The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Umeziweka kwenye maandishi yako kama sehem ya jibu la swali la UHURU JR.Efficacy zimefanya nini in relation na swali la UHURU JR?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeziweka kwenye maandishi yako kama sehem ya jibu la swali la UHURU JR.Efficacy zimefanya nini in relation na swali la UHURU JR?
Ndiyo nakuuliza zina hoja gani?Umeziweka kwenye maandishi yako kama sehem ya jibu la swali la UHURU JR.
Kama unajua toa maelezo.Nani alikwambia kwamba chanjo inasababisha damu kuganda? Ndio maana nikakuuliza unajua visababishi vya damu kuganda?
You are right sir.Ndiyo nakuuliza zina hoja gani?
Duh!!!Dunia ina maajabu aisee!You are right sir.
Aisee! kwahiyo unataka kuniambia kwamba hakuna kabisa hiyo side effect ya kuganda kwa damu kwenye hizi chanjo?Pole sana mkuu ,fuatilia hiyo chanjo kwanini ilisimamishwa,kulitokea cases kadhaa kwa waliochanjwa ,wakasimamisha kuchunguza kama ni kweli chanzo ni chanjo ,wakaja kugundua chanjo haijasababisha kuganda kwa damu na W.H.O wakairuhusu iendelee...Ndio maana swali langu la awali niliuliza ushawahi kufatilia vitu vinavyosababisha blood clot? Wataalam wanasema mtu aliyechanja ana chance ndogo sana ya kupata blood clot kuliko ambaye hajachanjwa.
Kwa kukusaidia baadhi ya mambo yanayosababisha blood clot:-
1.Uvutaji wa sigara.
2.Madawa ya uzazi wa mpango
3.Mwili kuwa inactive kwa muda mrefu hasa kwa wale waliolazwa kitandani
4.Covid19
5.Obesity
Please note sio watu wenye hivyo vitu au watumiaji wa hivyo vitu watapata blood clot yaani chances ni kubwa ukiwa na hivyo vitu ila unaweza usipate.
Ukiambiwa ukishachanjwa uendelee kuvaa condom utafanyaje?Wafanye haraka kwa kweli,kondomu zimetuchosha
Kabla hawajamichanja nitawauliza,kama nitaendelea sichanjwi,itakuw haina maanaUkiambiwa ukishachanjwa uendelee kuvaa condom utafanyaje?
Labda iwe hutaki tu kujibu tu hilo swali, unataka tuelewe kwamba chanjo zimefanyiwa majaribio hivyo ni salama ila nikiuliza kama hilo la kuganda lilionekana kwenye majaribio unasema nje ya mjadala.Mkuu najali sana juu ya ni kitu gani kilitokea wakati wa majaribio lakini kwa bahati mbaya hiyo siyo mjadala wetu kwa sasa.Kwa sasa hivi mjadala wetu unahusu majaribio yalifanyika au la.
Kuna vitu viwili ambavyo nimejifunza kutoka kwako.Moja, either una nia ya kututoa kwenye reli ya mjadala wetu au mbili huenda kuna point unataka kuiunganisha na mjadala wetu lakini unashindwa kuiunganisha inavyotakiwa.
Kama kuna kitu unataka kukiunganisha katika mjadala wetu kaa chini ufikirie namna ya kukiunganisha vizuri kwenye mjadala bila kuonekana kuwa unataka ututoe kwenye reli ya mjadala.Ni wajibu wako kujenga hoja vizuri ili uonekane kuwa upo ndani ya mjadala wetu na huna nia ya kututoa kwenye reli.
Aisee! kwahiyo unataka kuniambia kwamba hakuna kabisa hiyo side effect ya kuganda kwa damu kwenye hizi chanjo?
Aisee! basi sawa.Hakuna mkuu .ukiona mtu amechanjwa kisha damu ikaganda basi imesababishwa na vitu vingine.....Kumbuka waliochwanjwa mpaka sasa ni aroun 4B.....ingekuwa chanjo inaleta blood clot means watu karibu 1B wangekuwa washakufa kwa blood clot.
Matokeo ya majaribio ni lazima yawe tofauti na matokeo halisi.Unapofanya majaribio mfano ya watu elfu kumi ni tofauti na unapochanja watu milioni moja.Kumbuka watu milioni moja ina watu mbalimbali ukilinganisha na watu elfu kumi.Watu milioni moja ina tabia ya watu wengi zaidi kwenye masuala ya DNA,magonjwa na kadhalika ukilinganisha na sample ya watu elfu kumi.Labda iwe hutaki tu kujibu tu hilo swali, unataka tuelewe kwamba chanjo zimefanyiwa majaribio hivyo ni salama ila nikiuliza kama hilo la kuganda lilionekana kwenye majaribio unasema nje ya mjadala.
Aisee! basi sawa.
Ndiyo Hivyo Mkuu,Story nyingi mitandaoni za uongo ,fuatilia kutoka kwa WHO....TZ mpaka sasa tumechanjwa 106K.
View attachment 1893282
itapingwa tu kwanini imechelewa ...?Mtu mweusi anasubiria hiyo chanjo itoke aipinge bila hata tafiti![emoji205][emoji205][emoji205]
Kuchelewa siyo hoja kwa sababu magonjwa yanatofautina katika ugumu wa kuyadhibiti.itapingwa tu kwanini imechelewa ...?