#COVID19 Kampuni ya kutengeneza chanjo za COVID-19, Moderna inatarajia kuanza majaribio ya Chanjo za UKIMWI mwezi huu

#COVID19 Kampuni ya kutengeneza chanjo za COVID-19, Moderna inatarajia kuanza majaribio ya Chanjo za UKIMWI mwezi huu

Kampuni inayotengeneza chanjo ya Covid ya Moderna inatarajia kuanza majaribio ya chanjo ya Ukimwi Jumatano ijayo.

Mordena wana matumaini makubwa kwamba kutokana na teknolojia mpya ya mRNA ambayo imesaidia kupambana na virusi wa Covid, wanaamini kua chanjo ya Ukimwi kwa kutumia teknolojia hiyo itakua na mafaikio makubwa kwani hii teknolojia mpya ina faida kubwa zaidi kuliko chanjo nyingine zilizokua zinatengenezwa huko nyuma.

Mordena wanasema chanjo utaanza mwaka huu na inatarajia kuisha mwaka 2023. Kampuni nyingi za madawa ya binadamu ziko ama zimeanza majaribio ya chanjo ya ukimwi na kuna matumaini makubwa ya kufanikiwa.

Hii ni habari njema.

Kirusi cha Corona na cha HIV.. vimefanana Sana kiasi ambacho kama chanjo ya Corona imepatikana basi ni wazi ya Ukimwi pia itakuwa imekwisha patikana pia
 
Haya ndo
Kampuni inayotengeneza chanjo ya Covid ya Moderna inatarajia kuanza majaribio ya chanjo ya Ukimwi Jumatano ijayo.

Mordena wana matumaini makubwa kwamba kutokana na teknolojia mpya ya mRNA ambayo imesaidia kupambana na virusi wa Covid, wanaamini kua chanjo ya Ukimwi kwa kutumia teknolojia hiyo itakua na mafaikio makubwa kwani hii teknolojia mpya ina faida kubwa zaidi kuliko chanjo nyingine zilizokua zinatengenezwa huko nyuma.

Mordena wanasema chanjo utaanza mwaka huu na inatarajia kuisha mwaka 2023. Kampuni nyingi za madawa ya binadamu ziko ama zimeanza majaribio ya chanjo ya ukimwi na kuna matumaini makubwa ya kufanikiwa.

Hii ni habari njema.

Haya ndo maneno sasa!!
 
Unasubiri uletewe halafu unawaita mbwa!kwanini usingetengeneza mwenyewe ili uwaishe chanjo ya ukimwi?Ninyi wafuasi wa Hayati mnamatatozo sana
Kuna mtu kawaomba wailete, wanapokuwa wanatengeneza vimelea vya magonjwa huwa wanatuhusisha? kawambie nimewaogezea tusi jingine.....nguruwe wakubwa.
 
Kuna mtu kawaomba wailete, wanapokuwa wanatengeneza vimelea vya magonjwa huwa wanatuhusisha? kawambie nimewaogezea tusi jingine.....nguruwe wakubwa.
Kichaa akipora nguo zako ukaanza kumkimbiza ukiwa utupu wewe ndiwe utaonekana kichaa,
Nenda na nguo zangu mimi wacha niombe majirani wanistiri nikirudi nyumbani nitanunua nyingine.
Think!
 
Kichaa akipora nguo zako ukaanza kumkimbiza ukiwa utupu wewe ndiwe utaonekana kichaa,
Nenda na nguo zangu mimi wacha niombe majirani wanistiri nikirudi nyumbani nitanunua nyingine.
Think!
Wafikishie hizi spana nilizowashushia...
 
Chanjo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) iliyokuwa inafanyiwa utafiti muda mrefu na Kampuni ya Moderna ya Marekani inatarajiwa kuanza majaribio kwa binadamu leo Jumatano, Agosti 18, 2021.

Hatua hii imekuja baada ya kampuni hiyo ambayo inatengeneza chanjo za aina mbili za Ukimwi, kufuzu hatua za awali za kimajaribio na hivyo kuanza kutumika kwa binadamu katika awamu ya tatu.

Chanjo hizo ni pamoja na mRNA-1644 na mRNA-1644v2-Core, ambazo zimeshachunguzwa na kufanyiwa majaribio ya awali na kuonekana salama kabla ya kujaribiwa kwa binadamu kwa mara ya kwanza.

Chanzo: Mwananchi
 
Back
Top Bottom