Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 654
Hilo ujuzi linajulikana wai kuwa ni typographical error na si kuto kujuwa, hayo mengine hebu yatamke kwa sauti halafu yaandike unavoyatamka, uone vipi ni sawa.
Mbona hauelezi ukweli?
Kama wewe ni mzee?
Na type yako ni wazee?
Ombi: mods naomba muanzishe jukwaa la wazee maana ligi na bibi zetu ni kujilaanisha.
Hapo ndipo nakuona hata wewe Kiingereza bado hujakomaa. Nakumba "google" tena upate elimu, kwa kuanzia soma hapa chini halafu fananisha na bilichokueleza mimi ambacho unasema ni "irrelevant" :
A typographical error (often shortened to typo) is a mistake made in, originally, the manual type-setting (typography) of printed material, or more recently, the typing process. The term includes errors due to mechanical failure or slips of the hand or finger,[SUP][1][/SUP] but usually excludes errors of ignorance, such as spelling errors. Before the arrival of printing, the "copyist's mistake" or "scribal error" was the equivalent for manuscripts. Most typos involve simple duplication, omission, transposition, or substitution of a small number of characters
soma zaidi: Typographical error - Wikipedia, the free encyclopedia
Nilikuambia mimi huwa sikisii, wewe hunielewi, lakini napenda kwa kuwa unapa elimu kwa ubishi wako.
Kumbuka yule Mheshimiwa hakufanya "typographical error" hiyo niliifanya mimi, yeye zaidi ya kukosea hata "grammar" kakosea pia "spelling" au kafanya "spelling error" ambayo ni kosa la kuwa "ignorant".
hebu angalia contradictions zako, ulipoandka ujizi badala ya ujuzi hiyo ni typographical error au spelling/typing error!!?
pole sana pamoja na kugoogle sana bado umeshindwa kupata concept, tena hapo kwenye red ndo pamekuchanganya kabisa, ukiweza kujua maana ya type-setting as related to typography ndipo utakapoweza kujua mechanical failures,slip of the hand or finger zilivokuwa involved, nadhani bado hujapata concept ya ulicho google, umesoma kwa haraka halafu uka copy na ku paste! i am very sorry for you! soma kwa makini halafu uijue process ya typography/type-setting.
hebu angalia contradictions zako, ulipoandka ujizi badala ya ujuzi hiyo ni typographical error au spelling/typing error!!?
Mbona hauelezi ukweli?
Kama wewe ni mzee?
Na type yako ni wazee?
Ombi: mods naomba muanzishe jukwaa la wazee maana ligi na bibi zetu ni kujilaanisha.
Kikwete anakijuwa Kiingereza huwezi kumkuta hata siku moja kaandika kama huyu mbunge wa magwanda. Au kamsome January, japo na yeye bado kwa kiasi fulani lakini ni bora kwa Kiingereza kuliko huyu kijana, halafu kuongea Kiingereza sio kuandika Kiingereza ni vitu viwili tofauti, kuna hata Waingereza chungu nzima ndio lugha yao mama lakini hawajui kukiandika. Fikiri.
Hahahahahahahahahahaha jaman nimecheka si kidogo..!! Faiza bwana ni whisho,kwanza kibishiiiiiiiiiiiiiiii, uso umekakauka, kinajifanya kinajua kila kitu utafikiri wikipedia! ukibishana nacho unapoteza muda wako tu
Rejea mahojiano ya Mhe. Rais na Dr. Shaka Ssali baada ya kuhutubia bunge mwaka 2005!
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.
Nyani haoni kundule. Ulishawahi kuangalia choo chako (mavi) wakati ukijisaidia au pale uapokojoa kuangalia sehemu mkojo unapotokea? Haya tafakari mwenyewe
Wote mliochangia hii thread ni vilaza wa kutupwa tu. Makelele meeengi lakini hakuna hata mmoja aliyeseme makosa ya Sugu yako wapi. Narudia tena wote mliochangia hii thread ni vilaza tu.
Uzee uko kwenye mindset, mie sijafikia huko, ni mtu mzima nilio kwenye "golden age" hilo jukwaa la wazee lifunguwe umpeleke babuyo na bibiyo, usinzeeshe babuwee, bado nnadai, unani weyee, mzee kwani hana? au hujuwi kuwa "old is gold"? Unanchekesha!
Nadhani ungewaeleza tu wana jamvi kuwa wewe ni mzee.
Sio unajikanyaga kuwa wewe uzee wako ni wa dhahabu mara sijui nini.
Ombi:mods mzingatie sana ombi langu.wazee wanasumbua sana.wape jukwaa lao ingawa wengine wanajifanya wana uzee wa dhahabu.
Jukwaa la wazee please.
kaelewekaaaaaaa