100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Kwani na yenyewe mwendazake aliitilia mashaka? Shida ya hi ya corona, tuweni tu wa kweli, wataalamu wetu walichangia sana kuhusu haya mashaka ambayo kina Gwajima wanayasema sasa hivi, wanataka tu kumuangushia jumba bovu Gwajima but ukweli ni kwamba haya mambo yameanzia wizarani na Ikulu, wasitufanye wajinga. Wamefanya interview TBC, Wasafi na hata youtubes, kote huko clips zao zipo, leo wanataka kumlaumu askofu wa Ubungo? Watutake radhi kabisa
Chanjo ya ukimwi athari na faida zake....
1-Inakwenda kuua biashara ya ARV.
2-Inakwenda kuua biashara ya mipira... watu hawaogopi gono.. na std zingine kama hiv...
3-Biashara ya uchangu inakwenda kuchangamka... wateja watakuwa wengi... demand ikipanda lazima price ipande...
4-Tutegemee ongezeko maradufu la mimba zisizotarajiwa...(ongezeko la population tokana na ngono zembe)
Ongezea .....
That will never happen.Dunia haiposalama Hadi wote tuwe salama
Una uhakuka hutafanya ngono for life?Kwa 99.9% ni kwa njia ya ngono. Sasa hiyo 0.1% nitaomba Mungu aniepushie.
Umenifungua akili, Covid19 ilikuja kuondoa ukimwiChanjo ya ukimwi athari na faida zake....
1-Inakwenda kuua biashara ya ARV.
2-Inakwenda kuua biashara ya mipira... watu hawaogopi gono.. na std zingine kama hiv...
3-Biashara ya uchangu inakwenda kuchangamka... wateja watakuwa wengi... demand ikipanda lazima price ipande...
4-Tutegemee ongezeko maradufu la mimba zisizotarajiwa...(ongezeko la population tokana na ngono zembe)
Ongezea .....
C-19 imedunda.....Umenifungua akili, Covid19 ilikuja kuondoa ukimwi
Kaka kuabudu Mungu ni kitu kingine. Na uaminifu ni jambo jingine. Huwezi kuwa na mwenza wako muda wote . Mfano anaporudi kwao na kukutana na marafiki wa utotoni unakuepo ?!. Acha kabisa !Mimi na nyumba yangu tunamwabudu Muumba wetu. Ko tuko salama.
Hofu ni kwao waliomnali na Muumba wao.
Ikitangazwa kuwa inakinga sawasawa,hata wakisema kuchanja laki moja,baada ya wiki moja watanzania wengi watakuwa wamechanjwa.Chanjo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) iliyokuwa ikifanyiwa utafiti kwa muda mrefu na Kampuni ya Moderna ya nchini Marekani inatarajiwa kuanza kufanyiwa majaribio kwa binadamu hii leo.
#DARMPYABLOGUPDATES https://t.co/FxlZnapzvNView attachment 1896782
Sisi wenye wadudu wa ukimwi tutaigomea kwa sababu tunataka dawa siyo chanjo. Chanjo siyo msaada kwetu.Chanjo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) iliyokuwa ikifanyiwa utafiti kwa muda mrefu na Kampuni ya Moderna ya nchini Marekani inatarajiwa kuanza kufanyiwa majaribio kwa binadamu hii leo.
#DARMPYABLOGUPDATES https://t.co/FxlZnapzvNView attachment 1896782
Kamanda marafiki wa utotoni ndio ishu?Kaka kuabudu Mungu ni kitu kingine. Na uaminifu ni jambo jingine. Huwezi kuwa na mwenza wako muda wote . Mfano anaporudi kwao na kukutana na marafiki wa utotoni unakuepo ?!. Acha kabisa !
Unasemaje wewe in Bishanga voiceWawachanje machangudoa & wahaya kwanza kwa majaribio
Ukimwi sio Pandemic...Kati ya chanjo ya HIV na chanjo ya UVIKO, ni ipi ilitakiwa ije mapema.......mbwa hawa...
Manyamanyanawaona waswahili hapa watatombana kama kuku!