Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,059
Ni ndoto kwamba eti kuna mtu mmoja ataweza kupamabana au kuthibiti rushwa na ufisadi Tanzania. Ufisadi wote nchini kwetu unafanywa ki-mfumo na ki-taasisi hivyo haiwezekani mtu mmoja afanye yanayotakiwa. Magufuli hawezi (natumai analijua hilo) na haitawezekana kwa mtu mmoja kufanya.
Lazima kama nchi tujenge taasisi na mifumo imara kwanza = Katiba Mpya. Lazima tuanze kwenye shina, kwenye msingi, na Katiba ndio mahali pekee sahihi pa kuanzia. Kisha tuje kwenye Sera, Sheria, Kanuni na elimu na mafunzo na mengineyo.
Kuna watu wanabeza umuhimu wa Katiba Mpya, wanasema hawaoni au hawajui umuhimu wake.Sasa ukweli ni kwamba ingawa Katiba Mpya si 100% solution to all problems in the land but it is the single major factor to bring about the desired solutions.
Lazima kama nchi tujenge taasisi na mifumo imara kwanza = Katiba Mpya. Lazima tuanze kwenye shina, kwenye msingi, na Katiba ndio mahali pekee sahihi pa kuanzia. Kisha tuje kwenye Sera, Sheria, Kanuni na elimu na mafunzo na mengineyo.
Kuna watu wanabeza umuhimu wa Katiba Mpya, wanasema hawaoni au hawajui umuhimu wake.Sasa ukweli ni kwamba ingawa Katiba Mpya si 100% solution to all problems in the land but it is the single major factor to bring about the desired solutions.