Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje

WEWE KAMA NI MTANZANIA KWELI ULOITAKA MECO AFANYEJE KWA NIABA YA NCHI JUU YA SUALA HUSKA?

Wee pumbavu hauna akili kabisa..nani atakubali kuwakopesha hiyo kampuni ya Egypt inayojenga mradi unaoharibu mazingira na Earth Heritage?? UNESCO walisha declare kwamba ujenzi wa hilo bwawa unakwenda kuharibu Mazingira ya eneo husika ila Meko ameshupaza shingo ngoja ataimba kisukuma sasa..
 
Nadhani ni Norwegian Sovereign Wealthy Fund ndio wamesitisha kuwapa pesa hawa wahuni wa Misri kwa vile wanajenga mradi ambao unaharibu kabisa world heritage sites!
.......

It also barred Egypt’s Elsewedy Electric due to its participation in a hydropower project in Tanzania that it classed as “severe environmental damage” and Brazil’s Eletrobras for “systematic human rights violations” due to the construction of a power plant. These exclusions, along with Vale’s, were based on recommendations from the independent Council of Ethics.
Inatusaidia nini iyo world heritage site? Wazungu ni wapumbavu sana wameharibu mazingira huko kwao na maviwanda yao sasa wanataka wapumulie hewa yetu sisi. Wanaelewa kuwa mradi huu utaleta mabadiliko makubwa kimaendeleo sasa wanataka tuendelee kuwa omba omba kwao kwa kisingizio cha kijinga kabisa hicho.
 
TOA MFANO WA WATU TECHNICAL WALIOTEULIWA WAKIWA NA UWEZO MDOGO KULIKO WANAOWAONGOZA

Mjinga ni wewe ambae unadhani boss wako anaweza kuwa ni mtu mwenye akili kuliko watz 60mil... Nasikia huko ulumumbani mnamsifu kwa majina mengi mengi kama Nabii etc.

Kifupi hakuna kipindi ambacho tulikosea kama 2015. Hakuna nchi yoyote duniani inayo puuza private sector aafu uchumi ukawa stable. Nashukuru Mungu sasa hivi watz wameanza kuamka unakuta vijana ni failure ndio washauri wa mzee na vyeo wamepewa kuongoza watu wenye akili kuzidi wao. Sitaki nitumie akili yangu kuwa dharau wasukuma lakini tunako elekea nitaanza kuamini kwamba kuchunga ng'ombe ni tofauti na kuongoza binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee pumbavu hauna akili kabisa..nani atakubali kuwakopesha hiyo kampuni ya Egypt inayojenga mradi unaoharibu mazingira na Earth Heritage?? UNESCO walisha declare kwamba ujenzi wa hilo bwawa unakwenda kuharibu Mazingira ya eneo husika ila Meko ameshupaza shingo ngoja ataimba kisukuma sasa..
Usiwe lipumbavu na jinga! Mazingira yapi yanaharibika?

Hivi tanzania ina maeneo kama hayo mangapi? Hilo eneo lina ukubwa gani katika nchi yetu mpaka useme mazingira yanaharibiwa?

Nyie ndio hata wazungu wakiwashika kalio mnaona poa tu kisa mzungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.

ElSewedy Electric Co

The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage
Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.

The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.

The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.


ElSewedy Electric Co - Council on Ethics

Unfair intervention on an angoing project.
Of all the countries we did not expect Sweden to to this.
 
Ni kitu cha kusikitisha sana kwakweli.Nnachoona Magufuli hataki kukubali kushindwa ila ss hvi angekua mjanja angekua humble ashuhulike na corona ingempa sbb tosha ya kuwaambia wapiga kura uchumi unesimama sbb ya janga ila sasa ni mkomavu anataka akomae wakati mambo hayaendi na mabalaa yanaibuka kila kukicha ataegemea wapi?
Aache ukaidi aendane na mazingira hata haya ya stiler yasingemuumbua.

Hii issue imeniuma sana dah
Sikio la kufa.
Hivi huo mradi unajengwa na hela inazotoa selikali ya Tz au hela wanazokopeshwa hiyp kampuni.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni habari mbaya kwa siku nyengine baada ya Sweden kusitisha ku fund kampuni ya Egypt, ambayo ndio walikua constructor wa mradi huu.

ElSewedy Electric Co

The Council on Ethics recommends that Elsewedy Electric Co be excluded from investment by the fund due to an unacceptable risk that the company is contributing to or is itself responsible for serious environmental damage
Elsewedy Electric is an Egyptian electrical power company and one of two partners in a joint venture which builds a dam and a hydroelectric power plant on the Rufiji River at Stiegler’s Gorge in Tanzania.

The entire project is located inside the Selous Game Reserve, which has been included on UNESCO’s list of World Heritage Sites in Danger. The reserve is also one of the last remaining large-scale wilderness areas in Africa and considered of extraordinary importance for the preservation of biodiversity. The hydroelectric power plant will cause widespread and irreversible damage to the world heritage site’s outstanding universal values. Mitigating measures would have little impact on this outcome.

The Council on Ethics submitted its recommendation 2 July 2019. Norges Bank published its decision to exclude the company on 12 May 2020.


ElSewedy Electric Co - Council on Ethics
THE PROJECT IS AT 75%, ALL GENERATION EQUIPMENT HAS BEEN ORDERED AND PAID FOR. MACEMENTI NA NONDO, NA VIBARUA NDIO YANATAKIWA SASA. A DONE DEAL NOW.
 
Mwalimu alisema habari ya kuhamia dodoma akashindwa,huyu ameweza
yapo mengi yanayoonyesha jamaa amefanya kazi,ila tuendelee
kuvaa miwani ya mbao,atasifiwa na watoto wetu baada ya sisi kufa.
Unajua Dodoma serikali imehamia kwa gharama kubwa kiasi gani!? Ukinijibu hilo , nitakuuliza swali lingine.
 
Mwalimu alisema habari ya kuhamia dodoma akashindwa,huyu ameweza
yapo mengi yanayoonyesha jamaa amefanya kazi,ila tuendelee
kuvaa miwani ya mbao,atasifiwa na watoto wetu baada ya sisi kufa.
Mwalimu mpaka anaondoka madarakani hakutumia fedha ya uma kujenga kwao. Ila huyu ameweza, ongezea na hilo pia.
 
Kwa hiyo kusema ndege zimedorora ni usaliti au siku hizi usaliti ni kusema ukweli
IMG-20200513-WA0020.jpg
 
Miaka zaidi ya 60 sasa tangu Afrika ianze kupata Uhuru bado tu haina "strong leaders" kisa nini hasa?
Strong leaders ndio hawa kina JPM hawataki kumnyenyekea mtu,

Ona nyie mnavyolilia eti tuwanyenyekee hata hawa majirani zetu kina Kenyatta?

Nyie bavicha mngepewa nchi naona kinq Lisu saa hii wangekuwa wanapishana kwenye corido za wazungu wakiuza utu wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka zaidi ya 60 sasa tangu Afrika ianze kupata Uhuru bado tu haina "strong leaders" kisa nini hasa?
Hujui kiss ni Nini?!? Interesting ...because of neo-colonialism...And of course kwa kuiga mfumo wa maisha ya ulaya...
 
Mabeberu ni hatari Ndugu yangu....Na nchi hiyo rafiki isiwe China kwani hao ni wabaya kuliko mabeberu wanaofahamika...nchi za ulaya zinaendelea kwa sababu ya Afrika na America ya Kusini...imperialism at work...walianza na slave trade...wakaharibu na kuua raslimali watu in millions..wakaua teknolojia ya Afrika..ukaja ukoloni...nao ukawa ni hatari zaidi...resources zote kwenda ulaya...wakaua our dignity, utamaduni na kadhalika...wakaua hata self belief yetu...psychologically tunajiona hatuna akili wala uwezo kuliko wazungu..,ikaja neo-colonialism plus imperialism and globalization...
Samahani , naomba unitajie nchi zilizotawaliwa na Finland, Denmark na na Norway. Nitajie makoloni yao.
 
Back
Top Bottom