Kampuni inayomiliki Tigo yabadili jina, sasa ni Honora Tanzania

Kampuni inayomiliki Tigo yabadili jina, sasa ni Honora Tanzania

Wataalamu wetu wa masuala ya kodi, uchumi na uwekezaje mnatuyumbisha kwenye huu uzi. Mpaka sasa nimewasoma wote lakini bado sijajua ni nani yupo sahihi.

Kwanini msilete facts mnabisha na kuchambana tu? Kuna hizo sheria na articles zipo kwanini msituwekee basi tusome hata wenyewe?

Mbona sisi kwenye masuala tuliyobobea huwa tunatoa ufafanuzi usiowachanganya wengine washindwe kujua yupi yupo sawa??
Soma hapa

Although there isn't a universally agreed definition of what a tax haven is, a tax haven generally refers to a country or jurisdiction that enables multinational corporations and individuals to escape the rule of law in the countries where they operate and live, and to pay less tax than they should in those countries.
 
Y
Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri, yani unachukuwa Mgodi wa makaa ya mawe ambao kwa sasa makaa ni hot cake, halafu baada ya miaka mitatu unaacha? Unauza share?
Yes, walikuwa wanafanya hivyo. Unayemuuzia actually kampuni yenu kwa jina lingine mkwepe kodi, na maisha yanaendelea kunyonya weusi. Ukifika mwaka wa tatu mna declare hasara na kujifanya kuuza share.......anayekuja anaanza msamaha wa kodi pia wa miaka mitatu
 
Uko vyema sna Dr

Naoomba unipe abcd za bollore logistics

Kuna faili langu hapo ofcn kwao Hadi Sasa sijajibiwa tabata mwananchi
Sijaelewa file lako linahusu nini, lakini Air freight Manager wao Niko naye vizuri office zao ziko terminal one airport.

Pale Tabata relini kuna watu wangu wawili lakini wao ni watu wa operation bandarini sidhani kama wanaweza kuwa msaada kwako.
 
Hadi sasa hili swali halijajibiwa...wanakwepaje kodi?
Kuna Tax evasion na Tax avoidance

Wanachofanya hao ni Tax Avoidance.
Kwa kubadili jina,Kuna exemption ya kodi watapata tena kwa kipindi Fulani,
Kiliisha utaona tena wanaswitch kwenda kwenye jina jingine.

Hiyo ni technique moja tu wametumia hapo.
Zipo na nyingine nyingi.
 
Y

Yes, walikuwa wanafanya hivyo. Unayemuuzia actually kampuni yenu kwa jina lingine mkwepe kodi, na maisha yanaendelea kunyonya weusi. Ukifika mwaka wa tatu mna declare hasara na kujifanya kuuza share.......anayekuja anaanza msamaha wa kodi pia wa miaka mitatu
Yani uuze kampuni wakati mnapiga pesa ndefu ili mkwepe kodi? Hivi Bakhressa anaweza kukuuzia Azzam?

Think twice.
 
Kampuni mpya ya Honora Tanzania imetoa taarifa kwa wadau wake katika biashara kubadili jina kutoka MIC Tanzania kwenda Honora Tanzania. Pamoja na kubadili jina la kampuni, Honora wataendelea kutumia 'Brand name' ya Tigo na huduma zote zitabaki kama zilivyo.

Honora Holdings Limited imesajiliwa Mauritius.

View attachment 2725843
Nasikia sterling wa game hizi ni Rostam na mstaafu mmoja
 
Kampuni mpya ya Honora Tanzania imetoa taarifa kwa wadau wake katika biashara kubadili jina kutoka MIC Tanzania kwenda Honora Tanzania. Pamoja na kubadili jina la kampuni, Honora wataendelea kutumia 'Brand name' ya Tigo na huduma zote zitabaki kama zilivyo.

Honora Holdings Limited imesajiliwa Mauritius.

View attachment 2725843
Tigo siyo kampuni ni brand tu
 
Kampuni mpya ya Honora Tanzania imetoa taarifa kwa wadau wake katika biashara kubadili jina kutoka MIC Tanzania kwenda Honora Tanzania. Pamoja na kubadili jina la kampuni, Honora wataendelea kutumia 'Brand name' ya Tigo na huduma zote zitabaki kama zilivyo.

Honora Holdings Limited imesajiliwa Mauritius.

View attachment 2725843
Dah! Ahueni. Wangebadili na brand ya Tigo wangetuvuruga kweli wateja. Honora!!
 
Kuna Tax evasion na Tax avoidance

Wanachofanya hao ni Tax Avoidance.
Kwa kubadili jina,Kuna exemption ya kodi watapata tena kwa kipindi Fulani,
Kiliisha utaona tena wanaswitch kwenda kwenye jina jingine.

Hiyo ni technique moja tu wametumia hapo.
Zipo na nyingine nyingi.
Uhujumu uchumi👌🙏
 
🤣🤣Na Salah je?
Yule mwenye benk yake ya ndani kariakoo?
Kuna mdau alileta mada ya kudhulumiwa naye hapo kariakoo
Huyu ndio alipaswa kumwagiwa tindikali au amwagiwe tindikali.

Ana mlolongo wa shutuma za ukatili na utesaji anaowafanyia Watanzania.

Halafu mkwele eti akampa na ubalozi wa heshima Guangzhou, hii nchi INA vituko sana.
 
MIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!

Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]
Yale yale ya celtel, zain to airtel
 
Wataalamu wetu wa masuala ya kodi, uchumi na uwekezaje mnatuyumbisha kwenye huu uzi. Mpaka sasa nimewasoma wote lakini bado sijajua ni nani yupo sahihi.

Kwanini msilete facts mnabisha na kuchambana tu? Kuna hizo sheria na articles zipo kwanini msituwekee basi tusome hata wenyewe?

Mbona sisi kwenye masuala tuliyobobea huwa tunatoa ufafanuzi usiowachanganya wengine washindwe kujua yupi yupo sawa??
Nani kasema ni mtaalamu wa kodi?
 
GSM = Gharib
Home shopping = said

Ni ndugu ila sio kampuni moja, GSM ilikuwepo Zamani tu

Nitakupa mfano wa Biashara ya GSM ni battery za Tiger head, hizi battery zipo toka Nasoma msingi,

Said wa Home shopping alipata majanga akamwagiwa Tindikali hii ili tokea 2013 akashindwa kufocus na biashara akauza kila kitu na kwenda kutibiwa muda mrefu.

Alirudi kipindi cha Magu na kufungua kampuni kibao, in short huyu Said ni mjasiriamali Genious sana, Akileta kitu chake hata kkoo ujue masaa tu kinaishia, ni mtu mwenye Experience na choice nzuri ya Biashara, alianza kidogo kidogo sasa hivi Ana makampuni Makubwa mengi tu, si mtu wa kujionesha.
The point we are making is that Kikwete has always been a facilitator/broker of their businesses. Hata alipomwagiwa acid Vasco Dagama flew at our expense kwenda kumuona hospitali kwa Madiba!
The business relationship between hawa wamanga na Kikwete during his tenure as president was tantamount to STATE CAPTURE! Kama katiba iliyopendekezwa ingepitishwa Mkwere angesamishwa kizimbani to answer grand corruption charges.
 
Kampuni mpya ya Honora Tanzania imetoa taarifa kwa wadau wake katika biashara kubadili jina kutoka MIC Tanzania kwenda Honora Tanzania. Pamoja na kubadili jina la kampuni, Honora wataendelea kutumia 'Brand name' ya Tigo na huduma zote zitabaki kama zilivyo.

Honora Holdings Limited imesajiliwa Mauritius.

View attachment 2725843
Jina baya sana
 
MIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!

Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]

IMG_2493.jpg

yeye nape anasemaje??
 
Back
Top Bottom