Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliitwa mwalimu..hata yesu pia aliitwa mwalimu (kumbe walimu ni tofauti na doctor😂😂 )Zero brain hata ikipewa PhD 50 haisumbui braza. Nyerere alikuwa nazo zaidi ya 20 ulimsikia hata akijiita Dr?
Ndio kwani Kuna shida gani? Nyie si hamuwezi au wewe unaweza tukupe tenda?Baada ya Ujenzi utaskia Adani Ports amekuja kusimamia uendeshaji na kuchukua hela 🤣
Nipeni Tenda muone navyopandisha makusanyo kwa mwezi itafika trillion 50Ndio kwani Kuna shida gani? Nyie si hamuwezi au wewe unaweza tukupe tenda?