Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 657
- 1,540
Wasukuma wengine tunapenda Luxury VIP class. Choo ndani , mambo ya kuambiwa kuchimba dawa dakika 5 kama wafungwa au mateka.Anavamia ligi eeh,, hii ya Katarama na Ally's ni Bundesliga kama atakubali kuwa Schalke 04 mbele ya Bayern Munich na Dortmund sawa,,
Halafu sisi wasukuma tunachotaka ni kuwahi tu kufika mjini hayo mengine yakwenu,,
Mkuu unapenda kulakula tuuuKuhusu tv mbona kuna mabasi yana tv kila siti, kuna mabasi ya kawaida wanagawa mpaka soda na maji. Labda tv hizo zitakuwa zinatumia ving!amuzi unajichagulia chaneli ya kutazama. Kwenye choo hapo sawa. Wangeweka na misosi ya maana na kushiba ndani yake kama kukuz, chapati, maziwa, wali, ndizi, chips, nyama, matunda itapeneza sana
Maa ni naa 😂😂Una peleka mabus ya vyoo Kwa wasukuma?? Atajuta hawa watu hawajui chochote kuhusu Choo atakuta wamekunya kumbe ni sehemu ya kukojoa tu
hao wadada itakuwa wana sura nzura nzuri, maumbo mazuri, shepu za kuvutia na macho mazuri wakikutazama tu unafurahia huo usafiri wa mabasi hayo, watakuwa na midomo yenye lips nzuri ajabu kuvutia VIP kutumia mabasi hayoWamekwambia kuna wadada wazuri wahudumu
Halafu mda mwingine unakuwa umelala mtu anakuamshia pipi wtfUVIO ni kitu gani? Choo? Kwa kifupi hakuba kitu hapo kinacho weza nishawahishi kupanda bus, Choo? Tv sipatani nazo kabisa, Sosa sinywagwi, biscut ni ufala kunipatia biscut
sio kazi rahisiTatizo ni standard maintenance ataweza? Hiyo ndiyo changamoto biashara za wabongo.
Umeyapanda lini wakati wenyewe wamesema wanaanza tarehe 9?ni machafu sana hayo mabusi
Picha zaidiKampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
HIZI NDIO SIFA ZA GARI KUWA V.I.P?Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Hawawezi kumfikia KlmHizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Binafsi sipendi content za Tv wanazoonyesha kwenye mabasi, ila kuna contents zinaweza kunitanya niangalie Tv hata kutwa nzima, kama sina kazi au nikisafiriHili taifa lina wajinga sana, kwanza mimi kitu sipatani nacho no 1 ni TV kwenye basi, sipatani huo ujinga kabisa, sasa kama karine hii bado unashobokea Tv za kwenye mabasi utakuwa na matatizo
Wahudumu Wa kike..Kampuni ya Mabasi ya Abood Bus Service Limited imezindua mabasi ya VIP yanayofanya safari zake Dar- Mwanza-Dar, kuanzia tarehe 9 Juni 2023.
Hizi basi ni za kisasa na yenye viwango vya juu ikiwemo siti za luxury, air condition, tv, choo cha abiria, wahudumu wa kike, vinywaji na vitafunio.
Route hii imezinduliwa baada ya kupata maombi kwa wateja. View attachment 2648306
Nafikiri Abood ameona fursa ya vip huko mwanza , allys ana vip njia hiyo nasikia nauli ni 120,000 one way.LABDA KWA WASUKUMA WATAONA HIYO NI VIP. UKWELI NI KWAMBA MKAO WA 2X2 SIO VIP.AU WAHUDUMU WA KIKE, HAO MBONA HATA KWENYE BAR WAPO?
VIP NIJUALOMIMI NI BASI LA ABIRIA 35 LINA VITI VITATU TU SIO 2*2.
NAAHEELULU WASUKUMA NI MGODI WA KILA MJANJA.