Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Sio kubadilisha jina ni kuuza majority of shares za umiliki wa kampuni kwa mtu mwingine ambaye automatically ndiye atabadiri jina. Ila ukibadili jina halafu majority of shares zikawa bado mikononi mwako utalipishwa kodi stahiki after five years.Mwekezaji mpya hupewa likizo ya Kodi Kwa miaka mitano.Hivyo Kila ukibadilisha jina unapata tax exemption ya miaka hiyo mitano.
Pia kusajiri Kampuni kwenye nchi nyingi ni moja ya njia ya kukwepa kodi kama ilivyofanyika ila sehemu zote mbili wanakuwa hawajavunja sheria