Wamekwambia kuna wadada wazuri wahudumuKuhusu tv mbona kuna mabasi yana tv kila siti, kuna mabasi ya kawaida wanagawa mpaka soda na maji. Labda tv hizo zitakuwa zinatumia ving!amuzi unajichagulia chaneli ya kutazama. Kwenye choo hapo sawa. Wangeweka na misosi ya maana na kushiba ndani yake kama kukuz, chapati, maziwa, wali, ndizi, chips, nyama, matunda itapeneza sana
Abood azingatie usafi, mabasi yake mengi ndani ni machafu sana.. gari namba E lakini chafu utadhani namba AKampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Hata dar express alikuwa na benz sikuwahi ona huo uvip zaidi ya kutoka sa2 asubuh na kufika sa2 usiku ndani baridi kali na kupewa maji barafu aiseeeeYutong ni ile ile ikiwa vip au semi luxury ni majina tu ila ukipanda ndani yapo Sawa...
Ingekuwa vip imekuja kwenye Benz, scania au basi tofauti na hapo sawa
Hii nayo ni habari au Tabgazo la biashara?Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Hatujaomba kuletewa ustaarabu ambako tunaonekana hatujastaarabika,,Una peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
Hili taifa lina wajinga sana, kwanza mimi kitu sipatani nacho no 1 ni TV kwenye basi, sipatani huo ujinga kabisa, sasa kama karine hii bado unashobokea Tv za kwenye mabasi utakuwa na matatizoKampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Utaharisha ndani ya basiKuhusu tv mbona kuna mabasi yana tv kila siti, kuna mabasi ya kawaida wanagawa mpaka soda na maji. Labda tv hizo zitakuwa zinatumia ving!amuzi unajichagulia chaneli ya kutazama. Kwenye choo hapo sawa. Wangeweka na misosi ya maana na kushiba ndani yake kama kukuz, chapati, maziwa, wali, ndizi, chips, nyama, matunda itapeneza sana
Watapakaza mavi kwenye chooUna peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
umeongea ukweli tupuUna peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
UVIO ni kitu gani? Choo? Kwa kifupi hakuba kitu hapo kinacho weza nishawahishi kupanda bus, Choo? Tv sipatani nazo kabisa, Sosa sinywagwi, biscut ni ufala kunipatia biscutHata dar express alikuwa na benz sikuwahi ona huo uvip zaidi ya kutoka sa2 asubuh na kufika sa2 usiku ndani baridi kali na kupewa maji barafu aiseeee