Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

JPM alikataa bandari ya Bagamoyo na in 3 years alizamisha billioni mbili na zaidi ili kuimarisha bandari ya Dar ifanye kazi Kwa uhakika, na ndio maana SGR ilijengwa ili kupiga Cargo zote za Rwanda, Burundi mpaka Congo na Barabara za kusini zikaimalishwa ili mizigo iingie Malawi,Zambia etc bila shida, sasa kazi yote na capital yote imeenda bure, Leo wanakuja kugawana wapumbavu tuu na mikataba yao isiyoeleweka
zamani zile tulijifunza shuleni habari ya njia kuu za uchumi kumilikiwa na wageni.. sasa hii ndio practical stage mkuu..
 
Adani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd.

Mkataba huo wa miaka 30 umesainiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania.

====

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority​

Adani Ports

Photo: Bloomberg
Marking its third foray into international ports, Adani Ports and Special Economic Zone (APSEZ) will operate and manage Container Terminal 2 at the Dar es Salaam Port, Tanzania, through its subsidiary Adani International Ports Holdings Pte Ltd, the company said on Friday.

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority.

Through a joint venture formed with Abu Dhabi Ports Group and East Harbour Terminals Ltd last year, India’s largest port operator has also bought the Hong Kong-based SPV which employs the manpower and equipment at the terminal for $39.5 million.

“East Africa Gateway Ltd (EAGL) has signed a Share Purchase Agreement for the acquisition of a 95 per cent stake in Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) from Hutchison Port Holdings Limited (and its affiliate Hutchison Port Investments Limited) and Harbours Investment Limited for a purchase consideration of $39.5 million. TICTS currently owns all the port handling equipment and employs the manpower. Adani will operate CT2 through TICTS,” the company’s statement read.

According to APSEZ, it is a gateway port with a well-connected network of roadways and railways.

“CT2, with four berths, has an annual cargo handling capacity of 1 million TEUs (twenty-foot equivalent units) and managed 0.82 million TEUs of containers in 2023, estimated to be 83 per cent of Tanzania’s total container volumes,” APSEZ said in a statement.

According to APSEZ’s disclosure to stock exchanges, TICTS’ turnover in 2023 was $43.7 million.

EAGL has been incorporated as a joint venture of APSEZ’s international ports arm, AD Ports Group, and East Harbour Terminals Limited, and APSEZ will be the controlling shareholder and will consolidate EAGL on its books.

Hutchison Port Holdings was once the largest port operator in the world and currently operates port assets in over a dozen nations. It had reportedly been running the Tanzanian terminal’s operations for 22 years.

“The signing of the concession for Container Terminal 2 at Dar es Salaam Port is in line with APSEZ’s ambition of becoming one of the largest port operators globally by 2030. We are confident that with our expertise and network in ports and logistics, we will be able to enhance trade volumes and economic cooperation between our ports and East Africa. We will strive to transform Dar es Salaam Port into a world-class port,” said Karan Adani, managing director, APSEZ.

APSEZ already operates an international port in Israel – the Haifa port – and has an under-construction terminal in Sri Lanka. It had also acquired a port in Myanmar, which it eventually had to sell at a $150 million discount amid allegations of contributing to the civil unrest in the country.

Related Threads:

Bilionea kutoka India, đť—”dani ainunua TICTS kutoka kwa Karamagi na Manek

Kampuni inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani,imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS)
Mbona mkataba wa Adani umesainiwa na tpa siyo raisi kama ule wa dp world, na haujapelekwa bungeni kurasimishwa
 
Sgr Alianza kuhangaika nayo Kikwete na alikubaliana na exim bank china,barabara za kusini zilianza kujengwa awamu ya pili,muwe na facts mnapoongea mambo,haya mbona mpaka anakufa hiyo bandari efficiency yake ni chini!?..bandari ya dar ni uchochoro tu,ndogo Sana,nchi inahitaji bandari kubwa ambapo bagamoyo Kuna wasaa huo
Hakuna kikwete kafanya kwenye sgr, mbona mnalazimusha king, nyie na kundi lenu la huyo mzee msiga ndio mlimuua JPM kwa wivu baada ya kuona anawafunika

Una bana pua hapa etu Kikwete ndio alianziasha sgr, hata mshipa wa aibu hamna?
 
Hii inaumiza sana, na haya yote ni matokeo ya UWOGA tuliopandikiziwa watanzania. Katika Thread 'TANZANIA MPYA: Taifa Lenye Raia Wanaojiamini Wenye Kuleta Maendeleo' niongelea sana namna UWOGA unavyo tutafuna watanzania na jinsi unavyo kwamisha maendeleo ya nchi yetu. Hili lingetokea nnchi nyingine kama Kenya hivi, sijui ingekuwaje mpaka muda huu.​
Nakubaliana na wewe. Tanzania ni nchi yenye raia waoga na wana nidhamu ya woga. Kila nikiona Makonda anavyowapelekesha watu wazima tena wengine wasomi na wao kila sentensi hawaachi kuweka maneno ''mheshimiwa mkuu wa mkoa....'', huwa nabaki mdomo wazi. Hivi hawawezi kuzungumza bila kuweka maneno ''mheshimiwa mkuu wa mkoa'' kila baada ya sentensi? Na yeye akisikia hivyo anavimba kichwa na kujiona mungu mtu. Aisee mimi siwezi kabisa kujidhalilisha namna hiyo!
 
Nakubaliana na wewe. Tanzania ni nchi yenye raia waoga na wana nidhamu ya woga. Kila nikiona Makonda anavyowapelekesha watu wazima tena wengine wasomi na wao kila sentensi hawaachi kuweka maneno ''mheshimiwa mkuu wa mkoa....'', huwa nabaki mdomo wazi. Hivi hawawezi kuzungumza bila kuweka maneno ''mheshimiwa mkuu wa mkoa'' kila baada ya sentensi? Na yeye akisikia hivyo anavimba kichwa na kujiona mungu mtu. Aisee mimi siwezi kabisa kujidhalilisha namna hiyo!
Nadhani sera za ujamaa zimechangia kwa kiasi kikubwa watanzania kuwa WAOGA na kujificha katika kivuli cha ukarimu na uugwana.​
 
Adani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd.

Mkataba huo wa miaka 30 umesainiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania.

====

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority​

Adani Ports

Photo: Bloomberg
Marking its third foray into international ports, Adani Ports and Special Economic Zone (APSEZ) will operate and manage Container Terminal 2 at the Dar es Salaam Port, Tanzania, through its subsidiary Adani International Ports Holdings Pte Ltd, the company said on Friday.

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority.

Through a joint venture formed with Abu Dhabi Ports Group and East Harbour Terminals Ltd last year, India’s largest port operator has also bought the Hong Kong-based SPV which employs the manpower and equipment at the terminal for $39.5 million.

“East Africa Gateway Ltd (EAGL) has signed a Share Purchase Agreement for the acquisition of a 95 per cent stake in Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) from Hutchison Port Holdings Limited (and its affiliate Hutchison Port Investments Limited) and Harbours Investment Limited for a purchase consideration of $39.5 million. TICTS currently owns all the port handling equipment and employs the manpower. Adani will operate CT2 through TICTS,” the company’s statement read.

According to APSEZ, it is a gateway port with a well-connected network of roadways and railways.

“CT2, with four berths, has an annual cargo handling capacity of 1 million TEUs (twenty-foot equivalent units) and managed 0.82 million TEUs of containers in 2023, estimated to be 83 per cent of Tanzania’s total container volumes,” APSEZ said in a statement.

According to APSEZ’s disclosure to stock exchanges, TICTS’ turnover in 2023 was $43.7 million.

EAGL has been incorporated as a joint venture of APSEZ’s international ports arm, AD Ports Group, and East Harbour Terminals Limited, and APSEZ will be the controlling shareholder and will consolidate EAGL on its books.

Hutchison Port Holdings was once the largest port operator in the world and currently operates port assets in over a dozen nations. It had reportedly been running the Tanzanian terminal’s operations for 22 years.

“The signing of the concession for Container Terminal 2 at Dar es Salaam Port is in line with APSEZ’s ambition of becoming one of the largest port operators globally by 2030. We are confident that with our expertise and network in ports and logistics, we will be able to enhance trade volumes and economic cooperation between our ports and East Africa. We will strive to transform Dar es Salaam Port into a world-class port,” said Karan Adani, managing director, APSEZ.

APSEZ already operates an international port in Israel – the Haifa port – and has an under-construction terminal in Sri Lanka. It had also acquired a port in Myanmar, which it eventually had to sell at a $150 million discount amid allegations of contributing to the civil unrest in the country.

Related Threads:

Bilionea kutoka India, đť—”dani ainunua TICTS kutoka kwa Karamagi na Manek

Kampuni inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani,imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS)
We ulitaka kampuni ipi ifanye hyo kazi. Umejawa na roho ya umaskini. Huna uwezo pambana na hali yako
 
Kabakiza kugawa Bagamoyo port, SGR na gas; mengine yote keshauza misitu, mabasi, migodi ilyokuwa reserved na bado anakopa.

Huku wanagawa cash cow assets, halafu huko bungeni wanawaza kodi kwa watu maskini.

Only in Tanzania
Na mamako ameuzwa? Huoni ht haya, bwege kwl. Na kwa roho hyo, huo uzushi wako ukoo wako utaendelea kuwa maskini milele
 
Akili zako zimekwama kufikiriana umekaa kiudini sana. Kwenye mambo muhimu ya hii nchi mnaingiza masuala ya udini. Ktk kupambania hii nchi bila kujali udini ni haki ya kila mtanzania. Anayekosea akosolewe bila kujali udini. Mama samia ni raisi wa watanzania na si raisi wa wakristo wala waislamu, akifanya sivyo watanzania wana haki ya kumkosoa kama kiongozi wao. Mambo ya Padri yanaingiaje hapo? Kwa nini usije na hoja yenye mantiki na iliyojikita kwenye mada husika?. Mtalizamisha hili taifa kwa kutokuwa na maarifa.
We bwege na hao mapadre wako ndio wadini. Kila Rais akiwa siyo mkatoliki hamtulizi vitako vyenu hivyo. Mlizoea kupitisha mali zenu bure tunawajua vzr, sasa muda wa ujambazi wenu umeisha
 
JPM alikataa bandari ya Bagamoyo na in 3 years alizamisha billioni mbili na zaidi ili kuimarisha bandari ya Dar ifanye kazi Kwa uhakika, na ndio maana SGR ilijengwa ili kupiga Cargo zote za Rwanda, Burundi mpaka Congo na Barabara za kusini zikaimalishwa ili mizigo iingie Malawi,Zambia etc bila shida, sasa kazi yote na capital yote imeenda bure, Leo wanakuja kugawana wapumbavu tuu na mikataba yao isiyoeleweka
JPM ni nani nchi hii? Huyo ni marehemu sk nyingi na harudi tena, tuliobaki lazima tuendelee na mipango yetu. Yule mshamba wa kisukuma alituharibia nchi km vp mfuate we bwege
 
Moderators you have to do something, watu tunaowaweka kwenye ignore list iwe na wao awana uwezo wa kuona posts zetu, kutu-quote na kutu-tukana.

Wengine tumeshavuka zama za kutukana watu hovyo kama huyo poyoyo saigilomagema si apambane tu kuipamba hiyo CCM mpaka atukane watu.

Kwa chawa ndani ye CCM huna thamani kwa vigogo wa chama kama una uwezo kujibu hoja. Jamaa wanapenda watu wenye kuonyesha uwezo wa kujibu hoja kama walikusahau vinginevyo wana vijana wao walioamua kuwalea wenyewe kuwa viongozi ukiona aupo sehemu ya malezi basi tumia JF kuonyesha uwezo wako wa kujenga hoja.

Vinginevyo utatukana watu humu mpaka utachoka bila ya kwenda popote.
 
Mtakaolizamisha ni nyinyi ambao mwekezaji akiwa mwarabu mnapiga kelele mpaka madhabahuni,dowans alikua mwarabu, kelele nyingi,akachukua symbion mkakaa kimya,mwarabu kawekeza kule umasaini,kelele,wazungu wamewekeza buzwagi,bulyanhulu nk hakuna kelele,dp world kuwekeza kelele mpaka kanisani na waraka,adan mhindi kawekeza hapo bandarini hakuna kelele,nani hatumii akili hapo Bali dini!?
Labda ukikuwa mtoto Mdogo lakini Kama ulikuwa umeshapata akili ungefuatatilia siasa za mrema , mtikila, Lisu, Slaa Miaka ya 1994 mpaka 2010 ungepata majibu ya Maswali yako .
 
We bwege na hao mapadre wako ndio wadini. Kila Rais akiwa siyo mkatoliki hamtulizi vitako vyenu hivyo. Mlizoea kupitisha mali zenu bure tunawajua vzr, sasa muda wa ujambazi wenu umeisha
Bwege babako aliyekuzaa pasi na maarifa na busara. Udini utakuua mbwa weye, aliyekwambia mimi mkatoliki nani? Kama unahisi unapambania dini basu unadhalilisha dini yako. Rudi ukasome mbwa we.
 
Adani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd.

Mkataba huo wa miaka 30 umesainiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania.

====

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority​

Adani Ports

Photo: Bloomberg
Marking its third foray into international ports, Adani Ports and Special Economic Zone (APSEZ) will operate and manage Container Terminal 2 at the Dar es Salaam Port, Tanzania, through its subsidiary Adani International Ports Holdings Pte Ltd, the company said on Friday.

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority.

Through a joint venture formed with Abu Dhabi Ports Group and East Harbour Terminals Ltd last year, India’s largest port operator has also bought the Hong Kong-based SPV which employs the manpower and equipment at the terminal for $39.5 million.

“East Africa Gateway Ltd (EAGL) has signed a Share Purchase Agreement for the acquisition of a 95 per cent stake in Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) from Hutchison Port Holdings Limited (and its affiliate Hutchison Port Investments Limited) and Harbours Investment Limited for a purchase consideration of $39.5 million. TICTS currently owns all the port handling equipment and employs the manpower. Adani will operate CT2 through TICTS,” the company’s statement read.

According to APSEZ, it is a gateway port with a well-connected network of roadways and railways.

“CT2, with four berths, has an annual cargo handling capacity of 1 million TEUs (twenty-foot equivalent units) and managed 0.82 million TEUs of containers in 2023, estimated to be 83 per cent of Tanzania’s total container volumes,” APSEZ said in a statement.

According to APSEZ’s disclosure to stock exchanges, TICTS’ turnover in 2023 was $43.7 million.

EAGL has been incorporated as a joint venture of APSEZ’s international ports arm, AD Ports Group, and East Harbour Terminals Limited, and APSEZ will be the controlling shareholder and will consolidate EAGL on its books.

Hutchison Port Holdings was once the largest port operator in the world and currently operates port assets in over a dozen nations. It had reportedly been running the Tanzanian terminal’s operations for 22 years.

“The signing of the concession for Container Terminal 2 at Dar es Salaam Port is in line with APSEZ’s ambition of becoming one of the largest port operators globally by 2030. We are confident that with our expertise and network in ports and logistics, we will be able to enhance trade volumes and economic cooperation between our ports and East Africa. We will strive to transform Dar es Salaam Port into a world-class port,” said Karan Adani, managing director, APSEZ.

APSEZ already operates an international port in Israel – the Haifa port – and has an under-construction terminal in Sri Lanka. It had also acquired a port in Myanmar, which it eventually had to sell at a $150 million discount amid allegations of contributing to the civil unrest in the country.

Related Threads:

Bilionea kutoka India, đť—”dani ainunua TICTS kutoka kwa Karamagi na Manek

Kampuni inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani,imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS)
kila la heri
 
Back
Top Bottom