"Familia za kulazimisha" hapa umenchekesha sn mkuu [emoji23] [emoji23]Anzia kwenye familia tu ya watoto 6 angalia kama wanapendana hadi kushiriki kazi moja kwa moyo mmoja!..Baada ya hapo utaona Afrika tuna umoja wa kinafiki na familia za kulazimisha!.
ni kweli mkuu!!.. unakuta familia zinasumbuana lakini watu kupotezeana unaambiwa laana utapewa!...Chukulia mfano gigs na familia yake."Familia za kulazimisha" hapa umenchekesha sn mkuu [emoji23] [emoji23]
daaaaah . . . . . . very true asee, partnerships pay more kuliko jeshi la mtu mmojaWachina inapo kuja swala la Ushirikiano wako juu sana. Viwanda vyao vingi na hata kampuni zinazo kuja kuwekeza huku na kupewa tenda za kujenga Barabara na Majumba ni muunganiko wa watu wengi walikaa na kuunda.
Unakuta kampuni au kiwanda kimeanzishwa na watu 100 au hata 500 na kila mmoja ana majukumu yake. Katika watu 500 kuna Ma injinia humo, kuna watu wa masoko kuna kila aina ya mtalamu na wote wana piga kazi.
Unakuuta malengo yao ni kuwa na viwanda hata 500 ambapo baada hata ya miaka 30 Wote watakuwa na viwanda.
Hufanya hivyo ili kuunganisha nguvu/mitaji yao na kuwa na nguvu moja.
KIBONGOBONGO
Hilo bongo haliwezekani kila mtu anataka aonekane yeye, watu wanawaza kudhurumiana tu kuibiana na kadhalika.
Unakuta mtu ana kampuni ya ujenzi wa Barabara muda wote wa uhai wake ataishia kujenga barabara za vijijini tu make hana mtaji wa kushika tenda kubwa na pia hataki kuungana na wenzake na wenzake pia hatawaki kuungana.
Ni vigumu sana kushindsna na Wachina wenye nguvu kubwa sana na walio ungana. Ndo maana wameshika tenda Africa nzima za kujenga majumba na Barabara.
ukweli kabisa, mkiwa watu hata 50 au 100 wenye mtaji wa 4m kila mmoja si mnaazisha hata store ya usindikaji? . . . . TUBADILIKE.We kweli unaona bali sana, kwenye suala hili wabongo kushirikiana ni tatizo kubwa sana ndio maana hatuendelei shida kubwa ni hizi:
1. Uaminifu ni sufuri
2. Uchapakazi ni sufuri
3.Uvumulivu ni sufuri
4. Tunapenda shortcut 100%
5. Wivu usiokuwa na maana
6.Ubinafsi wa hali ya juu.
In short hatupendani na sio wazalendo ndo maana hata kiongozi akipata kaupenyo anapiga ileile.
Tukumbuke UMOJA NI NGUVU. mfano mtu ana 4M , akimshirikisha mwenzie mwenye 4M si mtaji wa 8M huo mnafanya biashara kubwa yenye mwelekeo. kampuni nyingi za kibongo au wabongo wanaoshirikiana wengi huishia kufarakana tu.
Tubadilikee.
Utengano ni Udhaifu.Umoja ni nguvu
Ndio mana kule kwa individually wana hela sanaWachina inapo kuja swala la Ushirikiano wako juu sana. Viwanda vyao vingi na hata kampuni zinazo kuja kuwekeza huku na kupewa tenda za kujenga Barabara na Majumba ni muunganiko wa watu wengi walikaa na kuunda.
Unakuta kampuni au kiwanda kimeanzishwa na watu 100 au hata 500 na kila mmoja ana majukumu yake. Katika watu 500 kuna Ma injinia humo, kuna watu wa masoko kuna kila aina ya mtalamu na wote wana piga kazi.
Unakuuta malengo yao ni kuwa na viwanda hata 500 ambapo baada hata ya miaka 30 Wote watakuwa na viwanda.
Hufanya hivyo ili kuunganisha nguvu/mitaji yao na kuwa na nguvu moja.
KIBONGOBONGO
Hilo bongo haliwezekani kila mtu anataka aonekane yeye, watu wanawaza kudhurumiana tu kuibiana na kadhalika.
Unakuta mtu ana kampuni ya ujenzi wa Barabara muda wote wa uhai wake ataishia kujenga barabara za vijijini tu make hana mtaji wa kushika tenda kubwa na pia hataki kuungana na wenzake na wenzake pia hatawaki kuungana.
Ni vigumu sana kushindsna na Wachina wenye nguvu kubwa sana na walio ungana. Ndo maana wameshika tenda Africa nzima za kujenga majumba na Barabara.