Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

Kampuni ya Adani yasaini Mkataba wa miaka 30 kuendesha Gati ya 2 ya Bandari (Zamani TICTS)

PHD za shukrani kwa kuwauzia nchi, unauza bandari alafu unarudi kwa wananchi kuendelea kuwakamua zaidi tozo Kila sehemu nasikia Kuna tozo ya Kila lakini ya simu na vingamuzi ininakuja.
Naam!

Ni mpaka akili zitukae sawa!

IMG-20240531-WA0122.jpg
 
Nakubaliana na wewe. Tanzania ni nchi yenye raia waoga na wana nidhamu ya woga. Kila nikiona Makonda anavyowapelekesha watu wazima tena wengine wasomi na wao kila sentensi hawaachi kuweka maneno ''mheshimiwa mkuu wa mkoa....'', huwa nabaki mdomo wazi. Hivi hawawezi kuzungumza bila kuweka maneno ''mheshimiwa mkuu wa mkoa'' kila baada ya sentensi? Na yeye akisikia hivyo anavimba kichwa na kujiona mungu mtu. Aisee mimi siwezi kabisa kujidhalilisha namna hiyo!
Sisi wengine tungekuwa watumishi wa umma tungeishafukiuzwa kazi siku nyingi, hakunaga kumyenyekea mpumbavu.

Watz wagonjwa sana Habari muhimu kama hizi huwezi ona zikijadiliwa na media house yoyote

Hata magroup ya wasap ni nadra kuona mjadala kama huu
 
Adani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd.

Mkataba huo wa miaka 30 umesainiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania.

====

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority​

Adani Ports

Photo: Bloomberg
Marking its third foray into international ports, Adani Ports and Special Economic Zone (APSEZ) will operate and manage Container Terminal 2 at the Dar es Salaam Port, Tanzania, through its subsidiary Adani International Ports Holdings Pte Ltd, the company said on Friday.

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority.

Through a joint venture formed with Abu Dhabi Ports Group and East Harbour Terminals Ltd last year, India’s largest port operator has also bought the Hong Kong-based SPV which employs the manpower and equipment at the terminal for $39.5 million.

“East Africa Gateway Ltd (EAGL) has signed a Share Purchase Agreement for the acquisition of a 95 per cent stake in Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) from Hutchison Port Holdings Limited (and its affiliate Hutchison Port Investments Limited) and Harbours Investment Limited for a purchase consideration of $39.5 million. TICTS currently owns all the port handling equipment and employs the manpower. Adani will operate CT2 through TICTS,” the company’s statement read.

According to APSEZ, it is a gateway port with a well-connected network of roadways and railways.

“CT2, with four berths, has an annual cargo handling capacity of 1 million TEUs (twenty-foot equivalent units) and managed 0.82 million TEUs of containers in 2023, estimated to be 83 per cent of Tanzania’s total container volumes,” APSEZ said in a statement.

According to APSEZ’s disclosure to stock exchanges, TICTS’ turnover in 2023 was $43.7 million.

EAGL has been incorporated as a joint venture of APSEZ’s international ports arm, AD Ports Group, and East Harbour Terminals Limited, and APSEZ will be the controlling shareholder and will consolidate EAGL on its books.

Hutchison Port Holdings was once the largest port operator in the world and currently operates port assets in over a dozen nations. It had reportedly been running the Tanzanian terminal’s operations for 22 years.

“The signing of the concession for Container Terminal 2 at Dar es Salaam Port is in line with APSEZ’s ambition of becoming one of the largest port operators globally by 2030. We are confident that with our expertise and network in ports and logistics, we will be able to enhance trade volumes and economic cooperation between our ports and East Africa. We will strive to transform Dar es Salaam Port into a world-class port,” said Karan Adani, managing director, APSEZ.

APSEZ already operates an international port in Israel – the Haifa port – and has an under-construction terminal in Sri Lanka. It had also acquired a port in Myanmar, which it eventually had to sell at a $150 million discount amid allegations of contributing to the civil unrest in the country.

Related Threads:

Bilionea kutoka India, 𝗔dani ainunua TICTS kutoka kwa Karamagi na Manek

Kampuni inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani,imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS)
Usanii mwingi hawaeleweki
 
Mtakaolizamisha ni nyinyi ambao mwekezaji akiwa mwarabu mnapiga kelele mpaka madhabahuni,dowans alikua mwarabu, kelele nyingi,akachukua symbion mkakaa kimya,mwarabu kawekeza kule umasaini,kelele,wazungu wamewekeza buzwagi,bulyanhulu nk hakuna kelele,dp world kuwekeza kelele mpaka kanisani na waraka,adan mhindi kawekeza hapo bandarini hakuna kelele,nani hatumii akili hapo Bali dini!?
unaishi nchi gani dogo,
Kuna watu wameuwawa Kuna watu ni vilema , Kuna watu ni wakimbizi, kwa kupinga uwekezaji unaodai ni wa wazungu,

mtu mwenye akili timamu anapinga uovu bila kuangalia umefanywa na nani? Madhara ya kuwakaribisha wazungu ni sawa na kuwakadrbisha waarabu wote wanyonyaji tu.

Nyie kwenye dini yenu mwarabu akifanya ouvu mnatukuza na kuabudu
 
Hizi jargons za mikataba na makampuni kupewa mikataba ya uendeshaji tutajikuta tumepigwa pakubwa. Mtakumbuka mambo ya IPTL, Ubinafshaji wa TTCL na hatimaye kuzuka kwa Airtel n.k Halafu why 30yrs? Hii inahusisha HGA za mkataba wa DP world au?
 
JPM ni nani nchi hii? Huyo ni marehemu sk nyingi na harudi tena, tuliobaki lazima tuendelee na mipango yetu. Yule mshamba wa kisukuma alituharibia nchi km vp mfuate we bwege
Hahahahah haha najua kwa sasa tatizo sio JPM, ni reference tuu kuonyesha tofauti, ila hata kama JPM alikuwa na issues zake ambazo sikuwahi kumuelewa lakini ukiangalia vizuri hawa wa sasa ni disaster 100% ingawaje watu wanapumua kutoka udikteta uchwara
 
Adani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd.

Mkataba huo wa miaka 30 umesainiwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania.

====

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority​

Adani Ports

Photo: Bloomberg
Marking its third foray into international ports, Adani Ports and Special Economic Zone (APSEZ) will operate and manage Container Terminal 2 at the Dar es Salaam Port, Tanzania, through its subsidiary Adani International Ports Holdings Pte Ltd, the company said on Friday.

The concession agreement for 30 years has been signed with the Tanzania Ports Authority.

Through a joint venture formed with Abu Dhabi Ports Group and East Harbour Terminals Ltd last year, India’s largest port operator has also bought the Hong Kong-based SPV which employs the manpower and equipment at the terminal for $39.5 million.

“East Africa Gateway Ltd (EAGL) has signed a Share Purchase Agreement for the acquisition of a 95 per cent stake in Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) from Hutchison Port Holdings Limited (and its affiliate Hutchison Port Investments Limited) and Harbours Investment Limited for a purchase consideration of $39.5 million. TICTS currently owns all the port handling equipment and employs the manpower. Adani will operate CT2 through TICTS,” the company’s statement read.

According to APSEZ, it is a gateway port with a well-connected network of roadways and railways.

“CT2, with four berths, has an annual cargo handling capacity of 1 million TEUs (twenty-foot equivalent units) and managed 0.82 million TEUs of containers in 2023, estimated to be 83 per cent of Tanzania’s total container volumes,” APSEZ said in a statement.

According to APSEZ’s disclosure to stock exchanges, TICTS’ turnover in 2023 was $43.7 million.

EAGL has been incorporated as a joint venture of APSEZ’s international ports arm, AD Ports Group, and East Harbour Terminals Limited, and APSEZ will be the controlling shareholder and will consolidate EAGL on its books.

Hutchison Port Holdings was once the largest port operator in the world and currently operates port assets in over a dozen nations. It had reportedly been running the Tanzanian terminal’s operations for 22 years.

“The signing of the concession for Container Terminal 2 at Dar es Salaam Port is in line with APSEZ’s ambition of becoming one of the largest port operators globally by 2030. We are confident that with our expertise and network in ports and logistics, we will be able to enhance trade volumes and economic cooperation between our ports and East Africa. We will strive to transform Dar es Salaam Port into a world-class port,” said Karan Adani, managing director, APSEZ.

APSEZ already operates an international port in Israel – the Haifa port – and has an under-construction terminal in Sri Lanka. It had also acquired a port in Myanmar, which it eventually had to sell at a $150 million discount amid allegations of contributing to the civil unrest in the country.

Related Threads:

Bilionea kutoka India, 𝗔dani ainunua TICTS kutoka kwa Karamagi na Manek

Kampuni inayomilikiwa na kampuni ya Gautam Adani,imenunua Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Makontena Tanzania (TICTS)
Hapa Rostam hana mkono wake kweli?
 
Back
Top Bottom