Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Kampuni ya kubet TZ (Pigabet) ni wezi wakubwa, nimekula mkeka mil. 6 online, haitoki eti kuna shida ya mtandao siku ya 10 leo

Khadija Mtalame

Senior Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
185
Reaction score
715
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
 
Wale wazee wa kubet ,msitumie tena kampuni hii, ipo hivi

!.UNAWEKA PESA INAKUBALI
2.UKILA MKEKA PESA HAITOKI, WANAKUPA JIBU WAPO KWENYE MATENGENEZO ,ILA KUWEKA PESA NA KUBET WANAPOKEA

#UKITAKA KUTOA WANAKUJIBU HUWEZI KUTOA,LABDA UENDE DAR KWENYE OFISI YA MICHONGO AMBAZO HAZIPO.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na gvt mliangalie hili. kwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi,kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet(wahanga wenzangu mie dada yenu)

tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.mie pia,

pole dada

mie pia nimekuwa naitumia kwa muda mrefu, ila wiki iliyopita yote nimewin kama laki4, haitoki nimeamua kuimalizia humo humo.

wanaonekana ni wezi kweli, nimefunga hiyo acc.
 
BILA PICHA SCREENSHOT YA MKEKA, THREAD HAINA MAANA
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
 
Wale wazee wa kubet, msitumie tena kampuni hii, ipo hivi;

Unaweka mkeka pesa inakubali. Ukila mkeka pesa haitoki. Wanakupa jibu wapo kwenye matengenezo. Ila kuweka pesa na kubeti wanapokea.

#Ukitaka kutoa wanakujibu huwezi kutoa, labda uende Dar kwenye ofisi ya michongo ambazo hazipo.

Wale wenzangu wa kubet, kampuni hii haifai ni wezi na government mliangalie hili. Kwa kuwa mmeamua kufanya hii nchi tutegemee kamali basi, kampuni hii iondoeni pia ni wezi wakubwa.

Wanataka uichezee iishe, kama hamtoi pesa mtu akishinda, kwanini mkubali mtu kuweka pesa online?

wazee wa kubet (wahanga wenzangu mie dada yenu), tafadhali kaeni mbali na hiyo kampuni, wanaibia wateja na ni wezi wakubwa.
Dada khadija naomba odds 1.8 za leo
 
Back
Top Bottom