Hii nchi ina ujinga mwingi sana...kwanini tunafanya mambo kimazoea sana..hawa mawakili wetu wanakazi gani?
Kwani hakuna kumbukumbu za hiyo mikataba? je marehemu aliondoka na mikataba? hapa ni ufisadi wa CCMMikataba hewa huyu mzungu kweli aliwekeza dola USD milioni 100? Aliajiri watu wangapi? Kuna tabia moja inapotokea kiongozi hata wa kampuni akiondoka au akiondolewa na kuwekwa mwingine bado basi yatajitokeza madai ya kila aina. Mimi nilishuhudia kampuni moja ikipelekewa limbikizo la madeni mamilioni kibao e.g. Bili za simu....deni la PAYE....Levy.....Umeme....Maji......inabidi uchambuzi ufanyike kwanza kabla ya kulipa. Nashangaa nchi yetu inataka wawekezaji wengi waje sasa hawa wachache wapo hivi jee watakapokuwa wengi si watataifisha hii nchi!!! tuwe waangalifu kuwapokea hawa tunaowaita wawekezaji kuna wengine wengi hawana maana
Hii nchi ina ujinga mwingi sana...kwanini tunafanya mambo kimazoea sana..hawa mawakili wetu wanakazi gani?
Ujinga mwingi wakati hao hao wa kutetea Nchi ndo watakula 10% ya hizo pesaHii nchi ina ujinga mwingi sana...kwanini tunafanya mambo kimazoea sana..hawa mawakili wetu wanakazi gani?
Ilikwenda Holland kuffanya nini?Wakati hayo yakiendelea ndege ya Tanzania inaendelea kushikiliwa Nchini Uholanzi tangu Desemba 2022 na Kampuni ya Sweden kushinda tuzo ya Tsh. Bilioni 380 dhidi ya Tanzania, licha ya kuwa Tanzania kusema imekata rufaa dhidi ya uamuzi huo wa Mahakama.
Wakati wa Magufuli hazijakamatwa ndege Canada na South Africa?Wameona anayeongoza kwa sasa ni dhaifu ndiyo maana wanataka kukamata mali za umma wanavyotaka.Mama bora ujiuzulu ili Tanzania ipone.
Kukamatwa.Ilikwenda Holland kuffanya nini?
Walianza kukamata toka Magu yupo na tukawalipaWameona anayeongoza kwa sasa ni dhaifu ndiyo maana wanataka kukamata mali za umma wanavyotaka.Mama bora ujiuzulu ili Tanzania ipone.
Zimeibuka lini? Usijitoe ufahamu mzee walikamata south na Canada huko enzi za MaguMimi ninachojua kuna wabongo&wahuni ambao ndio huwashinikiza hao majambazi wa ubeberuni wakamate mali za nchi kwa manufaa ya hawa wabongo wahuni wachache na hao mabeberu majambazi.
Hiz issues ziliopoa sana, mbn zimeibuka baada ya kumsoma huyu madam prezdent mood yake na upole wake?
Anyway lipen maden ya watu na muwadake hao wabongo wachache wanaolinafikia hili taifa kwa manufaa yao
Mawakili ndio wanafuata Sheria, ukiingia mkataba, lazima uuheshimu.Hii nchi ina ujinga mwingi sana...kwanini tunafanya mambo kimazoea sana..hawa mawakili wetu wanakazi gani?
Wakili ni lazima aajiriwe kuifanya hiyo kazi, hajiamulii tu kisa ni wakili. Atamuwakilisha nani? Serikali iliyofujwa haishughuliki, wananchi hawajitambui.Mawakili wanaoshindwa hata kuwafungulia kesi wezi wa mali za umma tena na ushahidi wa CAG upo then utegemee wakapambane huko nje we uliona wapi??
Zilikuwa zinakamatwa hata aliyezinunua akiwa hai. Aliona njia ni kutozipeleka kwenye matengenezo, zikawa zimekaa tu hazitoi huduma. Wa sasa anazipeleka kwenye matengenezo, ndio hizo zinakamatwa.Wameona anayeongoza kwa sasa ni dhaifu ndiyo maana wanataka kukamata mali za umma wanavyotaka.Mama bora ujiuzulu ili Tanzania ipone.
Wezi wanaoiba kwa kutuingiza kwenye mikataba. Ukiutii mkataba unaibiwa, ukiuvunja unaibiwa. Kazi tunayo!wezi wameanza kutushtaki
Hujui lolote. Bora ungekaa kimyaMikataba hewa huyu mzungu kweli aliwekeza dola USD milioni 100? Aliajiri watu wangapi? Kuna tabia moja inapotokea kiongozi hata wa kampuni akiondoka au akiondolewa na kuwekwa mwingine bado basi yatajitokeza madai ya kila aina. Mimi nilishuhudia kampuni moja ikipelekewa limbikizo la madeni mamilioni kibao e.g. Bili za simu....deni la PAYE....Levy.....Umeme....Maji......inabidi uchambuzi ufanyike kwanza kabla ya kulipa. Nashangaa nchi yetu inataka wawekezaji wengi waje sasa hawa wachache wapo hivi jee watakapokuwa wengi si watataifisha hii nchi!!! tuwe waangalifu kuwapokea hawa tunaowaita wawekezaji kuna wengine wengi hawana maana
Hujui lolote. Una kiwango gani Cha elimuMimi ninachojua kuna wabongo&wahuni ambao ndio huwashinikiza hao majambazi wa ubeberuni wakamate mali za nchi kwa manufaa ya hawa wabongo wahuni wachache na hao mabeberu majambazi.
Hiz issues ziliopoa sana, mbn zimeibuka baada ya kumsoma huyu madam prezdent mood yake na upole wake?
Anyway lipen maden ya watu na muwadake hao wabongo wachache wanaolinafikia hili taifa kwa manufaa yao