Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
Naye naskia hafiki Arusha kwa sasa anaishia Moshi, hata ofisi washaondoa Arusha.Route ya Arusha-Mbeya via Chalinze amebaki Hood Limited peke yake kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naye naskia hafiki Arusha kwa sasa anaishia Moshi, hata ofisi washaondoa Arusha.Route ya Arusha-Mbeya via Chalinze amebaki Hood Limited peke yake kwa sasa.
saizi hazipiti chalinze bali njia ya mteraMbeya-- arusha new force alijaribu akaondoa gari mwenyewe bila kupenda maana gari zilianza kuchoka mapema tu.
Akaweka mfumo wa kupokezana ila still haikusaidia. Moja inatoka mbeya hadi chalinze, then mnashuka inapokea nyingine hadi arusha. Bado haikufaa akaamua azipeleke dar moro.
Freight liner hizi gari nakuwaga na bahati nazo ninapotoka port Elizabeth kwenda cape town... nshakula sana haik na izo chuma mlio wake sio poaJake brake hii kwenye gari za mmarekani kama Freight liner au Peterbit ni hatari sana huo mlio wake.
Mlio unaleta sana mzuka unaweza ukasahau kuwa vyuma vimekaza.
Nimepend Esther,hiyo atakuwa mtoto wa mmiliki...Arusha to Dar
- Marangu
- Extra
- Esther
- Dar Lux
- Kidia One
Ukimaliza shule utaanza tu,kuwa na amaniSie wengine hatujawahi kusafiri acha tusome tu comments!
Habari za Igombe mkuu...Mkiamza kujadiri makampuni ya mitumbwi mnishtue jamani
ngoja ntakuletea picha ya frester ya New forceHakuna similarities hii ni red huku ni green ,je unafamu golden dragon bongo zinakuja na rangi moja (white) so ukiamua unaweza acha white or uka change
Mkuu Basi la tanga Maud liko vizuri sana.baba lao a.ka. mwakinyo ni Basi lenye utulivu wa hali ya juuBus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.
Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo
Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.
Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
Tatizo lao wanaokota sana abiria njiani yaani wanaokota tu mnaweza kusafiri na watu wamesimama na kuchuchumaa.Mkuu Basi la tanga Maud liko vizuri sana.baba lao a.ka. mwakinyo ni Basi lenye utulivu wa hali ya juu
ngoja ntakuletea picha ya frester ya New force
Basi tukubaliane kwamba wamenunua mabasi used ya NFMkuu sio kampuni moja tuelewane kwa ilo ufanano wa ile mistari ndio isikuaminishe ni kampuni moja. Iyo kitu hakipo
Basi tukubaliane kwamba wamenunua mabasi used ya NF
Mkuu tuache nikiliona ntakupigia picha maana naishi Dar na stend yao ya Urafuki naijua so rime will tell, tusibishaneMkuu we ni mbishi sana hizi ni model mpya ya zhongtong na tangu lini new ameuza new model ya hizo basi kama used maana ni series ya DPK View attachment 1487199View attachment 1487200
Bus used alizonunua ni za mohamed trans ziko uko kanda ya ziwa
basi ngumu sana iziMkuu we ni mbishi sana hizi ni model mpya ya zhongtong na tangu lini new ameuza new model ya hizo basi kama used maana ni series ya DPK View attachment 1487199View attachment 1487200
Bus used alizonunua ni za mohamed trans ziko uko kanda ya ziwa
300 km ni kutoka wapi hadi wapi?Hiyo route inazunguka mtera ni ndefu so hakuna gari za maana hata mbeya arusha..ila barabara ya kwenda tabora ikikamilika itapunguza umbali kwa hiyo gari nzuri zitakuja na kutoka mbeya to mwanza/arusha/moshi/kahama/musoma bus zitatoboa badala ya kulala njiani..kuweni wapole bado kipande cha kama km 300 hivi lami kukamilika na uzuri hii njia ina mlima 1 tu
Hiyo kampumi imechoka sana kwa Sasa. Bosi hatengenezi magari yake na huduma zake ni mbobu Sana.Jamani mimi sijawahi panda basi tofauti na hili toka nianze safari za dar chuga,dar rombo.View attachment 1482358