Wataalamu wetu wa masuala ya kodi, uchumi na uwekezaje mnatuyumbisha kwenye huu uzi. Mpaka sasa nimewasoma wote lakini bado sijajua ni nani yupo sahihi.
Kwanini msilete facts mnabisha na kuchambana tu? Kuna hizo sheria na articles zipo kwanini msituwekee basi tusome hata wenyewe?
Mbona sisi kwenye masuala tuliyobobea huwa tunatoa ufafanuzi usiowachanganya wengine washindwe kujua yupi yupo sawa??
Mkuu kuna vitu DUNIANI vinaendelea ukiambiwa wewe utashindwa kuamini na utabisha
Yes kwa mfano nikikuambia nitajie KAMPUNI zinazongiza mkwanja mrefu DUNIANI
najua moja kwa moja utaenda
APPLE
MICROSOFT'S
SAUDI RAMCO
ALPHABET
AMAZON
Tesla
Meta. N.k
Ngoja nikupe habari
THE GIANT COMPANY ni mbili tu DUNIANI
kuna wakuitwa BLACK ROCK na THE VANGUARD
hao jamaa wana HISA kwa kila kampuni kubwa inayoingiza mkwanja mrefu DUNIANI hasa upande wa TECHNOROGY
mfano kwa APPLE blackrock ndo anashika namba mbili kwa kuwa na HISA nyingi zaidi
Pengine hata kwenye DPWORD wametia ela
Mana hao jamaa ndo wazee wa kutake Risk hatari zaidi duniani
Itachukua muda mrefu sana kuuangusha UFALME WA MMAREKANI
Ila itabidi mkubari tu WAYAHUDI ndo baba wa BIASHARA that's why ADOLF alikuwa na wivu mpk akataka kuwaangamiza wote
Ndio mana leo hii URUSI na CHINA inamuumiza sana kichwa MMAREKANI akifanya chochote kuwatingisha ANAJIBACKFIRE mwenyewe
ndio maana TRUMP mfanya BIASHARA anajua madhara ya URUSI na CHINA kiuchumi that's why alienda nao fea alitumia tu ule usemi IF YOUCAN'T BEAT EM JOIN EM
Lakini pia trump pamoja na UBABE wake wote wa kutaka KEKI ya TAIFA alambe kila MMAREKANI ila MKATABA wa ISRAELI na MAREKANI anaueshimu
7bu anajua katika list za
MOST LAGEST COMPANY
MOST PROFITABLE COMPANY
MOST RICHESTY COMPANY
MOST RICHEST INVESTORS
wapo hao jamaa ndo wanaongoza yaani ipo hvyo
Ila nakusanua kingine hiyo ipo hivi
Ila ukiacha BIASHARA ya OIL na MADINI basi BIASHARA ya SILAHA ndo most PROFITABLE bussnes underworld kwa marekani na anafanya TRADE ya SILAHA kwa na pesa KIDUCHU anachukua mafuta
Sasa MRUSI anamfatiliafatilia sana kila chaka lake kumtilia kitumbua mchanga urusi anatia TIMU kuvuruga mipango yake hovu
MAREKANI anakeleka sana kuharibiwa mingo zake na URUSI
Ndo mana VITA UKRAINE marekani aliona hapa ndo pa kumlambisha mchanga MRUSI na Urusi anakaza kweli kweli 7bu anajua VITA ya UKRAINE inampa faida nyingi licha ya uungwaji mkono na mataifa hasimu au yanayonyonywa ba marekani ila kuna mambo mengine kedekede anafaidika
Yaan mkuu hata wewe ungekuwa mmarekani huwezi kukukubari VITA YA UKRAINE iishe kizembe hasara hatazibeba nani
Yaani hiyo piga nikupige mpk kieleweke
Ingawa machaka mengi ya Marekani yamepwaya huko anakoiba RASILIMALI ila vita itapigwa UKRAINE mpk kieleweke tu