Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Wanakwepaje kodi hapo mkuuWizi mtupu hapo wanabadili jina kukwepa kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakwepaje kodi hapo mkuuWizi mtupu hapo wanabadili jina kukwepa kodi
Sheria ipi inatoa mwanya huu mkuuDaah Nchi hii zinaongezwa Tozo tuu kwa Wachimba chumvi hao wanaoweza kulipa kodi wanakwepa kodi kwa kuangalia mianya ya Sheria mbovu zilizopo...
Halafu baadae itakuwa HonoruruBaadae watabadili tena kuwa honorata
Kwa jinsi itakavyo wapendezaHalafu baadae itakuwa Honoruru
Ni sheria gani inawapa mwanya huu mkuuNi kwamba wawekezaji hupewa miaka 5 ya operation bila kulipa kodi then baada ya huo mda ndonhuanza kulipa kodi. Jamaa wanafanya 3 ama 4 years wanauza kwa madai wamepata hasara. Atakayekuja anaaza tena miaka 5 bure kudadeki
Watanganyikaaaaa tuna shida gani?Ndio ushangae..bunge badala ya kubadili hizi sheria wako busy kubadili sheria ili DP World achukue bandari milele...
MIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!
Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]
Tigo, Voda na Airtel wanapata hasara za kutunga tu, ki uhalilisia jamaa wanamake profit sanaMIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!
Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]
Kampuni za kigeni zinatangaza hasara miaka miwili au mitatu mfululizo harafu baadae wanatangaza kuuza umiliki kwenye kampuni nyingine kwa kubadili majina wanaanza upya mambo ya Tax sio wale waliopata hasara tena ndio maana utaona Airtel na Tigo wanavyocheza na huo mwanya kila baada ya muda wanabadili majina tuu...ipo kwenye Income Tax Act...Sheria ipi inatoa mwanya huu mkuu
Mic ina miaka 30 unaweza kutuelezea ulichoongea kinaingia vipi hapa?...Ni namna ya kukwepa Kodi TU. Muda wa Nafuu Kwa Muwekezaji imekwisha. Wanabadilisha jina na kudai ni Muwekezaji Mpya ili Wapate Nafuu nyingine!
Bongo tunaliwa TU !
Na faida wanayopata ni ya kufuruTigo, Voda na Airtel wanapata hasara za kutunga tu, ki uhalilisia jamaa wanamake profit sana
Badae watabadili tena honoratus.Baadae watabadili tena kuwa honorata
Mbona hukuileta humu jamvini hiyo kabla Dr?Hii mbona ni muda tu, hiyo ni barua kwa business partner wao ndio wamechelewa kuitoa.
Kwa kifupi hii siyo habari.
Kitu pekee kinachonishangaza kwanini kampuni nyingi hata kama zinamilikiwa na watz lazima wakazifungulie njeHii mbona ni muda tu, hiyo ni barua kwa business partner wao ndio wamechelewa kuitoa.
Kwa kifupi hii siyo habari.
Sasa Kampuni kubadili Jina kuna Uhusiano gani wa Kimantiki na Chama Cha Mapinduzi au Siasa? Kuna baadhi ya Watanzania ni Wapumbavu waliopitiliza na hawavumiliki.kidumu chama Cha mapinduzi. 💚💛
Acha uongo wewe MIC wameiuza TIGO kwa honora na kati ya wamiliki wapya yumo Mtz RAWewe mpotoshaji
Hapo ni jina limebadilishwa Brela ila wengine wote ni wale wale
Acha uzushi kijanaMIC TANZANIA imefanya kazi kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo imeamua kuuza shares zake zote kwa kampuni ya HONORA ili nayo ijaribu na kama nayo itapata hasara ndani ya miaka mitatu itauza shares zake!
Hivi ndivyo Tanganyika inavyoliwa na wajanja kupitia sheria zetu mbovu za uwekezaji[emoji24]
Sera mojawapo ya nchi kuvutia foreign investors ni kuwapa tax holidays ya miaka mitano ili kujiimalisha then baada ya hapo wanaanza kulipa. Kama wanaingia hasara wanasepa zao.Duuuh huu uboya sasa...mfanyabiashara mdogo amewekewa tozo kibao kabla hata ya kupata leseni wafanyabiashara wakubwa wanapiga hela wanasepa..
Ungekuwa kwenye mfumo ungeelewa kirahisi sana.Kitu pekee kinachonishangaza kwanini kampuni nyingi hata kama zinamilikiwa na watz lazima wakazifungulie nje