Kataa Rushwa
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 728
- 765
Superfeo express.....SONGEA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spare zipo, tatizo yana fuel consumption kubwa.Hizo nais ikiharibika spare ni had uagize USA. alafu kuna page uwa zinauzwa used na mpya yan yana bei ya kawaida sana mi huwa napenda sana muundo wake
hapo mkuu nakwama fanya kugoogle ile sumatra fare list utapata ya nchi nzima kama nlivowela ya Dar to upcountry regionsBei zao naomba mkuu
a wewe mkuu uwe na cha kuchangia sio msomaji tuNimesoma comments zote sijaona majina ya akina Kiazi kitamu, Sai baba, Arusha Express, Gracious, Rungwe Express, Majinja, Haji's, Hood n.k
Vipi wadau wa hizi kampuni hampo??
Hayo kwangu siwezi nikapandaUsisahau New Force na Al-Saed
Route ndefu sana. Magari yanawahi kuchoka.Shida ni Mwanza to Mbeya, gari zote ni makopo tu
Hiyo route inazunguka mtera ni ndefu so hakuna gari za maana hata mbeya arusha..ila barabara ya kwenda tabora ikikamilika itapunguza umbali kwa hiyo gari nzuri zitakuja na kutoka mbeya to mwanza/arusha/moshi/kahama/musoma bus zitatoboa badala ya kulala njiani..kuweni wapole bado kipande cha kama km 300 hivi lami kukamilika na uzuri hii njia ina mlima 1 tuShida ni Mwanza to Mbeya, gari zote ni makopo tu
Hiyo route inazunguka mtera ni ndefu so hakuna gari za maana hata mbeya arusha..ila barabara ya kwenda tabora ikikamilika itapunguza umbali kwa hiyo gari nzuri zitakuja na kutoka mbeya to mwanza/arusha/moshi/kahama/musoma bus zitatoboa badala ya kulala njiani..kuweni wapole bado kipande cha kama km 300 hivi lami kukamilika na uzuri hii njia ina mlima 1 tu
Akajaribu Kiazi kitamu nayeye ruti ikamtoa roho akakimbilia Mwanza sijui Kigoma. [emoji16]Mbeya-- arusha new force alijaribu akaondoa gari mwenyewe bila kupenda maana gari zilianza kuchoka mapema tu.
Akaweka mfumo wa kupokezana ila still haikusaidia. Moja inatoka mbeya hadi chalinze, then mnashuka inapokea nyingine hadi arusha. Bado haikufaa akaamua azipeleke dar moro.
Friends yale mabasi chakavu au?Tuanze na Frester Bukoba to Mwanza, Bukoba to Dar. Tuje Kampuni ya Friends Kampla to Mwanza, Kampala to Dar tuje Isamilo Bukoba to Mwanza, Mwanza to Kampala.
Ni wazi hujaenda mbeya au ulipanda basi bovu...Kidia one - Dar to Mwanza
Isamilo - Mwanza to Dar
Mghamba-Chuga to Mwanza.
Ila funga kazi ipo Dar to Mbeya,Kahama to Dar na Kagera to Dar.huko ndo kuna madereva ambao hawana nafsi.
Nunua simu inayokaa na chaji mkuu...Kimbinyiko nimepanda hakuna usb port shabiby nilipanda pia halina.
Labda A. B. C sijapanda.
Haya mabus wanayojiita ya kisasa sijui luxury hayaoni umuhimu wa hivo?
We kitunguu kweli akili zako finyuBus lolote lenye sehemu ya kuchaji simu njia nzima hata siku mbili simu haiishi chaji.
Kitu cha kwanza huwa nauliza na kupeleleza bus lipi naweza chaji simu na kwa kawaida bus hilo linakuwa la kiwango cha kati.
Tanga kuna moudy na Nacharo
Mnisaidie Dodoma kuna bus gani lina huduma hilo? (msinitajie shabiby lile la 40,000 itakuwa matumizi mabaya ya pesa) Njia ya Arusha pia ningependa kufahamu.
Mambo ya kusafiri kuzima zima data sitaki.
Dar luxMbeya hakuna gari za maana,acha uongo sauli,newforce,talent,alsaedy utafananisha na akina kisbo?kuanzia basi kubwa mpk mini bus mbeya hakuna gari mbovu.
Tegeta to mbagara hiyo safari nayo...Hata daladala (ndani ya mkoa) acha uswahili asee
Twende ukalambe ball cone weweWe kitunguu kweli akili zako finyu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tatizo mambo mengi mno.Nunua simu inayokaa na chaji mkuu...
Tena naipakaza pale kwenye kitumvua kisha nailamba[emoji39][emoji39][emoji39] aaaah manina!! Eb njoo apa kitambaa cheupe kwanzaTwende ukalambe ball cone wewe
View attachment 1484892
View attachment 1484893
View attachment 1484894
View attachment 1484895
LOOK AT SING SIMILARITIES
Route ya Arusha-Mbeya via Chalinze amebaki Hood Limited peke yake kwa sasa.Mbeya-- arusha new force alijaribu akaondoa gari mwenyewe bila kupenda maana gari zilianza kuchoka mapema tu.
Akaweka mfumo wa kupokezana ila still haikusaidia. Moja inatoka mbeya hadi chalinze, then mnashuka inapokea nyingine hadi arusha. Bado haikufaa akaamua azipeleke dar moro.