WEWE KAMA NI MTANZANIA KWELI ULOITAKA MECO AFANYEJE KWA NIABA YA NCHI JUU YA SUALA HUSKA?
Wee pumbavu hauna akili kabisa..nani atakubali kuwakopesha hiyo kampuni ya Egypt inayojenga mradi unaoharibu mazingira na Earth Heritage?? UNESCO walisha declare kwamba ujenzi wa hilo bwawa unakwenda kuharibu Mazingira ya eneo husika ila Meko ameshupaza shingo ngoja ataimba kisukuma sasa..