Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP

Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP

Anavamia ligi eeh,, hii ya Katarama na Ally's ni Bundesliga kama atakubali kuwa Schalke 04 mbele ya Bayern Munich na Dortmund sawa,,

Halafu sisi wasukuma tunachotaka ni kuwahi tu kufika mjini hayo mengine yakwenu,,
Wasukuma wengine tunapenda Luxury VIP class. Choo ndani , mambo ya kuambiwa kuchimba dawa dakika 5 kama wafungwa au mateka.
 
Kuhusu tv mbona kuna mabasi yana tv kila siti, kuna mabasi ya kawaida wanagawa mpaka soda na maji. Labda tv hizo zitakuwa zinatumia ving!amuzi unajichagulia chaneli ya kutazama. Kwenye choo hapo sawa. Wangeweka na misosi ya maana na kushiba ndani yake kama kukuz, chapati, maziwa, wali, ndizi, chips, nyama, matunda itapeneza sana
Mkuu unapenda kulakula tuuu
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Picha zaidi
 
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
HIZI NDIO SIFA ZA GARI KUWA V.I.P?

Labda nikajua kuna sifa zaidi ya hizo, maana mabasi mengine pia wanatoa hizo huduma tena kwa bei ya chini kuliko hiyo 80k

Naomba nieleweshe vizuri maybe mi ni mshamba naona kama neno VIP linatumika vibaya au ndio gia ya kuingilia sokoni ?
 
Tatizo la Abood hashughulikii kero na maoni wanayotoa abiria, madereva wake wana kiburi na jeuri, hiyo ya wahudumu wa kike siyo priority ya mteja, siku zote ubora wa huduma ni kumjali mteja siyo kumpelekea wahudumu wa kike
 
Unavyosema wahudumu wa kike maana yake nini?
Ikimbieni zinaa vijana
Screenshot_20230607-000834.jpg
 
LABDA KWA WASUKUMA WATAONA HIYO NI VIP. UKWELI NI KWAMBA MKAO WA 2X2 SIO VIP.AU WAHUDUMU WA KIKE, HAO MBONA HATA KWENYE BAR WAPO?
VIP NIJUALOMIMI NI BASI LA ABIRIA 35 LINA VITI VITATU TU SIO 2*2.
NAAHEELULU WASUKUMA NI MGODI WA KILA MJANJA.
 
Hili taifa lina wajinga sana, kwanza mimi kitu sipatani nacho no 1 ni TV kwenye basi, sipatani huo ujinga kabisa, sasa kama karine hii bado unashobokea Tv za kwenye mabasi utakuwa na matatizo
Binafsi sipendi content za Tv wanazoonyesha kwenye mabasi, ila kuna contents zinaweza kunitanya niangalie Tv hata kutwa nzima, kama sina kazi au nikisafiri
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Wahudumu Wa kike..
🤔
 
LABDA KWA WASUKUMA WATAONA HIYO NI VIP. UKWELI NI KWAMBA MKAO WA 2X2 SIO VIP.AU WAHUDUMU WA KIKE, HAO MBONA HATA KWENYE BAR WAPO?
VIP NIJUALOMIMI NI BASI LA ABIRIA 35 LINA VITI VITATU TU SIO 2*2.
NAAHEELULU WASUKUMA NI MGODI WA KILA MJANJA.
Nafikiri Abood ameona fursa ya vip huko mwanza , allys ana vip njia hiyo nasikia nauli ni 120,000 one way.
 
Back
Top Bottom