Kampuni ya Mabasi ya BM Wanahujumu Haki za Abiria

Kampuni ya Mabasi ya BM Wanahujumu Haki za Abiria

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,611
Kampuni ya Mabasi ya BM Coach inaendeshwa kihuni. Yafuatayo yanafanywa na vibarua/manamba wa kampuni hii:

1. Kutoka Moro gari likifika Magufuli abiria wanafaulishwa kwenye magari kama (bila hata gari kuharibika) mkaa kwenda Shekilango.

2. Katika zoezi la namba 1 hapo juu, baadhi ya abiria wamejikuta wakiacha watoto/ndugu zao waliosafiri pamoja na mizigo pia.

3. Ukiacha mizigo Magufuli wakati wa kufaulishwa, ukifika Shekilango utaambiwa kaufuatilie tena huko Magufuli kwa gharama zako na unapofika Magufuli unaambiwa gari limeishaondoka Morogoro kwa sababu limepata abiria wa kurudi Morogoro.

4. Siku unafanikiwa kupata gari ulilopanda, dereva na tingo wanakwambia hawajui habari ya mzigo kwa sababu siku hiyo uliyosafiri wao walikuwa kwy basi lingine.

5. Walinifanyia hivyo nikapoteza baadhi ya mizigo ya wanafunzi niliokuwa nawasafirisha kuja likizo. Dereva kwa jeuri aliondoka na baadhi ya wanafunzi Magufuli kwenda Shekilango (kabla wote hawajafaulishwa kuingia kwy gari alilokuwa anaendesha) wakati nahangaika kuokoa mizigo yao kwy gari tuliyotokanayo Moro na kusababisha baadhi ya wanafunzi kubaki Magufuli. Nilipofika Shekilango sikukuta wanafunzi waliotangulia, mara nikaanza kupokea simu za wazazi wanaulizia watoto wao, kumbe watoto walipishana na wazazi wao na kuleta hofu kuwa huenda wameenda kwa rafiki zao na kuleta hofu kwa wazazi wenye watoto wa kike.

6. Nilipofika Shekilango kulalamika, wale vibarua/manamba pale Shekilango wananiangalia kama nyanya mbichi (vitoto vidooogo adabu na maadili sifuri kabisa). Waliniweka kwa masaa 2 bila kunisikiliza wanachat na kupiga story huku wakiniangalia kwa kejeli na unafiki, na niliondoka bila kusikilizwa.

7. Kuna Supervisor wao pale Magufuli anaitwa sijui Hussein nadhani elimu yake kubwa kabisa ni ya Madrasa. Hana sauti kwa madereva na matingo anaowasimamia. Hana msaada hata chembe upatapo shida. Anajificha kwenye kuongea jeuri kama amemeza kanda (cassette).

8. Supervisor wa Shekilango kabila Msukuma ndiyo hovyo kuliko hata mmiliki wa Kampuni yenyewe. Mtoto mdogo ukimsalimia hakujibu wakati ela yako (nauli) ndiyo inamuwezesha kwenda kuchamba chooni (inampa kuishi ili asiliwe tigo hapo mjini).

9. Ufumbuzi.
9.1 Terminal bubu zote ziondolewe mitaani waende wakashindane kwa haki Magufuli. Mbona serikali za mikoa ya Morogoro, Arusha, Mbeya na Mwanza zimeweza kuwabana kutumia terminal-rasmi badala ya terminal-bubu binafsi?

9.2 Nashauri wamiliki wa Makampuni ya Mabasi Tz waombe vibali vya ajira serikalini waajiri Wakenya ili wafanyakazi hao wa Kitz warudi mitaani kuzibua vyoo. Sekta ya Utalii Tz kuna Wakenya kwa asilimia kubwa ndiyo maana ina tija. Wakenya watatunyoosha Watz hadi Dahari.

NB.
Hii nchi tunahitaji kujipambanua upya.

Kuna watu wanaponda Chato Airport kuwa haina tija kumbe wanasahau kuwa hata Magufuli Terminal nayo inatakiwa ifungwe (inakoseshwa tija na terminal-bubu zilizozagaa mitaani) ili foleni zile mbaya za mabasi zirudi mjini kama ndiyo tunatamani ya kale aliyoyaondoa Magufuli. Haiwezekani miundombinu ya gharama kubwa kama ile ya Magufuli Terminal ikaingiza mapato chini ya makadirio.

Utaboreshaje majengo nk kama unaingiza mapato chini ya makadirio?
View attachment 2523274
 
Nadhani wewe ndio mzembe Wala usiwasingizie BM. Mwisho wa magari ni magufuli bus stand.wao kwa upendo wao wanawatafutia usafiri Hadi shekilango.kwa uzembe wako unasahau mzigo unasingizia kampani.shame on u.
Katawadhe kwanza wewe ndiyo uje kwa wanaume.

Unasema usilolijuwa.

Tiketi imeandikwa Msamvu Shekilango na pale Msamvu wanasisitiza mwisho wa gari ni Shekilango na hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya mimi kukata tiketi ya BM badala ya Al Saed.
 
Magufuli Terminal ndo mwisho wa mabasi,hizo nyingine n added services.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Kwanini wanaandika tiketi Shekilango. Hujui tiketi ndiyo mkataba? Ukivunja mkataba kitu gani kinatakiwa kifanyike? Km ni added services kwanini wasiheshimu hizo added services? Kwanini waibe/wapoteze mizigo ya abiria kupitia hizo added services? Tutake radhi!
 
Hakuna uhuni hapo. Mwisho wa basi ni Magufuli terminal, kwenda Shekilango ni favor.
Wazaramo msiokuwa na shughuli wala ndugu mikoani mna mtindio wa ubongo kwelikweli.

Kama mwisho ni Magufuli kwanini wamejenga terminal zao bubu Shekilango? Kwa sheria ipi ya nchi hii?

Kwanini Morogoro hawapakizi wala kushusha kwenye terminal zao bubu/binafsi?

Ni wao ndiyo wanavunja sheria au serikali ndiyo inavunja sheria?

اللعنة
 
Wazaramo msiokuwa na shughuli wala ndugu mikoani mna mtindio wa ubongo kwelikweli.

Kama mwisho ni Magufuli kwanini wamejenga terminal zao bubu Shekilango? Kwa sheria ipi ya nchi hii?

Kwanini Morogoro hawapakizi wala kushusha kwenye terminal zao bubu/binafsi?

Ni wao ndiyo wanavunja sheria au serikali ndiyo inavunja sheria?

اللعنة
mkuu hujalazimishwa kushuka huko Shekilango
shuka hapo Magufuli huo mzigo hautaibiwa, panda daladala mpaka Shekilango
 
mkuu hujalazimishwa kushuka huko Shekilango
shuka hapo Magufuli huo mzigo hautaibiwa, panda daladala mpaka Shekilango
Ndani ya Magufuli Terminal kuna daladala za kwenda Shekilango? Nje ya Magufuli Terminal kuna daladala la kubeba wanafunzi 55 na mizigo yao kwa pamoja kwa wakati mmoja?

اللعنة
 
Kampuni ya Mabasi ya BM Coach inaendeshwa kihuni. Yafuatayo yanafanywa na vibarua/manamba wa kampuni hii:

1. Kutoka Moro gari likifika Magufuli abiria wanafaulishwa kwenye magari kama (bila hata gari kuharibika) mkaa kwenda Shekilango.

2. Katika zoezi la namba 1 hapo juu, baadhi ya abiria wamejikuta wakiacha watoto/ndugu zao waliosafiri pamoja na mizigo pia.

3. Ukiacha mizigo Magufuli wakati wa kufaulishwa, ukifika Shekilango utaambiwa kaufuatilie tena huko Magufuli kwa gharama zako na unapofika Magufuli unaambiwa gari limeishaondoka Morogoro kwa sababu limepata abiria wa kurudi Morogoro.

4. Siku unafanikiwa kupata gari ulilopanda, dereva na tingo wanakwambia hawajui habari ya mzigo kwa sababu siku hiyo uliyosafiri wao walikuwa kwy basi lingine.

5. Walinifanyia hivyo nikapoteza baadhi ya mizigo ya wanafunzi niliokuwa nawasafirisha kuja likizo. Dereva kwa jeuri aliondoka na baadhi ya wanafunzi Magufuli kwenda Shekilango (kabla wote hawajafaulishwa kuingia kwy gari alilokuwa anaendesha) wakati nahangaika kuokoa mizigo yao kwy gari tuliyotokanayo Moro na kusababisha baadhi ya wanafunzi kubaki Magufuli. Nilipofika Shekilango sikukuta wanafunzi waliotangulia, mara nikaanza kupokea simu za wazazi wanaulizia watoto wao, kumbe watoto walipishana na wazazi wao na kuleta hofu kuwa huenda wameenda kwa rafiki zao na kuleta hofu kwa wazazi wenye watoto wa kike.

6. Nilipofika Shekilango kulalamika, wale vibarua/manamba pale Shekilango wananiangalia kama nyanya mbichi (vitoto vidooogo adabu na maadili sifuri kabisa). Waliniweka kwa masaa 2 bila kunisikiliza wanachat na kupiga story huku wakiniangalia kwa kejeli na unafiki, na niliondoka bila kusikilizwa.

7. Kuna Supervisor wao pale Magufuli anaitwa sijui Hussein nadhani elimu yake kubwa kabisa ni ya Madrasa. Hana sauti kwa madereva na matingo anaowasimamia. Hana msaada hata chembe upatapo shida. Anajificha kwenye kuongea jeuri kama amemeza kanda (cassette).

8. Supervisor wa Shekilango kabila Msukuma ndiyo hovyo kuliko hata mmiliki wa Kampuni yenyewe. Mtoto mdogo ukimsalimia hakujibu wakati ela yako (nauli) ndiyo inamuwezesha kwenda kuchamba chooni (inampa kuishi ili asiliwe tigo hapo mjini).

9. Ufumbuzi.
Terminal bubu zote ziondolewe mitaani waende wakashindane kwa haki Magufuli. Mbona serikali za mikoa ya Morogoro, Arusha, Mbeya na Mwanza zimeweza kuwabana kutumia terminal-rasmi badala ya terminal-bubu binafsi?

NB.
Hii nchi tunahitaji kujipambanua upya.

Kuna watu wanaponda Chato Airport kuwa haina tija kumbe wanasahau kuwa hata Magufuli Terminal nayo inatakiwa ifungwe (inakoseshwa tija na terminal-bubu zilizozagaa mitaani) ili foleni zile mbaya za mabasi zirudi mjini kama ndiyo tunatamani ya kale aliyoyaondoa Magufuli. Haiwezekani miundombinu ya gharama kubwa kama ile ya Magufuli Terminal ikaingiza mapato chini ya makadirio.

Utaboreshaje majengo nk kama unaingiza mapato chini ya makadirio?
View attachment 2523274
Nashauri wamiliki wa Makampuni ya Mabasi Tz waombe vibali vya ajira serikalini waajiri Wakenya ili wafanyakazi hao wa Kitz warudi mitaani kuzibua vyoo. Sekta ya Utalii Tz kuna Wakenya kwa asilimia kubwa ndiyo maana ina tija. Wakenya watatunyoosha Watz hadi Dahari.
 
Kampuni ya Mabasi ya BM Coach inaendeshwa kihuni. Yafuatayo yanafanywa na vibarua/manamba wa kampuni hii:

1. Kutoka Moro gari likifika Magufuli abiria wanafaulishwa kwenye magari kama (bila hata gari kuharibika) mkaa kwenda Shekilango.

2. Katika zoezi la namba 1 hapo juu, baadhi ya abiria wamejikuta wakiacha watoto/ndugu zao waliosafiri pamoja na mizigo pia.

3. Ukiacha mizigo Magufuli wakati wa kufaulishwa, ukifika Shekilango utaambiwa kaufuatilie tena huko Magufuli kwa gharama zako na unapofika Magufuli unaambiwa gari limeishaondoka Morogoro kwa sababu limepata abiria wa kurudi Morogoro.

4. Siku unafanikiwa kupata gari ulilopanda, dereva na tingo wanakwambia hawajui habari ya mzigo kwa sababu siku hiyo uliyosafiri wao walikuwa kwy basi lingine.

5. Walinifanyia hivyo nikapoteza baadhi ya mizigo ya wanafunzi niliokuwa nawasafirisha kuja likizo. Dereva kwa jeuri aliondoka na baadhi ya wanafunzi Magufuli kwenda Shekilango (kabla wote hawajafaulishwa kuingia kwy gari alilokuwa anaendesha) wakati nahangaika kuokoa mizigo yao kwy gari tuliyotokanayo Moro na kusababisha baadhi ya wanafunzi kubaki Magufuli. Nilipofika Shekilango sikukuta wanafunzi waliotangulia, mara nikaanza kupokea simu za wazazi wanaulizia watoto wao, kumbe watoto walipishana na wazazi wao na kuleta hofu kuwa huenda wameenda kwa rafiki zao na kuleta hofu kwa wazazi wenye watoto wa kike.

6. Nilipofika Shekilango kulalamika, wale vibarua/manamba pale Shekilango wananiangalia kama nyanya mbichi (vitoto vidooogo adabu na maadili sifuri kabisa). Waliniweka kwa masaa 2 bila kunisikiliza wanachat na kupiga story huku wakiniangalia kwa kejeli na unafiki, na niliondoka bila kusikilizwa.

7. Kuna Supervisor wao pale Magufuli anaitwa sijui Hussein nadhani elimu yake kubwa kabisa ni ya Madrasa. Hana sauti kwa madereva na matingo anaowasimamia. Hana msaada hata chembe upatapo shida. Anajificha kwenye kuongea jeuri kama amemeza kanda (cassette).

8. Supervisor wa Shekilango kabila Msukuma ndiyo hovyo kuliko hata mmiliki wa Kampuni yenyewe. Mtoto mdogo ukimsalimia hakujibu wakati ela yako (nauli) ndiyo inamuwezesha kwenda kuchamba chooni (inampa kuishi ili asiliwe tigo hapo mjini).

9. Ufumbuzi.
9.1 Terminal bubu zote ziondolewe mitaani waende wakashindane kwa haki Magufuli. Mbona serikali za mikoa ya Morogoro, Arusha, Mbeya na Mwanza zimeweza kuwabana kutumia terminal-rasmi badala ya terminal-bubu binafsi?

9.2 Nashauri wamiliki wa Makampuni ya Mabasi Tz waombe vibali vya ajira serikalini waajiri Wakenya ili wafanyakazi hao wa Kitz warudi mitaani kuzibua vyoo. Sekta ya Utalii Tz kuna Wakenya kwa asilimia kubwa ndiyo maana ina tija. Wakenya watatunyoosha Watz hadi Dahari.

NB.
Hii nchi tunahitaji kujipambanua upya.

Kuna watu wanaponda Chato Airport kuwa haina tija kumbe wanasahau kuwa hata Magufuli Terminal nayo inatakiwa ifungwe (inakoseshwa tija na terminal-bubu zilizozagaa mitaani) ili foleni zile mbaya za mabasi zirudi mjini kama ndiyo tunatamani ya kale aliyoyaondoa Magufuli. Haiwezekani miundombinu ya gharama kubwa kama ile ya Magufuli Terminal ikaingiza mapato chini ya makadirio.

Utaboreshaje majengo nk kama unaingiza mapato chini ya makadirio?
View attachment 2523274
hii tabia ya nidhamu ya waoga mpaka lini? hapo magufuli kuna ofisi ya chama cha kutetea abiria kuna kituo cha polisi kuna ofisi ya sumara alafu unaleta malalamiko yako hapa hili upate msaada gani?
 
Katawadhe kwanza wewe ndiyo uje kwa wanaume.

Unasema usilolijuwa.

Tiketi imeandikwa Msamvu Shekilango na pale Msamvu wanasisitiza mwisho wa gari ni Shekilango na hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya mimi kukata tiketi ya BM badala ya Al Saed.
kutawadhe maanake nn?
 
Kampuni ya Mabasi ya BM Coach inaendeshwa kihuni. Yafuatayo yanafanywa na vibarua/manamba wa kampuni hii:

1. Kutoka Moro gari likifika Magufuli abiria wanafaulishwa kwenye magari kama (bila hata gari kuharibika) mkaa kwenda Shekilango.

2. Katika zoezi la namba 1 hapo juu, baadhi ya abiria wamejikuta wakiacha watoto/ndugu zao waliosafiri pamoja na mizigo pia.

3. Ukiacha mizigo Magufuli wakati wa kufaulishwa, ukifika Shekilango utaambiwa kaufuatilie tena huko Magufuli kwa gharama zako na unapofika Magufuli unaambiwa gari limeishaondoka Morogoro kwa sababu limepata abiria wa kurudi Morogoro.

4. Siku unafanikiwa kupata gari ulilopanda, dereva na tingo wanakwambia hawajui habari ya mzigo kwa sababu siku hiyo uliyosafiri wao walikuwa kwy basi lingine.

5. Walinifanyia hivyo nikapoteza baadhi ya mizigo ya wanafunzi niliokuwa nawasafirisha kuja likizo. Dereva kwa jeuri aliondoka na baadhi ya wanafunzi Magufuli kwenda Shekilango (kabla wote hawajafaulishwa kuingia kwy gari alilokuwa anaendesha) wakati nahangaika kuokoa mizigo yao kwy gari tuliyotokanayo Moro na kusababisha baadhi ya wanafunzi kubaki Magufuli. Nilipofika Shekilango sikukuta wanafunzi waliotangulia, mara nikaanza kupokea simu za wazazi wanaulizia watoto wao, kumbe watoto walipishana na wazazi wao na kuleta hofu kuwa huenda wameenda kwa rafiki zao na kuleta hofu kwa wazazi wenye watoto wa kike.

6. Nilipofika Shekilango kulalamika, wale vibarua/manamba pale Shekilango wananiangalia kama nyanya mbichi (vitoto vidooogo adabu na maadili sifuri kabisa). Waliniweka kwa masaa 2 bila kunisikiliza wanachat na kupiga story huku wakiniangalia kwa kejeli na unafiki, na niliondoka bila kusikilizwa.

7. Kuna Supervisor wao pale Magufuli anaitwa sijui Hussein nadhani elimu yake kubwa kabisa ni ya Madrasa. Hana sauti kwa madereva na matingo anaowasimamia. Hana msaada hata chembe upatapo shida. Anajificha kwenye kuongea jeuri kama amemeza kanda (cassette).

8. Supervisor wa Shekilango kabila Msukuma ndiyo hovyo kuliko hata mmiliki wa Kampuni yenyewe. Mtoto mdogo ukimsalimia hakujibu wakati ela yako (nauli) ndiyo inamuwezesha kwenda kuchamba chooni (inampa kuishi ili asiliwe tigo hapo mjini).

9. Ufumbuzi.
9.1 Terminal bubu zote ziondolewe mitaani waende wakashindane kwa haki Magufuli. Mbona serikali za mikoa ya Morogoro, Arusha, Mbeya na Mwanza zimeweza kuwabana kutumia terminal-rasmi badala ya terminal-bubu binafsi?

9.2 Nashauri wamiliki wa Makampuni ya Mabasi Tz waombe vibali vya ajira serikalini waajiri Wakenya ili wafanyakazi hao wa Kitz warudi mitaani kuzibua vyoo. Sekta ya Utalii Tz kuna Wakenya kwa asilimia kubwa ndiyo maana ina tija. Wakenya watatunyoosha Watz hadi Dahari.

NB.
Hii nchi tunahitaji kujipambanua upya.

Kuna watu wanaponda Chato Airport kuwa haina tija kumbe wanasahau kuwa hata Magufuli Terminal nayo inatakiwa ifungwe (inakoseshwa tija na terminal-bubu zilizozagaa mitaani) ili foleni zile mbaya za mabasi zirudi mjini kama ndiyo tunatamani ya kale aliyoyaondoa Magufuli. Haiwezekani miundombinu ya gharama kubwa kama ile ya Magufuli Terminal ikaingiza mapato chini ya makadirio.

Utaboreshaje majengo nk kama unaingiza mapato chini ya makadirio?
View attachment 2523274
Abiria ndio mazuzu ndio maana wanadharauliwa. Ni kuachana kimyakimya na kampuni husika. BM mi nawafahami vizuri nilipandaga basi lao mara moja kutoka Arusha kwenda Moro sikuwahi rudia kupanda kuna visichana vina nyodo utafikiri ile kampuni ni K zao. Mi ni mtu wa maamuzi ni mara moja sirudii km hela yangu mwenyewe itanitesa na sina la kufanya basi mi nitakuwa sina repea.
 
Back
Top Bottom