Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena Yanaishiwa Mafuta Njiani Route Za Dar ~Mwanzani machafu sana hayo mabusi
Hayo mabasi hayapinduki?Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
VIP gani inakuwa 80,00? Ally's Star VIP unaijua nauli yake?Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Litaacha kuwa chafu basi zao jioni kuanzia saa kumi ma mbili zinabeba abiria kutoka ubungo kwenda mbezo kwa jero jero..lazima yachakae..Abood azingatie usafi, mabasi yake mengi ndani ni machafu sana.. gari namba E lakini chafu utadhani namba A
Hahahaaaaaaaaaaaaaa bhangoooshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kule ustaarabu hamna nyambaf zao wasukuma mishambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, nimecheka sana leoUna peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
mkuu kuna watu nilikuwa nawakatia tiket nikauliza kuhusu choo ndani nikajibiwa unawajua wasukuma kweli???? nikacheka tuu sikutaka kuendelea kuiliza.Una peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
Ina Maana Hakuna Kutumia Hiyo Choo Ndogo Ama Wana Mbati Wanaweka Kubwa Wanasiriba Mpaka VIP Ianze Kunukamkuu kuna watu nilikuwa nawakatia tiket nikauliza kuhusu choo ndani nikajibiwa unawajua wasukuma kweli???? nikacheka tuu sikutaka kuendelea kuiliza.
Bongo hakuna VIP BUSESKampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Mi ndo Huwa sipandi kabisa hayo mabasiAbood azingatie usafi, mabasi yake mengi ndani ni machafu sana.. gari namba E lakini chafu utadhani namba A
😅😅😅😅UVIO ni kitu gani? Choo? Kwa kifupi hakuba kitu hapo kinacho weza nishawahishi kupanda bus, Choo? Tv sipatani nazo kabisa, Sosa sinywagwi, biscut ni ufala kunipatia biscut
Ndiyo UkweliBongo hakuna VIP BUSES
Sasaa Hayo Mapya Mambo Ni Yale YaleMi ndo Huwa sipandi kabisa hayo mabasi
Labda hayo mapya
😀😄🤣🤣😃😃😅Litaacha kuwa chafu basi zao jioni kuanzia saa kumi ma mbili zinabeba abiria kutoka ubungo kwenda mbezo kwa jero jero..lazima yachakae..