Kampuni ya Australia iliyofutiwa leseni yatishia kukamata ndege ya Tanzania

Kampuni ya Australia iliyofutiwa leseni yatishia kukamata ndege ya Tanzania

Waikamate waone!

Hawana lelote lile zaidi ya kufokafoka na naishauri Serikali isikurupuke.

Na iwe fundisho kwao, tumechoka na wizi wao. Tumechoka na mbinu zao za kutishiatishia Pumbafu. Yaani mali ya kwetu, ardhi yetu halafu wanakuja nakuji memebefy?
Wajaribu waone.
Una kiwango gani Cha elimu
 
Mabeberu wameshaona serikali ni dhaifu ndiyo maana wanafanya wanavyotaka.
 
Mikataba hewa huyu mzungu kweli aliwekeza dola USD milioni 100? Aliajiri watu wangapi? Kuna tabia moja inapotokea kiongozi hata wa kampuni akiondoka au akiondolewa na kuwekwa mwingine bado basi yatajitokeza madai ya kila aina. Mimi nilishuhudia kampuni moja ikipelekewa limbikizo la madeni mamilioni kibao e.g. Bili za simu....deni la PAYE....Levy.....Umeme....Maji......inabidi uchambuzi ufanyike kwanza kabla ya kulipa. Nashangaa nchi yetu inataka wawekezaji wengi waje sasa hawa wachache wapo hivi jee watakapokuwa wengi si watataifisha hii nchi!!! tuwe waangalifu kuwapokea hawa tunaowaita wawekezaji kuna wengine wengi hawana maana
Anadai fidia unafahamu maana ya fidia?
 
Mimi ninachojua kuna wabongo&wahuni ambao ndio huwashinikiza hao majambazi wa ubeberuni wakamate mali za nchi kwa manufaa ya hawa wabongo wahuni wachache na hao mabeberu majambazi.

Hiz issues ziliopoa sana, mbn zimeibuka baada ya kumsoma huyu madam prezdent mood yake na upole wake?

Anyway lipen maden ya watu na muwadake hao wabongo wachache wanaolinafikia hili taifa kwa manufaa yao
Ujinga afanya Magufuli mungu wako lawama uwape wasio husika
 
Hao majambazi waendelee kuvimba, hawa mnyimi mtu yeyote yule usingizi...

Wakamate waone!
 
Mimi ninachojua kuna wabongo&wahuni ambao ndio huwashinikiza hao majambazi wa ubeberuni wakamate mali za nchi kwa manufaa ya hawa wabongo wahuni wachache na hao mabeberu majambazi.

Hiz issues ziliopoa sana, mbn zimeibuka baada ya kumsoma huyu madam prezdent mood yake na upole wake?

Anyway lipen maden ya watu na muwadake hao wabongo wachache wanaolinafikia hili taifa kwa manufaa yao
Mabeberu wameshaona serikali ni dhaifu ndiyo maana wanafanya wanavyotaka.
Tatizo Haya Maswala watu Wana comment lakini uelewa ni mdogo! Duniani huwezi kuwa na tabia za ajabu ajabu, za kuamka asubuhi na kivunja mikataba uliyoingia, alafu ukabaki salama!! Mikataba inalindwa kisheria, na ukiivunja kibabe Kuna gharama zake. Ndio tunazolipa na tutaendelea kuzilopa sana!
 
These are not the days of the Maxim Gun, these are not the days with comparative advantages....piga ua, wasitutishe.
#Australiansleaveusalone
 
Tatizo Haya Maswala watu Wana comment lakini uelewa ni mdogo! Duniani huwezi kuwa na tabia za ajabu ajabu, za kuamka asubuhi na kivunja mikataba uliyoingia, alafu ukabaki salama!! Mikataba inalindwa kisheria, na ukiivunja kibabe Kuna gharama zake. Ndio tunazolipa na tutaendelea kuzilopa sana!
Mkataba ukiuka makubaliano unavunjwa.lakini kwa kuwa saivi wanaona serikali ni dhaifu ndiyo maana wanakuja kusumbua wakati wao ndiyo walikiuka masharti ya mikataba yao
 
Mimi ninachojua kuna wabongo&wahuni ambao ndio huwashinikiza hao majambazi wa ubeberuni wakamate mali za nchi kwa manufaa ya hawa wabongo wahuni wachache na hao mabeberu majambazi.

Hiz issues ziliopoa sana, mbn zimeibuka baada ya kumsoma huyu madam prezdent mood yake na upole wake?

Anyway lipen maden ya watu na muwadake hao wabongo wachache wanaolinafikia hili taifa kwa manufaa yao
Inaelekea uelewa wako wa Biashara za kimataifa na uwekezaji, na mikataba ya kimataifa ya uwekezaji kati ya Nchi na Nchi au baina ya makundi ya Nchi ni mdogo sana! Lakini si kosa lako, maana inawezekana hujaenda shule kiasi Cha kutosha kuelewa Haya mambo.

Si rahisi kukusomesha hapa nafasi na muda havitoshi; ila kama unaweza Google, jaribu kusoma Bileteral and Multilateral Investment Treaties. Majadiliani ya biashara na uwekezaji Duniani Huwa ni magumu sana na huwa yanachukua muda mrefu sana. (Mfano angalia Uruguay Round of negotiations au angalia ya hapa kwetu 'EU-EAC free trade and investments negotiations' ambayo kwa miaka takriban 10 hakuna makubaliano. Ni kwasababu Haya mambo yanahusu uwekezaji na Kodi baina ya Nchi na Makampuni binafsi. Yanahusu Mali!!

Na hii mikataba inayoingiwa ni kwasababu Duniani Kuna hatari nyingi za kupoteza Mali (Wealth, not only Money)Miaka ya baada ya Vita ya pili ya Dunia, hasa miaka ya 1950-1980 kuliibuka mapinduzi na Madikteta wengi Duniani; hatari ya Dikteta mmoja kuamka asubuhi na kusema 'kuanzia Leo nimetaifisha hiki au kile' iliongezeka! Nchi ilibidi ziunde makubaliano ya kimataifa ya kisheria ya kulinda uwekezaji dhidi ya hatari ya Madikteta, au Vita, au Machafuko ya kisiasa. Uruguay round ni maarufu sana kwenye hili eneo. Ndio maana Kuna WTO, UNCTAD, IATA, nk. Mengine ni ya Nchi na Mengine ni ya Industry! Na Nchi zilijiunga kwa hiyari, bila kulazimishwa, kwasababu ilikuwa ndio njia ya kuaminiwa na Nchi nyingine, na Makampuni ya kimataifa: kwamba wote tutafuata tulichokubaliana, hatutakuwa wakurupukaji na kufanya mambo ya ajabu yasiyo ya kistaarabu! Makampuni yakienda kukopa Mabilioni mabenki makubwa Duniani wanaangalia: Hawa wanenda kuwekeza North Korea au Sweden? Kama North Korea wanakutolea nje; kwani Dikteta wa North Korea anaweza kufanya ujuha siku yoyote pesa zikapotea zote!

Kwa hiyo hakuna mchawi wala wahuni, ni mambo yetu tuu! Nafasi haitoshi, lakini tafuta kitabu kinaitwa 'Introduction to International Trade and Investments' na kingine kinaitwa "Introduction to International Business'. Tahadhari: vitabu hivi vina kurasa karibu 500 Kila kimoja, kwa hiyo usiwe mvivu kusoma. Hata Mwaka wa kwanza chuo Kikuu hawakisomi chote, wanapewa chapters zile muhimu zaidi. Hata hivyo, hakikisha unasoma Chapter ya kwanza 'Introduction' kwasababu itakupa muongozo.mzuri wa kuelewa mambo kabla hujachagua chapters nyingine unazozipenda zaidi, hasa zile zinazoongelea mikataba ya kimataifa ya uwekezaji.
Karibu!
 
These are not the days of the Maxim Gun, these are not the days with comparative advantages....piga ua, wasitutishe.
#Australiansleaveusalone
Comparative Advantage haiwezi kufa: sisi tuna madini mengi, tuna comparative advantage over then, kwa hiyo tunachotakiwa ni kuwa smart, baas! Tukifanya mambo kijinga, kwa kukurupuka, kwa kujiona ni wababe, tutapata shida sana! Ubabe kwenye International business environment haulipi!
 
Wameona anayeongoza kwa sasa ni dhaifu ndiyo maana wanataka kukamata mali za umma wanavyotaka.Mama bora ujiuzulu ili Tanzania ipone.
we kweli ni poyoyo huyo unayeamini alikuwa strong ndiyo amesababisha hayo madhila yote. Strong ktkt nini, kufokafoka? Mama ndiyo strong anaheshimu sheria siyo yule mfu wenu ametuachia haya madhila. Kwa mfano huyo unayeamini ni strong angefanya nini ndege imekamatwa nje ya nchi? Tumia akili kufikiri.
 
Mkataba ukiuka makubaliano unavunjwa.lakini kwa kuwa saivi wanaona serikali ni dhaifu ndiyo maana wanakuja kusumbua wakati wao ndiyo walikiuka masharti ya mikataba yao
Hata ukivunjwa unavunjwa kwa taratibu zilizowekwa, sio kwa fiat! Mikataba imeandikwa na Ina taratibu zake, haihusiani na Rais. Unapomtaja Rais ambaye hajavunja Mkataba kwa fiat, Wala ukiwa huna ushahidi kuwa makubaliano yalivunjwa na kampuni, unakuwa unaongea tuu! Narudia, hata kama masharti yalikiukwa, Kuna taratibu za kupitia kivunja mikataba, sio kwenye mikutano ya Hadhara!
 
Mimi ninachojua kuna wabongo&wahuni ambao ndio huwashinikiza hao majambazi wa ubeberuni wakamate mali za nchi kwa manufaa ya hawa wabongo wahuni wachache na hao mabeberu majambazi.

Hiz issues ziliopoa sana, mbn zimeibuka baada ya kumsoma huyu madam prezdent mood yake na upole wake?

Anyway lipen maden ya watu na muwadake hao wabongo wachache wanaolinafikia hili taifa kwa manufaa yao
wapumbavu dunia hii hawaishi ndiyo wanaongezeka, we ulijulia wapi?
 
Back
Top Bottom