Kampuni inayomiliki Tigo yabadili jina, sasa ni Honora Tanzania

Kampuni inayomiliki Tigo yabadili jina, sasa ni Honora Tanzania

Ni kwamba wawekezaji hupewa miaka 5 ya operation bila kulipa kodi then baada ya huo mda ndonhuanza kulipa kodi. Jamaa wanafanya 3 ama 4 years wanauza kwa madai wamepata hasara. Atakayekuja anaaza tena miaka 5 bure kudadeki
Ni sheria gani inawapa mwanya huu mkuu
 
Michezo ya kawaida Sana hiyo kwa King Maker Rostam Aziz. Ni wakati wake wa kula mema ya nchi baada ya miaka 2015-2021 kukomeshwa na lile jabali. King maker hakoso kuwa dalali wa DPW huyu. Huwa ni dalali wa mambo makubwamakubwa kama DPW
 
MIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!

Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]

Hii ni kwel kabisa mkuu
 
MIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!

Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]
Tigo, Voda na Airtel wanapata hasara za kutunga tu, ki uhalilisia jamaa wanamake profit sana
 
Sheria ipi inatoa mwanya huu mkuu
Kampuni za kigeni zinatangaza hasara miaka miwili au mitatu mfululizo harafu baadae wanatangaza kuuza umiliki kwenye kampuni nyingine kwa kubadili majina wanaanza upya mambo ya Tax sio wale waliopata hasara tena ndio maana utaona Airtel na Tigo wanavyocheza na huo mwanya kila baada ya muda wanabadili majina tuu...ipo kwenye Income Tax Act...
 
MIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!

Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]
Acha uzushi kijana
 
Duuuh huu uboya sasa...mfanyabiashara mdogo amewekewa tozo kibao kabla hata ya kupata leseni wafanyabiashara wakubwa wanapiga hela wanasepa..
Sera mojawapo ya nchi kuvutia foreign investors ni kuwapa tax holidays ya miaka mitano ili kujiimalisha then baada ya hapo wanaanza kulipa. Kama wanaingia hasara wanasepa zao.
 
Kitu pekee kinachonishangaza kwanini kampuni nyingi hata kama zinamilikiwa na watz lazima wakazifungulie nje
Ungekuwa kwenye mfumo ungeelewa kirahisi sana.

Rwanda ukitaka kufunguwa kampuni checklist ni vitu vichache tu.

Sasa njoo Tanzania, TRA peke yake kupata Tax clearance na Vat registration check list ni vitu 16, ni upuuzi mtupu.

Njoo kwenye certificate sasa, ndio utacheka.
 
Back
Top Bottom