Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP

Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP

Atawin kama atazingatia muda. Mimi abiria mara nyingi nazingatia nifike safari yangu mapema iwezekanvyo.
Hayo mengine sijui matv madada masoda kwangu ni makolokolo tu yasiyona tija.
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Hayo mabasi hayapinduki?
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
VIP gani inakuwa 80,00? Ally's Star VIP unaijua nauli yake?
 
Abood azingatie usafi, mabasi yake mengi ndani ni machafu sana.. gari namba E lakini chafu utadhani namba A
Litaacha kuwa chafu basi zao jioni kuanzia saa kumi ma mbili zinabeba abiria kutoka ubungo kwenda mbezo kwa jero jero..lazima yachakae..
 
Una peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
Hahahaaaaaaaaaaaaaa bhangoooshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kule ustaarabu hamna nyambaf zao wasukuma mishambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, nimecheka sana leo
 
Una peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
mkuu kuna watu nilikuwa nawakatia tiket nikauliza kuhusu choo ndani nikajibiwa unawajua wasukuma kweli???? nikacheka tuu sikutaka kuendelea kuiliza.
 
mkuu kuna watu nilikuwa nawakatia tiket nikauliza kuhusu choo ndani nikajibiwa unawajua wasukuma kweli???? nikacheka tuu sikutaka kuendelea kuiliza.
Ina Maana Hakuna Kutumia Hiyo Choo Ndogo Ama Wana Mbati Wanaweka Kubwa Wanasiriba Mpaka VIP Ianze Kunuka
 
Kampuni Inatumia Mafuta Ya Kidebe Na Wakati Mwingine Wanatembea Na Ndoo Ambazo Huzitumia Abiria Kukalia Ndani Ya Bus Luxury
 
Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.

Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.

Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Bongo hakuna VIP BUSES
 
Mi ndo Huwa sipandi kabisa hayo mabasi
Labda hayo mapya
Sasaa Hayo Mapya Mambo Ni Yale Yale
Jamaa Yangu Kapanda Leo Toka Arusha Kufika Korogwe Bovu
Kwa Aibu Wakaficha Number Ya Gari

BM, HC Zikapita Mapema Sana Kwenda Morogoro
Kampuni Nyingine Ni Majina Ila Hawana Jipya
 
Back
Top Bottom