King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi hapo mbona Johnson wa Johnson hayupo!
Chanjo afrika ni usanii mtupu.Baada ya chanjo ya covid kubuma Africa wameamua kuja na njia nyingine ambayo itawavutia?
inaonekana unabishia uzoefu hujafuatilia vizuriNani alikwambia kwamba chanjo inasababisha damu kuganda? Ndio maana nikakuuliza unajua visababishi vya damu kuganda?
Wewe uliyefatilia unaweza ukaweka data/proof.inaonekana unabishia uzoefu hujafuatilia vizuri
One in a Million.
Kwani huo ukimwi watu wanauchukuliaje sasa hivi?hahahahhaha wanaokataa chanjo ya korona ya ukimwi inakuja hahahahahahahahahahahahahahaha hapa watu hawachomoi
Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
We umesema hakuna kabisa side effect ya kuganda damu yenye kusababishwa na hizo chanjo na ukanitajia mambo yenye kusababisha damu kuganda.
Duh!Nikakujibu kwamba hao waliochanjwa na damu zao zikaganda hazijasababishwa na chanjo ,Dr Malecela ametoa tu takwimu kati hao 6m waliochanjwa 6 tu ndio walipatwa tatizo la kuganda kwa damu na si chanjo ndio iliyosababisha.
Unasubiri uletewe halafu unawaita mbwa!kwanini usingetengeneza mwenyewe ili uwaishe chanjo ya ukimwi?Ninyi wafuasi wa Hayati mnamatatozo sanaKati ya chanjo ya HIV na chanjo ya UVIKO, ni ipi ilitakiwa ije mapema.......mbwa hawa....
Umeshajua, chambo kinabadilishwa.Baada ya chanjo ya covid kubuma Africa wameamua kuja na njia nyingine ambayo itawavutia?
.Hahahah, hata wafanyeje, hatupo tayari kujaribiwa chanjo ya Corona , walikuwa wapi miaka yote? Hadi watu wamehoji ndio wanajidai majaribio?
Chanjo ya Ukimwi Bila shaka haitakuwa ya bureMtu mweusi anasubiria hiyo chanjo itoke aipinge bila hata tafiti![emoji205][emoji205][emoji205]