Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Mujibu wa The African Report, Kampuni ya Indiana Mining ya Marekani imesema Haitasita Kukamata Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwa Serikali itashindwa kuilipa madai Yao.
Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana Mining Brownywn Barnes amesema atachukua hatua hiyo ikibidi ikiwa Kampuni yake Haitalipwa Award yake kwenye case aliyoshinda yenye namba "ICSID Award" Kwa kile alichodia Tanzania ilichukua Mali zake.
My Take.
1.Serikali Mko wapi mje kutoa Ufafanuzi? Hizi kesi ni za nini?
2.Mbona mambo haya yanaibuka Sasa? Je Kuna watu wanafanya connection Ili wanamufaike Kwa udalali?
3.Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..
Soma tareheHii mbona ya muda sana au wameibuka Tena??
Walinda legacy wengi wameshatepeta🤔Ngoja waje walinda legacy wa Lumumba huenda wanayo majibu
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..[emoji1752][emoji1548][emoji817][emoji818]Kwa Mujibu wa The African Report, Kampuni ya Indiana Mining ya Marekani imesema Haitasita Kukamata Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwa Serikali itashindwa kuilipa madai Yao.
Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana Mining Brownywn Barnes amesema atachukua hatua hiyo ikibidi ikiwa Kampuni yake Haitalipwa Award yake kwenye case aliyoshinda yenye namba "ICSID Award" Kwa kile alichodia Tanzania ilichukua Mali zake.
My Take.
1.Serikali Mko wapi mje kutoa Ufafanuzi? Hizi kesi ni za nini?
2.Mbona mambo haya yanaibuka Sasa? Je Kuna watu wanafanya connection Ili wanamufaike Kwa udalali?
3.Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..
Wameshaaona tz ni mteremko na aina ya Raisi tuliyenayeKwa Mujibu wa The African Report, Kampuni ya Indiana Mining ya Marekani imesema Haitasita Kukamata Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwa Serikali itashindwa kuilipa madai Yao.
Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana Mining Brownywn Barnes amesema atachukua hatua hiyo ikibidi ikiwa Kampuni yake Haitalipwa Award yake kwenye case aliyoshinda yenye namba "ICSID Award" Kwa kile alichodia Tanzania ilichukua Mali zake.
My Take.
1.Serikali Mko wapi mje kutoa Ufafanuzi? Hizi kesi ni za nini?
2.Mbona mambo haya yanaibuka Sasa? Je Kuna watu wanafanya connection Ili wanamufaike Kwa udalali?
3.Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..
Hii ndio kazi ya Tundu Lissu huko ughaibuni siku zote.Kwa Mujibu wa The African Report, Kampuni ya Indiana Mining ya Marekani imesema Haitasita Kukamata Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwa Serikali itashindwa kuilipa madai Yao.
Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana Mining Brownywn Barnes amesema atachukua hatua hiyo ikibidi ikiwa Kampuni yake Haitalipwa Award yake kwenye case aliyoshinda yenye namba "ICSID Award" Kwa kile alichodia Tanzania ilichukua Mali zake.
My Take.
1.Serikali Mko wapi mje kutoa Ufafanuzi? Hizi kesi ni za nini?
2.Mbona mambo haya yanaibuka Sasa? Je Kuna watu wanafanya connection Ili wanamufaike Kwa udalali?
3.Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..
Never heard of it. Usikute ni madai hewa. Huko serikalini kuna watu wa hovyo asikwambie mtu.
Hii kesi ni kutokana na uamuzi wa ajabu uliofanywa na awamu ya 5 wa kufuta retention licenses zote na kisha kuwapora wawekezaji huku wakiqa wamekwishatumia mabilioni ya pesa kufanya utafiti.Kwa Mujibu wa The African Report, Kampuni ya Indiana Mining ya Marekani imesema Haitasita Kukamata Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwa Serikali itashindwa kuilipa madai Yao.
Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana Mining Brownywn Barnes amesema atachukua hatua hiyo ikibidi ikiwa Kampuni yake Haitalipwa Award yake kwenye case aliyoshinda yenye namba "ICSID Award" Kwa kile alichodia Tanzania ilichukua Mali zake.
My Take.
1.Serikali Mko wapi mje kutoa Ufafanuzi? Hizi kesi ni za nini?
2.Mbona mambo haya yanaibuka Sasa? Je Kuna watu wanafanya connection Ili wanamufaike Kwa udalali?
3.Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..
Kwa Mujibu wa The African Report, Kampuni ya Indiana Mining ya Marekani imesema Haitasita Kukamata Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwa Serikali itashindwa kuilipa madai Yao.
Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana Mining Brownywn Barnes amesema atachukua hatua hiyo ikibidi ikiwa Kampuni yake Haitalipwa Award yake kwenye case aliyoshinda yenye namba "ICSID Award" Kwa kile alichodia Tanzania ilichukua Mali zake.
My Take.
1.Serikali Mko wapi mje kutoa Ufafanuzi? Hizi kesi ni za nini?
2.Mbona mambo haya yanaibuka Sasa? Je Kuna watu wanafanya connection Ili wanamufaike Kwa udalali?
3.Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..
Ile iliyokamatwa yule mbumbumbu wenu akiwa Rais ilikuaje?Wameshaaona tz ni mteremko na aina ya Raisi tuliyenaye
Hata kuundwa kwa taasisi iliyokuwa inaongozwa na huyo aliyeongeza bei ya ndege ya CARGO, ulikuwa ni ushauri wao kwa jiwe ili kukwepa kukamatwa kwa hizo ndege kama zingekuwa na umiliki wa ATCL!
Sasa hizi ndege kwa wakati huu zinamilikiwa na Serikali hivyo wadai wa ATCL hawawezi kuzikamata theoretically !!! Lakini Serikali yenyewe ina kesi za madai na makampuni iliyoingia nao mikataba ambayo baadae ilikuja kuivunja hivyo wanaweza kukamata ndege hizo kama dhamana mpaka hapo watakapolipwa!!
Unazungumza vitu ambavyo huna hata uelewa navyo. Shida ya watanzania kujifanya wajuaji hata kwenye mambo ambayo wanauelewa zero.Hamna cha kuwalipa hao mabeberu kanzu, maana wakati mkataba umeamdikwa hao wachukuwe 97% na Tanzania [emoji1241] ipate 3% only walifurahi na kujiona wajanja wa gololi kwa almasi, hahaha [emoji2957] imekula kwao sasa, haki ni ya Mwenye Enzi Mungu walahi
Ndege zenyewe hatuja maliza mkopo kwa hiyo bado hazijakuwa za kwetu, uwiii watalamba mchanga kwa kweli!
Kwa Mujibu wa The African Report, Kampuni ya Indiana Mining ya Marekani imesema Haitasita Kukamata Ndege za Shirika la Ndege la Tanzania Air Tanzania ikiwa Serikali itashindwa kuilipa madai Yao.
Mwenyekiti Mtendaji wa Indiana Mining Brownywn Barnes amesema atachukua hatua hiyo ikibidi ikiwa Kampuni yake Haitalipwa Award yake kwenye case aliyoshinda yenye namba "ICSID Award" Kwa kile alichodia Tanzania ilichukua Mali zake.
My Take.
1.Serikali Mko wapi mje kutoa Ufafanuzi? Hizi kesi ni za nini?
2.Mbona mambo haya yanaibuka Sasa? Je Kuna watu wanafanya connection Ili wanamufaike Kwa udalali?
3.Mwisho ni Bora Serikali ikaenda Bungeni na kueleza Umma kesi zote za Nje inazodaiwa, inazodai na inazoendelea na mashauri Ili Watanzania wajue maana Sasa imekuwa too much..
Wanaweza wakawa humo humo serikalini ndio wanajiita Mining sijui nini ili walipwe waoNever heard of it. Usikute ni madai hewa. Huko serikalini kuna watu wa hovyo asikwambie mtu.