Kampuni nyingi za Wachina unakuta Ni share ya watu hata 500

Kampuni nyingi za Wachina unakuta Ni share ya watu hata 500

Anzia kwenye familia tu ya watoto 6 angalia kama wanapendana hadi kushiriki kazi moja kwa moyo mmoja!..Baada ya hapo utaona Afrika tuna umoja wa kinafiki na familia za kulazimisha!.
"Familia za kulazimisha" hapa umenchekesha sn mkuu [emoji23] [emoji23]
 
"Familia za kulazimisha" hapa umenchekesha sn mkuu [emoji23] [emoji23]
ni kweli mkuu!!.. unakuta familia zinasumbuana lakini watu kupotezeana unaambiwa laana utapewa!...Chukulia mfano gigs na familia yake.
 
Haya baada ya kusoma maoni ya wadau wengi hapo nimegundua key point ni kukosa umoja&ushirikiano,itapendeza endapo ikatokea watu humu wakaungana wakaanzisha mradi ili kuweza kufika mbali kimandeleo.
 
Wachina inapo kuja swala la Ushirikiano wako juu sana. Viwanda vyao vingi na hata kampuni zinazo kuja kuwekeza huku na kupewa tenda za kujenga Barabara na Majumba ni muunganiko wa watu wengi walikaa na kuunda.

Unakuta kampuni au kiwanda kimeanzishwa na watu 100 au hata 500 na kila mmoja ana majukumu yake. Katika watu 500 kuna Ma injinia humo, kuna watu wa masoko kuna kila aina ya mtalamu na wote wana piga kazi.

Unakuuta malengo yao ni kuwa na viwanda hata 500 ambapo baada hata ya miaka 30 Wote watakuwa na viwanda.

Hufanya hivyo ili kuunganisha nguvu/mitaji yao na kuwa na nguvu moja.


KIBONGOBONGO

Hilo bongo haliwezekani kila mtu anataka aonekane yeye, watu wanawaza kudhurumiana tu kuibiana na kadhalika.

Unakuta mtu ana kampuni ya ujenzi wa Barabara muda wote wa uhai wake ataishia kujenga barabara za vijijini tu make hana mtaji wa kushika tenda kubwa na pia hataki kuungana na wenzake na wenzake pia hatawaki kuungana.

Ni vigumu sana kushindsna na Wachina wenye nguvu kubwa sana na walio ungana. Ndo maana wameshika tenda Africa nzima za kujenga majumba na Barabara.
daaaaah . . . . . . very true asee, partnerships pay more kuliko jeshi la mtu mmoja
 
We kweli unaona bali sana, kwenye suala hili wabongo kushirikiana ni tatizo kubwa sana ndio maana hatuendelei shida kubwa ni hizi:
1. Uaminifu ni sufuri
2. Uchapakazi ni sufuri
3.Uvumulivu ni sufuri
4. Tunapenda shortcut 100%
5. Wivu usiokuwa na maana
6.Ubinafsi wa hali ya juu.
In short hatupendani na sio wazalendo ndo maana hata kiongozi akipata kaupenyo anapiga ileile.
Tukumbuke UMOJA NI NGUVU. mfano mtu ana 4M , akimshirikisha mwenzie mwenye 4M si mtaji wa 8M huo mnafanya biashara kubwa yenye mwelekeo. kampuni nyingi za kibongo au wabongo wanaoshirikiana wengi huishia kufarakana tu.
Tubadilikee.
ukweli kabisa, mkiwa watu hata 50 au 100 wenye mtaji wa 4m kila mmoja si mnaazisha hata store ya usindikaji? . . . . TUBADILIKE.
nimeikubali comment hii, thumbs up for you mkuu
 
Wachina inapo kuja swala la Ushirikiano wako juu sana. Viwanda vyao vingi na hata kampuni zinazo kuja kuwekeza huku na kupewa tenda za kujenga Barabara na Majumba ni muunganiko wa watu wengi walikaa na kuunda.

Unakuta kampuni au kiwanda kimeanzishwa na watu 100 au hata 500 na kila mmoja ana majukumu yake. Katika watu 500 kuna Ma injinia humo, kuna watu wa masoko kuna kila aina ya mtalamu na wote wana piga kazi.

Unakuuta malengo yao ni kuwa na viwanda hata 500 ambapo baada hata ya miaka 30 Wote watakuwa na viwanda.

Hufanya hivyo ili kuunganisha nguvu/mitaji yao na kuwa na nguvu moja.


KIBONGOBONGO

Hilo bongo haliwezekani kila mtu anataka aonekane yeye, watu wanawaza kudhurumiana tu kuibiana na kadhalika.

Unakuta mtu ana kampuni ya ujenzi wa Barabara muda wote wa uhai wake ataishia kujenga barabara za vijijini tu make hana mtaji wa kushika tenda kubwa na pia hataki kuungana na wenzake na wenzake pia hatawaki kuungana.

Ni vigumu sana kushindsna na Wachina wenye nguvu kubwa sana na walio ungana. Ndo maana wameshika tenda Africa nzima za kujenga majumba na Barabara.
Ndio mana kule kwa individually wana hela sana
 
Mimi ni frontline katika hili la kujiunga pamoja kwa aliyekuwa tayari kuungana na mii tuanzehii movement kwa pamoja ninawarenga hapa ni maskini na watoto wa kimaskini, hii inamaana kwamba tukiungana sio kwamba wengi tutakuwa na pesa hapo hapo tutakuwa na muda wa kupeana na deadline pia kutakuwa na pesa ya anzio kwa kila mtu kuonesha usiriasi wa mtu husika katikaa jambo hilo mpango mzima utakuwa una managiwa au kukontro kwakutumia database na husika ya kiundi kama mutakuwa tayari kwa hili niunde group la wjtsapp sasahivi almost watu 20 watatosha wenye uwezo wa kuchanga laki tani (500,000)
 
Mimi ni frontline katika hili la kujiunga pamoja kwa aliyekuwa tayari kuungana na mimi tuanze hii movement kwa pamoja ninawarenga hapa ni maskini na watoto wa kimaskini, hii inamaana kwamba tukiungana sio kwamba wengi tutakuwa na pesa hapo hapo tutakuwa na muda wa kupeana na deadline pia kutakuwa na pesa ya anzio kwa kila mtu kuonesha usiriasi wa mtu husika katikaa jambo hilo mpango mzima utakuwa una managiwa au kukontroliwa kwa kutumia database husika ya kiundi kama mutakuwa tayari kwa hili niunde group la whatsapp sashahivi almost watu 20 watatosha wenye uwezo wa kuchanga laki tani (500,000) inamaana hii itakuwa sawa na million kumi hii itatosha kabisa kufanya chenye tija
 
Jamani msijitukane Watanzania. Hata huko China sio wote wana roho hiyo. Wabinafsi wapo. China kinachowabeba ni population kubwa na closed market. Kwa hiyo nchini mwao hata ukiuza pipi tu unatoka.

Tatizo kubwa la makundi ya Watanzania ni tunachaguana kindugu au kirafiki badala ya kimkakati.

Kuchaguana kimkakati maana yake uchague watu wenye pesa zinazotakiwa, na watu wenye ujuzi unaotakiwa hata kama hamjuani ndo mtajuana kwenye kazi.

Ila unakuta mtu yeye yuko level ya milioni 50 halafu watu wake wa karibu ndo wanahangaika level ya milioni 2 au 3. Hapo hakuwezi kuwa na ushirikiano. Wa milioni 50 atataka kuwa bosi, lakini kwa sababu aliowachagua ni watu wake wa karibu hawatakubali kuwa chini yake.

Maana kama ni mifano hai tu ya ushirikiano wa kiuchumi mbona tuna SACCOS za kutosha Tanzania.
 
Back
Top Bottom