Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kuna Dubwana moja Coastline lile mpaka PC unachaji..hata uwe na Desktop unawasha unaendelea na pilika zako.

#Kiungo Mchezeshaji....Sijui kama lipo.Kigoma.Tabora
hilo balaa 😀 😀 😀 😀
 
Babati - Dar via Singida -Polepole classic
Babati -Dar via Kondoa - Jambo Express
 
Dar-Mbeya (Classic/Golden Deer/Nganga)
Mpanda-Kigoma (Adventure )
Dar-Korogwe (Burdan Tosha)
Dar-Tanga (Tawaqal/Tashrif)
Tanga-Kipumbwi (Moa Royal Class)
Mwanza-Kigoma (Adventure/Saratoga)
Dar-Songea (Selous/Tavavil)

Vigezo gari iwe:-
1.Terias au itumie busta
2.Seat 2×2
3. Dereva mahiri awe anapiga changedown za kutosha, engine braking kwa Nissan Diesel UD au Scania stop engine/Jacob brake za kutosha kwenye down na njonjo kibao za kuinyumbulisha basi. Sio dereva miguu mizigo kama Lukaku, wakati wa kuchange gear mpaka abiria unasikia brake anakanyaga kama anaua mdudu.
Mkuu stop engine kwenye bus? Mbona hata haisikiki.. jacob isikilize kwa wale wahuni wa TRH na DIAZ..

Kuna sunlong ya galaxy inaunguruma vizuri sana, ndiyo bus pekee hiyo njia inanikosha kwa muungurumo!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Basi za sasa hivi hazina mzuka hata jake brake hazina (hasa mchina)hii haikubaliki yaani coaster iwe nayo basi kubwa haina!
Jake brake na stop engine ni tofauti!
Hata hizo scania zenu hazina Jake brake. Zina stop engine inayosikika kwa mbali na isiyo na mzuka..

only Americans can tremble my @ss with jake brake

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Iwe Kampuni ya mabasi ya kutoka mkoa ulipo kwenda mikoa mingine au safari za ndani ya mkoa.
  • Zipo kampuni mpya zinakimbiza mbaya sana.
  • Zipo kampuni za zamani bado zinatesa.
  • Achana na zile zinazochechemea
Vigezo viwe:-
  • Huduma zilotewazo na hayo mabasi
  • Upya wa mabasi
  • Nauli
Hii itasaidia memba wanaotarajia kusafiri kufanya uchaguzi sahihi kulingana na bajeti zao.

Fungukeni wadau.

Ukiachana na nauli elekezi za sumatra nauli bado zipo chini na za ushindani kwa mabasi husika, tufungue macho kwenu basi gani kali?
Tatizo la Bongo ni moja tu.

Kampuni ikiwa mpya inakimbiza. Magari yake yakianza kuchakaa kwa wakati mmoja inakuwa balaa.

Hakuna proper plan ya ku phase-out magari yaliyochoka. Ni breakdown kila siku. Ndiyo kinachompata Darlux kwa sasa.

Vinaanza vikampuni vingine na bus mbili tatu. Yakiwa mapya wanakimbiza. Wape miezi sita au mwaka. Hamna kitu.
 
Tatizo la Bongo ni moja tu.

Kampuni ikiwa mpya inakimbiza. Magari yake yakianza kuchakaa kwa wakati mmoja inakuwa balaa.

Hakuna proper plan ya ku phase-out magari yaliyochoka. Ni breakdown kila siku. Ndiyo kinachompata Darlux kwa sasa.

Vinaanza vikampuni vingine na bus mbili tatu. Yakiwa mapya wanakimbiza. Wape miezi sita au mwaka. Hamna kitu.
New Force Ndio wanahio tabia mabasi yao yakichoka wanawauzia kampuni zingine.

Leo nimeona FRESTER ina rangi ya NewForce ila nahisi ni kama kampuni tanzu ya NEWFORCE
 
Mkuu stop engine kwenye bus? Mbona hata haisikiki.. jacob isikilize kwa wale wahuni wa TRH na DIAZ..

Kuna sunlong ya galaxy inaunguruma vizuri sana, ndiyo bus pekee hiyo njia inanikosha kwa muungurumo!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Mkuu stop engine zinasikika sana kwenye basi zenye injini za Nissan Diesel UD kama Adventure, Saratoga,Moa na Injini za Isuzu.

Hata kwenye busi zilizofungwa injini ya Scania. Naikumbuka Al Saedy"Aguero" ya Dar-Mahenge stop engine unazisikia vyema gari ikiwa inashuka miteremko ya mlima Nyani na Ndororo.

Hata Zhongtong za Golden Deer ukitulia unaweza sikia retarder gari ikiwa inashuka kwenye mteremko mkali.
 
Jake brake na stop engine ni tofauti!
Hata hizo scania zenu hazina Jake brake. Zina stop engine inayosikika kwa mbali na isiyo na mzuka..

only Americans can tremble my @ss with jake brake

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Jake brake hii kwenye gari za mmarekani kama Freight liner au Peterbit ni hatari sana huo mlio wake.
Mlio unaleta sana mzuka unaweza ukasahau kuwa vyuma vimekaza.
 
E8E703DC-FFC7-4367-8AA0-8E6C97D3C7EF.png
E8E703DC-FFC7-4367-8AA0-8E6C97D3C7EF.png
 
Mkuu stop engine zinasikika sana kwenye basi zenye injini za Nissan Diesel UD kama Adventure, Saratoga,Moa na Injini za Isuzu.

Hata kwenye busi zilizofungwa injini ya Scania. Naikumbuka Al Saedy"Aguero" ya Dar-Mahenge stop engine unazisikia vyema gari ikiwa inashuka miteremko ya mlima Nyani na Ndororo.

Hata Zhongtong za Golden Deer ukitulia unaweza sikia retarder gari ikiwa inashuka kwenye mteremko mkali.
Mlima ndororo n hatareeeeeh san mweeeeh naukumbuka san huo. Kuelekea mahenge
 
Kabla hujaanza kuupanda kulikuwa na kibao cha kukupa onyo upande na gia kubwa, maana wageni wengi walidharau na kupelekea ajali.
 
Back
Top Bottom