Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ya kweli hayo! nasikia kutokana na kula kwa useful wa kamba zao kwa Waheshimiwa, walalahoi wengi wamejiondoa na hivyo kubaki 6M.Nakunongoneza ccm Tupo Jumla 12.5ml, wanachama hai.
Wacha ujinga na uzushi wa wambea weweKumbe samia anaogopa wambea pamoja na kuwa ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote na ulinzi na usalama kwi kwi kwi mibongo bwana akili kisoda halafu ikikaa nyuma ya keyboard inajifanya mijuaji
Mfungulieni page yake mnaogopa nini?
Mkuu waki- ibinafushisha TRA kwa wazungu itapendeza sana, maana hizi control number za mchongo hazitakuwepo na hivyo kuokoa fedha za serikali kupigwa na wajanja.Ipo siku wataibinafsisha hadi TRA
OVA
Watanzania ni hao hao. Utawageuza, utawabadili na utaendelea kuvuna mabua.Suluhisho la kukosekana kwa usimamizi/management thabiti ya sekta mbalimbali za nchi sio kuuza tu bali kuwaondoa hao wanaoshindwa kusimamia vyema.
Inawezekana umeshauzwa ila hujijuiBasi mama atuuze na sisi wananchi
Serikali ikamatie hapo hapo wanaotetea na Makelele wananufaika na upuuzi na wizi na dili za upigaji.Watanzania ni hao hao. Utawageuza, utawabadili na utaendelea kuvuna mabua.
Angalia miaka ya BM Mkapa na AH Mwinyi. Kuna mashirika ya Serikali kama NBC, TCC, TBL, TTCL na mengine kidogo. Haya yalipokuwa yanauzwa wananchi walilalamika sana. Walikuwa wanatetea ajira zao au ajira za ndugu zao. Lakini kiukweli mashirika haya yalikuwa yana tia hasara Serikali.
Miaka 30 baadaye chini ya wawekezaji binafsi Seriakli inapata kodi na magawio ya kutosha kutoka kwenue makampuni haya.
Isitoshe na bidhaa wanazozalisha na huduma wanazotoa ni bora na zimeleta mnyororo wa thamani ambao umetengeneza ajira nyingi zaidi kuliko ilivyokuwa enzi zikiwa chini ya Serikali.
Waacheni wawekezaji waje tujifunze kuwa serious na mambo yetu
Unachobisha nini we mpuuziHakuna kikwete kafanya kwenye sgr, mbona mnalazimusha king, nyie na kundi lenu la huyo mzee msiga ndio mlimuua JPM kwa wivu baada ya kuona anawafunika
Una bana pua hapa etu Kikwete ndio alianziasha sgr, hata mshipa wa aibu hamna?
Kwanza JK alishaweka Hadi Jiwe la uzinduzi ila kabla ya ujenzi kuanza Magufuli akaingia akafukuza Wachina akaweka waturuki wake.Unachobisha nini we mpuuzi
“I have asked President Jacob Zuma to help us secure a low interest loan from Brics to finance particularly the SGR project,” President Magufuli said.
The project was initiated by the former president Jakaya Kikwete but was suspended by Magufuli when he came to power. Magufuli had suspended a Chinese contractor over alleged irregularities in the tendering process.
SOURCE: Tanzania struggles to get bonds to finance standard gauge railway | Africanews
Wewe boya uwe unaweka kumbukumbu sawa,JK alishazindua Hadi ujenzi wa SGR na Wachina ila kabla ya ku take effect ndio Magufuli akaja kuvuruga akaweka waturuki wake.Hakuna kikwete kafanya kwenye sgr, mbona mnalazimusha king, nyie na kundi lenu la huyo mzee msiga ndio mlimuua JPM kwa wivu baada ya kuona anawafunika
Una bana pua hapa etu Kikwete ndio alianziasha sgr, hata mshipa wa aibu hamna?
Wajinga ni nyie mlong'ang'ania akaunti mnaogopa nini?kuambiwa ukweli?Wacha ujinga na uzushi wa wambea wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂So sadMkuu zoea Waislamu, akili zao ziko hivyo. Hawataki uwaseme waarabu, hao ndio wa-Allah wao. Ukigusa waarabu umemgusa Allah na umemgusa mtume wao.
Hapo hawawezi kubinafsishaIpo siku wataibinafsisha hadi TRA
OVA
Wewe baki kushabikia Mange, wenzio wako angani kila uchao.Acha ushamba wewe na hizo nchi ulizotaja ni nchi za kushtua basi
Wako huko amani hawana hahhahaha
Chezea Mange Kimambi wewe
Ila aibu achieni account mnaogopa nini????
Kumuelewa Ndugai kulihitaji utulivu wa akili 😂😂😂Inawezekana umeshauzwa ila hujijui
Wewe baki kushabikia Mange, wenzio wako angani kila uchao.
Ushamba bado unao sana tu
Mjini Umekuja lini!Mshamba ni wewe unaeshangaa watu kwenda Seoul na Dubai
Pyeeeee
Dunia nzima wenye pesa zao wanaenda kupumzika Dubai. Sasa we baki na Mange huku Samia yy kila weekend shopping DubaiMshamba ni wewe unaeshangaa watu kwenda Seoul na Dubai
Pyeeeee