Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,221
- 2,359
Kama ni hivyo wabaki nyumbani, wanaingia kufanya nini? Tatizo lao wanataka Serikali itoe majibu yatakayowafurahisha wao kinyumbe chake wanasikia kichefuchefu.Thubutu,
labda kama unataka kutolewa nje ya Bunge na kifungo juu!
kule kinachotakiwa ni mapambio tu!