Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Inategemea, Umiliki wa kampuni ni kuwa na hisa nyingi, lakn hao wote ni watendaji wakuu wa kampuni, ikiwamo CEO wa kampuni. Kama kampuni ni ya mke na mme wamiki ninwao, kama ni ya partners, ni hao wamiliki.
Unamaanisha kuna kampuni managing director ni mkuu kuliko Executive director? Au Unamaanisha wakati mwingine cheo kimoja hushikwa na mtu mmoja huyohuyo? Kivyovyote vile, kwa chakula kilichopo mezani, je huyu managing director ndo executive director wa hiyo kampuni?
 
"Mimi siyo mtu wa ajabu"- Mh. J.P Magufuli
  • Nachukia wala rushwa
  • Upendeleo

 
Mradi mkubwa ninaokumbuka vizuri ni ule wa ujenzi wa barabara pamoja na daraja la Mbutu! Huu mradi naukumbuka kwa sababu ulitumiwa na CCM kwenye kampeni za uchaguzi mdogo Igunga baada ya Rostam kuachia ngazi!!!

Hata hivyo, sina uhakika huu mradi kama ulienda vizuri manake mwaka jana Mbunge wa Serengeti alimripua bungeni huyu Stephen Matiko kwamba yeye pamoja na wakandarasi wenzake wamelamba 14 Billion lakini hakuna cha maana kilichofanyika!!
Mkuu get your facts right.
Darsja la Mbutu lilimalizika kwa mafanikio makubwa kitambo sasa na linatumika.
Unachiongelea kule Mara ni barabara ya Makutano~Sanzate ambayo iko poorly funded.
Wanasiasa wa Mara wameufanya mradi huo kuwa politicalnpunching bag.

Watu wako radhi waafrika wenzao wasiendelee ili kujionea ufahari kuwa wamejengewa na wazungu.
 
JE HUYU MKANDARASI TULIYEMPA HII KAZI AMESHAWAHI KUFANYA KAZI KAMA HII MAHALI GANI TENA DUNIANI.. NA KAMA JIBU NI NDIYO JE UWANJA HUO NI WA UKUBWA GANI NA UKO WAPI?
Kijana ili uzae mtoto tupe uwezo wako kama umewahi kuzaa !!
A very stupid train of thought inayotokana na kujidharau na kutojiamini.
 
Sina uhakika!

Hata hivyo, nilicho na uhakika nacho ni kwamba, Managing Director ni Stephen Makigo! Huyu Stephen Makigo aliwahi kuteuliwa na JPM kuwa Mjumbe wa TEMESA mwaka 2012! Kwa maana nyingine, kuna kila dalili kwamba JPM anafahamiana na Managing Director wa hii kampuni.

UPDATE:
CV ya Stephen Makigo:
View attachment 625369

Ni mshikaji flan hivi; kitambo sana... ndo maana wakati nipo ujenzi nikamtupa kwenye ujumbe TAMESA na hivi sasa kala shavu la kandarasi nene!!!
Kwa uwezo alokuwa nao kwa ss ukitaka kazi ya ujenzi popote tanzania ukapitia kwa huyo jamaa ujue umepata kazi na ndiye mwangalizi wa familia ya mkuu kwa ss hata pombe kwa ss kaacha hayuko serikalini lkn ananguvu kubwa sana serikalini kazi anapewa mojakwamoja na mkuu hakuna cha tenda,huyo ndo mayanga constraction,mr makego.
 
Acha tuendelee kuimba wimbo wa uzalendo tukija kushtuka Zimbabwe hii hapa
 
Kwa uwezo alokuwa nao kwa ss ukitaka kazi ya ujenzi popote tanzania ukapitia kwa huyo jamaa ujue umepata kazi na ndiye mwangalizi wa familia ya mkuu kwa ss hata pombe kwa ss kaacha hayuko serikalini lkn ananguvu kubwa sana serikalini kazi anapewa mojakwamoja na mkuu hakuna cha tenda,huyo ndo mayanga constraction,mr makego.
Unamzungumzia Makigi sio?!

Halafu kuna kitu na-suspect hapa!! Ukiingia Contractors Registration Board, hii kampuni ina Reg No ya mwaka 2007 na 2016. Kuna anayefahamu how CRB works? Manake kwangu mimi inaonekana kama kuna mabadilko yalifanyika at least kwenye ownership ya kampuni ndo maana ikapewa new registration. Na kama kuna hizo changes, then sounds likee kuna jina (mtu) limeingizwa kwa ajii ya kulinda maslahi ya mtu mwingine!!!

Mkuu BAK, una uelewa wowote kuhusu CRB wanavyofanya reg zao?
 
Unamzungumzia Makigi sio?!

Halafu kuna kitu na-suspect hapa!! Ukiingia Contractors Registration Board, hii kampuni ina Reg No ya mwaka 2007 na 2016. Kuna anayefahamu how CRB works? Manake kwangu mimi inaonekana kama kuna mabadilko yalifanyika at least kwenye ownership ya kampuni ndo maana ikapewa new registration. Na kama kuna hizo changes, then sounds likee kuna jina (mtu) limeingizwa kwa ajii ya kulinda maslahi ya mtu mwingine!!!

Mkuu BAK, una uelewa wowote kuhusu CRB wanavyofanya reg zao?
Ni kawaida tu lkn kifupi kampuni hii inamkono wa mkuu wa nchi %100kwa 100 watu wanazani huyu ni mwema lkn si kweli tena ni hatari wala kikwete hasogei.
 
Mkuu get your facts right.
Darsja la Mbutu lilimalizika kwa mafanikio makubwa kitambo sasa na linatumika.
Unachiongelea kule Mara ni barabara ya Makutano~Sanzate ambayo iko poorly funded.
Wanasiasa wa Mara wameufanya mradi huo kuwa politicalnpunching bag.

Watu wako radhi waafrika wenzao wasiendelee ili kujionea ufahari kuwa wamejengewa na wazungu.
Fact yangu ni kama nilivyosema hapo awali kwamba "Sina uhakika kama mradi ulienda vizuri!" Hiyo ndiyo kauli yangu na suala la kutoenda vizuri ni kauli ya mtu mwingine... kwahiyo hapo sina tuhuma!!!

Connection ya huo mradi wa Mbutu na barabara ya Makutano-Sanzate ilitolewa na huyo mbunge niliyemtaja kwa kauli yake kwamba, aliyepewa hizo barabara ulizotaja ni huyo huyo Stephen Matiki ambae, kwa mujibu wa huyo mbunge, hapakuwa na cha maana walichokuwa wamefanya kwenye huo mradi!!

Kwahiyo, Mbutu-Makutano-Sanzate; vyote sio kauli yangu na kwa bahati nimetowa hadi jina la source ambapo kumbukumbu zake zipo kwenye Hansard!!
 
Ni kawaida tu lkn kifupi kampuni hii inamkono wa mkuu wa nchi %100kwa 100 watu wanazani huyu ni mwema lkn si kweli tena ni hatari wala kikwete hasogei.
Jambo ambalo lilinifanya nimshuku Mkulu ni pale alipokacha kwenda kuzindua uwanja wa ndege jambo ambalo si kawaida yake!!

Mkulu anayezindua hadi miradi ya Sh. 1 Billion leo hii anaacha kuzindua mradi wa 41 Billion!! Watu wanaamini eti aliona aibu kwa uwanja unaoaminika hautakuwa na tija kujengwa kijijini kwake lakini kimsingi, hapa alikuwa anafanya psychological trick ya kutojiweka karibu kwa namna yoyote na kampuni iliyopewa tenda!!!
 
Watu hawajaelewa tu lkn huyu bwana ni hatari sana wakati akiwa waziri wa ujenzi kila manegar wa tanrod kila mradi radhima akate pesa za jamaa aliyeshindwa aliondolewa ila kwakuwa akili ni zrto basi
 
Unamzungumzia Makigi sio?!

Halafu kuna kitu na-suspect hapa!! Ukiingia Contractors Registration Board, hii kampuni ina Reg No ya mwaka 2007 na 2016. Kuna anayefahamu how CRB works? Manake kwangu mimi inaonekana kama kuna mabadilko yalifanyika at least kwenye ownership ya kampuni ndo maana ikapewa new registration. Na kama kuna hizo changes, then sounds likee kuna jina (mtu) limeingizwa kwa ajii ya kulinda maslahi ya mtu mwingine!!!

Mkuu BAK, una uelewa wowote kuhusu CRB wanavyofanya reg zao?

  1. MAYANGA CONTRACTORS CO. LTD C1/0056/12/2007 STEVEN P. MAKIGO P.O. BOX 10795 MWANZA SHAN CINEMA BUILDING,OLD DSM ROAD,MWANZA CIVIL Local 1 : TYPE OF CONTRACTOR: CIVIL View Details Source: http://www.crb.go.tz/contractors?
  2. MAYANGA CONTRACTORS CO. LTD B1/154/04/2016 STEPHEN MAKIGO P.O. BOX 10795 MWANZA PLOT NO.424, BLOCK A,MUSOMA ROAD,NYAMHONGOLO, MWANZA BUILDING Local 1 TYPE OF CONTRACTOR : BUILDING View Details source: Contractors Registration Board
 
Kwani John fomu foo alipata divisheni ngapi? Na je fomu siksi?
Ngoja kwanza niulize vizuri watu wanasema nini kuhusu kupotea kwa Ben Saanane manake kama nilisikia alikuwa anahoji hoji haya mambo!!!!
 
  1. MAYANGA CONTRACTORS CO. LTD C1/0056/12/2007 STEVEN P. MAKIGO P.O. BOX 10795 MWANZA SHAN CINEMA BUILDING,OLD DSM ROAD,MWANZA CIVIL Local 1 : TYPE OF CONTRACTOR: CIVIL View Details Source: http://www.crb.go.tz/contractors?
  2. MAYANGA CONTRACTORS CO. LTD B1/154/04/2016 STEPHEN MAKIGO P.O. BOX 10795 MWANZA PLOT NO.424, BLOCK A,MUSOMA ROAD,NYAMHONGOLO, MWANZA BUILDING Local 1 TYPE OF CONTRACTOR : BUILDING View Details source: Contractors Registration Board
From Civil to Building Contracting bado haifuti possibility ya change of ownership!
 
Fact yangu ni kama nilivyosema hapo awali kwamba "Sina uhakika kama mradi ulienda vizuri!" Hiyo ndiyo kauli yangu na suala la kutoenda vizuri ni kauli ya mtu mwingine... kwahiyo hapo sina tuhuma!!!

Connection ya huo mradi wa Mbutu na barabara ya Makutano-Sanzate ilitolewa na huyo mbunge niliyemtaja kwa kauli yake kwamba, aliyepewa hizo barabara ulizotaja ni huyo huyo Stephen Matiki ambae, kwa mujibu wa huyo mbunge, hapakuwa na cha maana walichokuwa wamefanya kwenye huo mradi!!

Kwahiyo, Mbutu-Makutano-Sanzate; vyote sio kauli yangu na kwa bahati nimetowa hadi jina la source ambapo kumbukumbu zake zipo kwenye Hansard!!
You tend to believe in innuendos(majungu) na kuyafanya ndio fact.

Kwamba umeandika kuwa hujui kama mradi umefanikiwa au kumalizika sio utetezi, maana umeandika in negativity, wishing your negative views were true.
Shame!

Watanzania kama wewe sijui mmelaaniwa na nani.
 
Wadau, mimi hayo ndio maswali yangu na anaeweza kutoa majibu atusaidie na ikiwezekana atoe na nyaraka kusapoti majibu yake.

Kama ana document za kutangaza tender kama vile gazeti,n.k atuweke hapa na nyaraka zingine zote muhumu katika utangazaji na utoaji wa tender.

Nasikia hii kampuni ni ya wazawa(sijui ukweli wa hili jambo) ila kama ni kweli basi si vibaya tukawajua maana watakuwa wamesaidia fedha nyingi isiende nje ya nchi lakini ni lazima tujue kama sheria na taratibu zimezingatiwa katika kuwapatia tender hiyo.

Hata kama itakuwa ni kampuni ya kigeni nayo tungependa kujua namna ilivyopewa tender/kandarasi husika.

Ni hayo tu.

Kwako Salary Slip, ungeitendea haki hoja yako, kama ungefanya utafiti kwanza kupata majibu ya maswali yako. Pamoja na hilo, kama ungegundua kuna ukiukwaji wa taratibu, ungetwambia ni hatua gani umechukua/zimechukuliwa au hazijachukuliwa ili tujachangie ipasavyo, wa kulaumu, kukejeli, kuzomea, kutetea, na iwe rukhsa.

Mwenye uchungu na nchi hii, na anaamini kuna Katiba, Sheria na Kanuni, atatumia njia sahihi siyo kuhoji tu ili kutafuta na kupata haki yake. Hivyo kuhoji nje ya utaratibu tuliojiwekea ni dalili za siasa za chuki, zinazo anza kuota mizizi. Siyo afya njema ya Taifa letu.

Tumehoji, tunahoji na tutaendelea kuhoji, kwa kuwa ni haki yetu kama ilivyo haki ya anayehojiwa kujibu au kutokujibu.

Nami nasema Ni hayo tu kwako ewe Salary Slip.
 
Kijana ili uzae mtoto tupe uwezo wako kama umewahi kuzaa !!
A very stupid train of thought inayotokana na kujidharau na kutojiamini.

sio suala la kujidharau na kutojiamini, Construction na Engineering haviko hivyo unavyofikiri wewe.
Huwezi ukatoa tenda ya serious poject kwa kampuni ambayo haikuwahi kufanya hiyo kazi popote pale, kwanini basi Standard gauge, flyover nk tusingewapa wazawa na kampuni isiyo na uzoefu kabisa kama ni suala la kujiamini?

Kujenga uzoefu kwenye Engineering na Construction kuna njia zake kwa individuals na companies, ndio maana tuna apprentices na trainees ambao ni watu wenye degree/diploma kabisa.. Kampuni yeyote ya construction pamoja na kuwa na wataalamu na vifaa huwezi kuipa kazi kubwa kama daraja la kigamboni ikawa ndio inajaribu hapana HAPANA kwa kampuni kufikia hiyo stage kuna viwango wake na njia zake..
 
sio suala la kujidharau na kutojiamini, Construction na Engineering haviko hivyo unavyofikiri wewe.
Huwezi ukatoa tenda ya serious poject kwa kampuni ambayo haikuwahi kufanya hiyo kazi popote pale, kwanini basi Standard gauge, flyover nk tusingewapa wazawa na kampuni isiyo na uzoefu kabisa kama ni suala la kujiamini?

Kujenga uzoefu kwenye Engineering na Construction kuna njia zake kwa individuals na companies, ndio maana tuna apprentices na trainees ambao ni watu wenye degree/diploma kabisa.. Kampuni yeyote ya construction pamoja na kuwa na wataalamu na vifaa huwezi kuipa kazi kubwa kama daraja la kigamboni ikawa ndio inajaribu hapana HAPANA kwa kampuni kufikia hiyo stage kuna viwango wake na njia zake..
Mkuu usipojiamini huwezi fanya kitu kamwe.
Reli ya TAZARA ilijengwa na wachina mwaka 1971-1975, in FOUR YEARS.
Waarekani waliita bamboo railway ili kuwakatisha tamaa, kwa kjiamini wachina walijenga narei hiyo ipo mpaka leo , kiteknolojiabado inadunda.
Tatizo kubwa watanzania wengi wanabaki kuwa wa vitabuni na si practical.
Watu waajiita maconsultant wa engineering lakini hata kukoroga na kulitofauisha zege la class 15, 20 ,25 au 30 hawawezi practically na hawajui watumie njia ipi kufikia huko.
Sasa hebu niambie hapa kilicho kigumu kjenga barabara ya lami kutua Ndege na jingo la kupokelea abiria ni lipi haswa?
 
Back
Top Bottom