya huko kwingine hadi mwanza ni kuteleza tuu tofauti na barabara ya kupitia mtera imejaa milima,kona kali na mabonde mwanzo mwisho
Mkuu kutoka Mbeya mjini mpaka Rungwa ni Km ngapi kama utakuwa unafahamu
 
Iwe Kampuni ya mabasi ya kutoka mkoa ulipo kwenda mikoa mingine au safari za ndani ya mkoa.
  • Zipo kampuni mpya zinakimbiza mbaya sana.
  • Zipo kampuni za zamani bado zinatesa.
  • Achana na zile zinazochechemea
Vigezo viwe:-
  • Huduma zilotewazo na hayo mabasi
  • Upya wa mabasi
  • Nauli
Hii itasaidia memba wanaotarajia kusafiri kufanya uchaguzi sahihi kulingana na bajeti zao.

Fungukeni wadau.

Ukiachana na nauli elekezi za sumatra nauli bado zipo chini na za ushindani kwa mabasi husika, tufungue macho kwenu basi gani kali?


SUMATRA wamejifungia maofisini hawakagui hadhi ya mabasi wanayoyasimamia, kwa mfano, abiria wengi wanauziwa tiketi za Luxury bus lakini wanasafirishwa kwa Ordinary buses
 
SUMATRA wamejifungia maofisini hawakagui hadhi ya mabasi wanayoyasimamia, kwa mfano, abiria wengi wanauziwa tiketi za Luxury bus lakini wanasafirishwa kwa Ordinary buses
Nidio maana sikatagi ticket au kuweka booking mabasi nisiyoyajua naenda siku ya safari
 
Back
Top Bottom