Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sahivi ni balaa tupuHahahahah haha najua kwa sasa tatizo sio JPM, ni reference tuu kuonyesha tofauti, ila hata kama JPM alikuwa na issues zake ambazo sikuwahi kumuelewa lakini ukiangalia vizuri hawa wa sasa ni disaster 100% ingawaje watu wanapumua kutoka udikteta uchwara