ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rungwa hadi singida300 km ni kutoka wapi hadi wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rungwa hadi singida300 km ni kutoka wapi hadi wapi?
300 km ni kutoka wapi hadi wapi?Hiyo route inazunguka mtera ni ndefu so hakuna gari za maana hata mbeya arusha..ila barabara ya kwenda tabora ikikamilika itapunguza umbali kwa hiyo gari nzuri zitakuja na kutoka mbeya to mwanza/arusha/moshi/kahama/musoma bus zitatoboa badala ya kulala njiani..kuweni wapole bado kipande cha kama km 300 hivi lami kukamilika na uzuri hii njia ina mlima 1 tu
Labda- sababu hesabu zinagoma.Rungwa hadi singida
Mza - Mbeya Kuna Mnyama Kapricon Anaamsha Kinyama Isamilo, Premier & Fikoshi Hoi
Hiyo route inazunguka mtera ni ndefu so hakuna gari za maana hata mbeya arusha..ila barabara ya kwenda tabora ikikamilika itapunguza umbali kwa hiyo gari nzuri zitakuja na kutoka mbeya to mwanza/arusha/moshi/kahama/musoma bus zitatoboa badala ya kulala njiani..kuweni wapole bado kipande cha kama km 300 hivi lami kukamilika na uzuri hii njia ina mlima 1 tu
Kuna Dubwana moja Coastline lile mpaka PC unachaji..hata uwe na Desktop unawasha unaendelea na pilika zako.
#Kiungo Mchezeshaji....Sijui kama lipo.Kigoma.Tabora
Tatizo la Bongo ni moja tu.
Kampuni ikiwa mpya inakimbiza. Magari yake yakianza kuchakaa kwa wakati mmoja inakuwa balaa.
Hakuna proper plan ya ku phase-out magari yaliyochoka. Ni breakdown kila siku. Ndiyo kinachompata Darlux kwa sasa.
Vinaanza vikampuni vingine na bus mbili tatu. Yakiwa mapya wanakimbiza. Wape miezi sita au mwaka. Hamna kitu.
Hawana nafsi kivipi mkuu?Kidia one - Dar to Mwanza
Isamilo - Mwanza to Dar
Mghamba-Chuga to Mwanza.
Ila funga kazi ipo Dar to Mbeya,Kahama to Dar na Kagera to Dar.huko ndo kuna madereva ambao hawana nafsi.
Hakuna bus hapo mkuu.. walichonifanyia siji kurudia, ticket nmekata jumapili nakuja kusafiri jumatano [emoji706]Dar lux Mwanza -Dar , ile kampuni acha kabisa kila kiti usb chaji ..... Siti ni 2 by 2 huwa nikikuta limejaa naairisha kabisa safari
Mkuu sio kampuni moja tuelewane kwa ilo ufanano wa ile mistari ndio isikuaminishe ni kampuni moja. Iyo kitu hakipo
Iringa,mbeya,songea wanakimbiza sana magari.Hawana nafsi kivipi mkuu?
Mate wapi hiyo? Peramiho, Ruhuwiko, Msamara, Lizaboni au Londoni?[emoji1787][emoji1787]Dar-songea
Super feo
Mate ziwa nyasa hiyo maeneo ya lituhiMate wapi hiyo? Peramiho, Ruhuwiko, Msamara, Lizaboni au Londoni?[emoji1787][emoji1787]
Ooh sawa mateMate ziwa nyasa hiyo maeneo ya lituhi
Yes mate..nikitia nanga mjini maeneo ya mfaranyaki au mjimwema.Ooh sawa mate
Weee mam kumbe kule kwetu unakujua? Mateka, ruvuma, bombambili, mahenge, mfaranyaki, majengo, mshangano, mtyangimbole, mletele, matogoro, uwiiiiiiiiiiih Wakunyumba mie.Mate wapi hiyo? Peramiho, Ruhuwiko, Msamara, Lizaboni au Londoni?[emoji1787][emoji1787]
Usisahau makambi, na likuyufusi, Wakunyumba mieeYes mate..nikitia nanga mjini maeneo ya mfaranyaki au mjimwema.
Saivi ni Tavavili ExpressDar-songea
Super feo
😂😂😂😂 Unanikumbusha kwetuUsisahau makambi, na likuyufusi, Wakunyumba miee