ivunya
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 2,290
- 2,220
Ile ya Awamu ya kwanza mlipewa bure hii inabidi kwenda kuilipia.
Ndo kwanza picha limeanza.
Heti wanasema “J&J imesifia chanjo yake ya pili kua inatengeneza kinga nyingi mwilini kupambana na Corona virus delta variant”
sijuih imefanyiwa majaribio kwa kipindi gani kwa watu wangapi.Chanjo ya ukimwi inatumia technology hiyo hiyo wameanza na majaribio
Ndo kwanza picha limeanza.
Heti wanasema “J&J imesifia chanjo yake ya pili kua inatengeneza kinga nyingi mwilini kupambana na Corona virus delta variant”
sijuih imefanyiwa majaribio kwa kipindi gani kwa watu wangapi.Chanjo ya ukimwi inatumia technology hiyo hiyo wameanza na majaribio