Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe unawashwa na nini?Wadau, mimi hayo ndio maswali yangu na anaeweza kutoa majibu atusaidie na ikiwezekana atoe na nyaraka kusapoti majibu yake.
Kama ana document za kutangaza tender kama vile gazeti,n.k atuweke hapa na nyaraka zingine zote muhumu katika utangazaji na utoaji wa tender.
Nasikia hii kampuni ni ya wazawa(sijui ukweli wa hili jambo) ila kama ni kweli basi si vibaya tukawajua maana watakuwa wamesaidia fedha nyingi isiende nje ya nchi lakini ni lazima tujue kama sheria na taratibu zimezingatiwa katika kuwapatia tender hiyo.
Hata kama itakuwa ni kampuni ya kigeni nayo tungependa kujua namna ilivyopewa tender/kandarasi husika.
Ni hayo tu.
Rostam huwaita mafisadi nyangumiAnajitia kupambana na ufisadi kumbe yeye ni fisadi papa.
Bado kuwa deleted tuKumbe ni kampuni ya MWANZA hapo sawa
This is a good question and I support accountability.Wadau, mimi hayo ndio maswali yangu na anaeweza kutoa majibu atusaidie na ikiwezekana atoe na nyaraka kusapoti majibu yake.
Kama ana document za kutangaza tender kama vile gazeti,n.k atuweke hapa na nyaraka zingine zote muhumu katika utangazaji na utoaji wa tender.
Nasikia hii kampuni ni ya wazawa(sijui ukweli wa hili jambo) ila kama ni kweli basi si vibaya tukawajua maana watakuwa wamesaidia fedha nyingi isiende nje ya nchi lakini ni lazima tujue kama sheria na taratibu zimezingatiwa katika kuwapatia tender hiyo.
Hata kama itakuwa ni kampuni ya kigeni nayo tungependa kujua namna ilivyopewa tender/kandarasi husika.
Ni hayo tu.
Hizo ripoff za CAG zinakuja na hazifanyiwi chochote
Sina uhakika!
Hata hivyo, nilicho na uhakika nacho ni kwamba, Managing Director ni Stephen Makigo! Huyu Stephen Makigo aliwahi kuteuliwa na JPM kuwa Mjumbe wa TEMESA mwaka 2012! Kwa maana nyingine, kuna kila dalili kwamba JPM anafahamiana na Managing Director wa hii kampuni.
UPDATE:
CV ya Stephen Makigo:
View attachment 625369
Ni mshikaji flan hivi; kitambo sana... ndo maana wakati nipo ujenzi nikamtupa kwenye ujumbe TAMESA na hivi sasa kala shavu la kandarasi nene!!!
Sina uhakika!
Hata hivyo, nilicho na uhakika nacho ni kwamba, Managing Director ni Stephen Makigo! Huyu Stephen Makigo aliwahi kuteuliwa na JPM kuwa Mjumbe wa TEMESA mwaka 2012! Kwa maana nyingine, kuna kila dalili kwamba JPM anafahamiana na Managing Director wa hii kampuni.
UPDATE:
CV ya Stephen Makigo:
View attachment 625369
Ni mshikaji flan hivi; kitambo sana... ndo maana wakati nipo ujenzi nikamtupa kwenye ujumbe TAMESA na hivi sasa kala shavu la kandarasi nene!!!
Mkuu unajua amewahi kufanya kazi zipi nchini za ukandarasi? Hapa nataka kujua kama ana uzoefu au ndiyo mpigaji madili wa Ikulu kafanya yake.
Mayanga yupo sababu ya JPM. Toka akiwa waziri huyo ni mtu wake. JPM aache kupendelea Chato maana watanzania wote wanamtazama.
Very pathetic
Hivi managing director na executive director ni nani mmiliki wa kampuni? Sorry, kuuliza si ujinga waungwana, haya mambo mimi ni mgeni.Classmate.
Maswali kama haya wapeni wabunge wenu wakaulize bungeni.
Tunahangaika kuulizana JF, toka 2016 uwanja unajengwa, wabunge wenu hawasemi kitu hali kuwa pesa wanaidhinishwa tu. Wanaidhinisha pasipokujua mchakato na sababu za ujenzi?
Labda nami niongeze swali lingine hapa, kwa sasa ni viwanja vingapi vya kimikoa vinajengwa nchini? La mwisho,hivi ni kweli bilioni chini ya 50 inaweza ikajenga uwanja na ukawa na vigezo vyote vya kuitwa wa kimataifa? Kama ndivyo tungeujenga Kibaha, nadhani utakuwa ni wa kisasa zaidi ya wa Julius.Kwa upande wa uwezo Mkandarasi anakidhi vigezo vya kimataifa kwani ni class 1 contractor in Building and civil works and also ana uzoefu wa kazi za ujenzi wa muda mrefu hivyo kwenye uzoefu wa job with similar work mkandrasi yuko vzuri pia ni Mkandarasi mzawa anafanya mradi mkubwa wa lami Makutano - Mugumu alishakamilisha Daraja la Mbutu wilayani Igunga
Swali la msingi ni je sheria za manunuzi yaani PPRA zilifuatwa? lakini kiuwezo mkandarasi yuko vzuri sana.
Inategemea, Umiliki wa kampuni ni kuwa na hisa nyingi, lakn hao wote ni watendaji wakuu wa kampuni, ikiwamo CEO wa kampuni. Kama kampuni ni ya mke na mme wamiki ninwao, kama ni ya partners, ni hao wamiliki.Hivi managing director na executive director ni nani mmiliki wa kampuni? Sorry, kuuliza si ujinga waungwana, haya mambo mimi ni mgeni.
Mradi mkubwa ninaokumbuka vizuri ni ule wa ujenzi wa barabara pamoja na daraja la Mbutu! Huu mradi naukumbuka kwa sababu ulitumiwa na CCM kwenye kampeni za uchaguzi mdogo Igunga baada ya Rostam kuachia ngazi!!!Mkuu unajua amewahi kufanya kazi zipi nchini za ukandarasi? Hapa nataka kujua kama ana uzoefu au ndiyo mpigaji madili wa Ikulu kafanya yake.